CPA
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 809
- 354
Haki ya kuandamana, hasa ya wapinzani. Polisi kuzuia maandamano bila hata taharifa ya kimaandishi, kukamatwa kwa wabunge bila hata kibar cha spika. Unafiki wa polisi kuonea wabunge wa upinzan, huku wabunge wa ccm wakiombewa kibali kama mbunge wa mwanza aliyehusika kupanga mauaji ya mwenyekiti wa ccm mwanza