kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Mmechemka, hii ni ngome ya CCM !!!!!! Tangu lini Mmakonde aolewe na Mchaga???
Yaani uko kizamani kama katiba ya zamani.
Mmechemka, hii ni ngome ya CCM !!!!!! Tangu lini Mmakonde aolewe na Mchaga???
Ukweli unaumaaaaaa......
Wachaga wana ubaguzi xana!!!!! Hata marehem baba yangu pale Mikindani aliniambiaaaa..... CDM hamtaweza kukubalika milele!!!!!!
Pili huku kuna waislam tupu, na ule udini mmechemka!!!!! Niko huku Lipwidi, Mtwara Vijijin nalimaaaa!!!!
Hamna sumu ya udini yoyote,,,,Mika yote toka siasa za upinzani zimeingia nchini, CDM walikuwa wapi wasiende Mtwara?Kwa sababu ya sumu ya udini alomwagwa
Tunakumbushi mlichokisema na end result yake! na mtwara itakuwa hivyo hivyo...
Kwa watu wanaolewa mwenendo wa CDM na uducteta uliopo, hawawezi kukishobokea CDM.
Am happy watu wa Pwani ni waelewa na wanajua kupima mambo kabla ya kukurupukia vitu!
Ukweli unaumaaaaaa......
Wachaga wana ubaguzi xana!!!!! Hata marehem baba yangu pale Mikindani aliniambiaaaa..... CDM hamtaweza kukubalika milele!!!!!!
Pili huku kuna waislam tupu, na ule udini mmechemka!!!!! Niko huku Lipwidi, Mtwara Vijijin nalimaaaa!!!!
Mmechemka, hii ni ngome ya CCM !!!!!! Tangu lini Mmakonde aolewe na Mchaga???
Acha ukabila huo!! Kwani wanawake wa kimakonde sio watu?Mmechemka, hii ni ngome ya CCM !!!!!! Tangu lini Mmakonde aolewe na Mchaga???
Mmechemka, hii ni ngome ya CCM !!!!!! Tangu lini Mmakonde aolewe na Mchaga???
Toa pointi za maana wewe acha kuchemka kila mara! huwa hujionei aibu kwa post zako za kipuuzi kila mara? na wewe unajiita great thinker!??Kweli Chadema wamekuwa gumzo Mtwara baada ya kusikia kuwa Chadema wanataka kuanzisha Taifa lao la Kaskazini Jamhuri ya Meru.
labda wanaweza kubadilika!
Propaganda tupu hakuna cha gumzo wala chochote, mtwara wataungaje Chama Chenye sear ya kuanzisha Jamhuri ya kaskazini ? Mtwara ni kusini watakuwaje sehemu ya jamhuri ya kaskazini?
Toa pointi za maana wewe acha kuchemka kila mara! huwa hujionei aibu kwa post zako za kipuuzi kila mara? na wewe unajiita great thinker!??
Kweli Chadema wamekuwa gumzo Mtwara baada ya kusikia kuwa Chadema wanataka kuanzisha Taifa lao la Kaskazini Jamhuri ya Meru.
Mmechemka, hii ni ngome ya CCM !!!!!! Tangu lini Mmakonde aolewe na Mchaga???
Mmechemka, hii ni ngome ya CCM !!!!!! Tangu lini Mmakonde aolewe na Mchaga???