SAM wa KILUNGU
Member
- Jan 22, 2011
- 52
- 13
Inaonyesha mbowe hakuongeaa kitu cha maana kabisa,hakuna hata mmoja kwenye thread hii alie eleza kitu cha msingi alicho sema zaidi ya kutumia ipad2 technology. binafsi nimemsikiliza ametumia muda mwingi ku lalama badala ya kutoa strategies n plans endapo chadema wangekua serikali wange fanya nn.