ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 3,625
- 14,792
Nimefurahiiiiiiii😂💚💛Pasuka
Nimefurahiiiiiiii😂💚💛Pasuka
Daah mnajua kuloga nyie jamaa kwa mpira waliocheza wamisri Leo mlitakiwa mpigwe sio chini ya goli 3Simba haichezi vizuri
Simba sio timu bora na ndio maana makundi imepita kwa kanuni tu.
Nataka niendelee kuzisikia hizi kelele zikiamia kwa Al Ahly
Sawa mama. Maana hufatilii footballMwakarobo fc,hujawahi kuvuka Robo kwenye mashindano yoyote ya Kimataifa.
Yes, hiyo siku itabidi Lomalisa tumpumzishe tuwaweke wazee wa kazi.Nimemuona ana chenga na spidi pia, Huyo uliemtaja na Job watamchangia upande ule wa kulia.
Yanga si wachawi tu, eti tano, tano ya nyokoUto ledizi and jentro...mnalooooo mmetuombea mabaya ndo waarabu wenu wamekua wekundu tuuu...
Ongelea timu yako mbovu ya Simba na sio YangaSimba na yanga zote kwa pamoja hazina uwezo wa kumtoa alhaly linapokuja swala la knout stage na ikitokea ni mpira lakini sio quality na ubora wa team. Wametuzidi mbalii lazima tuamue kukuza wachezaji au kuwa na ela ya kuporana wachezaji na awa giant
Mi naona kwa mechi yenu ya kila siku kule kwenye mashamba ya mpunga kissu na ilanfya wanafaa kuwa man of the matchonana man of the match, kiukwel alistahili
Kwasababu tunajua mmetolewa. Hayo mengine hayana maana!Ila kwa raha zetu...mimi nina wacheka nyie sura zimewashuka shuuuuuuu..
leo mbona hamuongelei kanuni?? Mbona hamsemi kapita kwa kanuni?
Nyie timu kubwa acheni hizi hesabu weka kile kikosi mlichocheza na ihefu kule mpunganiYes, hiyo siku itabidi Lomalisa tumpumzishe tuwaweke wazee wa kazi.
Lomalisa is too soft kupambana na Shahat na Hany, hapo bado Tau.
Balaa
Nyie miaka 25 umri wa kijana mwenye mke. Washenzi kabsaMwakarobo fc
Haha iyo spidi hatukona kwenye mashamba mpungaKwa spidi ya Yanga wakiongeza nguvu kidogo haya majamaa watayapiga nje ndani
Lakini mmetokaKamati ya roho mbaya mmeumbukaaaa....
5 ziko wapiii?