Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
Hiyo itakuwa ngumi ya pua kwa CCM.
nimeipenda hiyo
Hiyo itakuwa ngumi ya pua kwa CCM.
afadhali umekiri kuwa sio great thinker hilo limenionyesha uwezo wako wa kufikiri ni mdogo nimekusamehe! Swala la Nassary lilishatolewa maelezo na mh. Mbowe na yeye mwenyewe Nassary kwenye press conference lakini wewe kulileta hapa kiushabiki ndio maana nimekuambia ongea point ya maana! JF ni mahali pa fikra pana na mjadala mtambuka na ujenzi wa hoja sio ushabiki wa kwenye magazeti ya udaku!Point ya maana kwako ikoje? Haya sio maneno yangu ni maneno ya Mbunge wa Chadema Nassari ndio alisema Chadema kujitenga mie utanionea bure labda ungemwambia mbunge wako.
Halafu mie naitwa Ritz wa JF hayo mambo yenu ya kupeanda vyeo vya kinafiki eti great thinkers wala mie siitaji mkuu wangu itaneni tu nyie Pro-Chadema JF.
Point ya maana kwako ikoje? Haya sio maneno yangu ni maneno ya Mbunge wa Chadema Nassari ndio alisema Chadema kujitenga mie utanionea bure labda ungemwambia mbunge wako.
Halafu mie naitwa Ritz wa JF hayo mambo yenu ya kupeana vyeo vya kinafiki eti great thinkers wala mie siitaji mkuu wangu itaneni tu nyie Pro-Chadema JF.
Ukweli unaumaaaaaa......
Wachaga wana ubaguzi xana!!!!! Hata marehem baba yangu pale Mikindani aliniambiaaaa..... CDM hamtaweza kukubalika milele!!!!!!
Pili huku kuna waislam tupu, na ule udini mmechemka!!!!! Niko huku Lipwidi, Mtwara Vijijin nalimaaaa!!!!
Mmechemka, hii ni ngome ya CCM !!!!!! Tangu lini Mmakonde aolewe na Mchaga???
Tunakumbushi mlichokisema na end result yake! na mtwara itakuwa hivyo hivyo...
Kwa watu wanaolewa mwenendo wa CDM na uducteta uliopo, hawawezi kukishobokea CDM.
Am happy watu wa Pwani ni waelewa na wanajua kupima mambo kabla ya kukurupukia vitu!
Hata Uzini ilikuwa hivi hivi..
Natafuta comment ya Slaa hapa JF siku wawalipoenda Uzini.
Nafikiri wote mliona CDM walichoambulia kule!!
Tunakumbushi mlichokisema na end result yake! na mtwara itakuwa hivyo hivyo...
Kwa watu wanaolewa mwenendo wa CDM na uducteta uliopo, hawawezi kukishobokea CDM.
Am happy watu wa Pwani ni waelewa na wanajua kupima mambo kabla ya kukurupukia vitu!
Ukitofautiana sana na watu basi mwisho wa siku lazima utakuwa na matatizo... Kama ukiona katika watu kumi 8 au 9 wanakupinga basi ujue hayo mawazo yako hayafai... Najua inawezekana wewe hili unalielewa lakini kwa sababu ya maslahi binafsi unashindwa kufanya maamuzi sahihi.
afadhali umekiri kuwa sio great thinker hilo limenionyesha uwezo wako wa kufikiri ni mdogo nimekusamehe! Swala la Nassary lilishatolewa maelezo na mh. Mbowe na yeye mwenyewe Nassary kwenye press conference lakini wewe kulileta hapa kiushabiki ndio maana nimekuambia ongea point ya maana! JF ni mahali pa fikra pana na mjadala mtambuka na ujenzi wa hoja sio ushabiki wa kwenye magazeti ya udaku!
Ukitofautiana sana na watu basi mwisho wa siku lazima utakuwa na matatizo... Kama ukiona katika watu kumi 8 au 9 wanakupinga basi ujue hayo mawazo yako hayafai... Najua inawezekana wewe hili unalielewa lakini kwa sababu ya maslahi binafsi unashindwa kufanya maamuzi sahihi.
Mkuu mie sio mtumwa wa akili nasimamia mawazo yangu...halafu nakukumbusha JF sio mali ya Chadema ni jukwaa huru.
Mkuu wangu unajaribu kuukimbiza upepo.Maoni ya wadau ndani ya JF ndiyo uthibitisho tosha M4C haikamatiki tena.Count my words!
Mkuu wangu unajaribu kuukimbiza upepo.Maoni ya wadau ndani ya JF ndiyo uthibitisho tosha M4C haikamatiki tena.Count my words!
Mkuu wangu Tanzania kuna watu zaidi ya milioni 40 JF kuna members 70,000 na kuna zaidi ya Multiple ID's zaidi ya 40,000 Members hai unaweza kukuta wapo 20,000 tu Chadema wape members 15,000 hawa ndio wanawawakilisha Watanzania milioni 45? Ha haa haaa haaaa haaaaaa!
A Very Wrong Analysis!!
You are not among GT which means I will never argue with you!