- Thread starter
- #21
Hata Uzini ilikuwa hivi hivi..
Natafuta comment ya Slaa hapa JF siku wawalipoenda Uzini.
Nafikiri wote mliona CDM walichoambulia kule!!
Huna tofauti na mfa maji? Kuna mahali Slaa amehojiwa hapa? Au unaweweseka kutaja jina la Slaa?