Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
My dear MwanajamiiOne, huu msemo wa "Unazeeka na Utamu wako" huwa unaniuma sana hasa nikutanapo na wenye ring zao vidoleni.
Duuuuhhhh,
pole sana mjukuu wangu. I can feel your pains. Kwani ukijiuliza wenye rings wanakuzidi nini unaishia kupata kizungu zungu!
Babu DC!