mzee wa njaa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 1,366
- 223
huo ushamba semeni anachoongea sio ipod au hamzijui.
Anaongea nini mbona hamtaki kusemaYupo hewani anaendele kutoa hotuba yake TBC LIVE
mwenyekt ni Jenista mhagama mh.mbowe alikuwa anasema neno viafunwa kumbe kwenye hotba halikuwepo ndo mkit akamtel aseme hansard irekodi hvyo vitafunwa vipigwe ful stopNani mwenyekiti wa Bunge na kamsimamisha kwa sasbabu gani?
soma vizuri kabla ya kuropoka, kuna tofauti kubwa kati kununua na kutumia mkuu..Y not, kama mtoto wa mkulima anauwezo wa kutetea posho(150000) per day kwa nn ashindwe kununua ipod ya x2?
Vyote sawa huwezi nunua kama huwezi tumiasoma vizuri kabla ya kuropoka, kuna tofauti kubwa kati kununua na kutumia mkuu..
Shibuda ameenda kwenye kiti cha lowasa cjui wanajadili nn. Anaongelea mauji ya polisi kwa rai, haki usawa mbele wa sherehe. Haki ya kupata habari, kuandamana. Mauji wa polisi tarime, mbalali, sumbawanga, nyamango, utupaji wa maiti nyamango,
unaweza nunua ukaachia watotoVyote sawa huwezi nunua kama huwezi tumia
Sasa anazunguwmzia mauji ya raia yanayofanywa na polis anataja kila tukio na tarehe na majina ya waliokufa au kujeruhiwa.
@mr rocky, tupo pamoja mkuu
Askari kuchujuliwa hatua wanapokiuka haki za kibinadamu