Viongozi wa CHADEMA wanakosa sifa ya kuaminika kwa umma kama chama mbadala. Wametanguliza maslahi binafsi kuliko ya wanachama wao. Kwenye masala ya Fedha CHADEMA hawajawahi kuwa wawazi. Hii ni dosari kubwa kwa chama kinachoikosoa Serikali.
Hakuna operesheni hata moja ya michango ambayo imewahi kuwa bayana kwa wanachama wao. Lakini kichekesho zaidi ni ulaji wa limbikizo la ruzuku kimya kimya, sasa nimeelewa kwa nini Lissu amemsusa Mbowe.
Kaa Mbali na walaghai, kataa ufisadi kwa vitendo.
Hakuna operesheni hata moja ya michango ambayo imewahi kuwa bayana kwa wanachama wao. Lakini kichekesho zaidi ni ulaji wa limbikizo la ruzuku kimya kimya, sasa nimeelewa kwa nini Lissu amemsusa Mbowe.
Kaa Mbali na walaghai, kataa ufisadi kwa vitendo.