kyannala nabiso
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 645
- 143
Sijaolewa kwasababu sijakuta na alie nipangia mungu. Nilisha wahi kuwa na mtu ambaye nilimpenda sana na alinipenda mpaka tukapata mtoto lakini alichonifanyia cna ham.
Kwa umri wako huo, unatakiwa uwe na mume charminglady.
Madame B................ kwani kuolewa kuna faida gani ambazo zitamhamasisha ambaye hajaolewa awe huru kukueleza kwa nini hajaolewa mpaka sasa?
Na kwanini wenye huo 25 yrs hawajaolewa?
mwaaaaaaaaah my azonto!!
mwaaaaaaaaah my azonto!!
umenikerajeee
umenikerajeee
Hahaha huyo ndo mdogo wangu Mentor, anataka kuibuka na kitu chake.
Nimeambiawa mchumba wako Mwarabu.
Hongera.
Kumbe ndo wewe eeeehhhhh.... Hahahaaaaa, nimekubamba sijakubamba nimekubamba!!!!