Jidulamabambase
Member
- Nov 28, 2010
- 31
- 5
Nakushauri Mtatiro kw mara ya mwisho kuacha siasa za maji taka, wewe bado ni kijana mdogo na you have a long to go! CCM watakuchafua, unaonekana uko kidogo kama Zitto japokuwa mwenzako anajirudi sasa, pia elewa kuwa Watanzania wa leo ni waelewa sana. Kwa taarifa yako CUF ilikuwa ni ile ya zamani enzi za akina Mapalala, kanda ya ziwa sote tulikuwa CUF, bahati mbaya CUF ilikufa Bara na wewe unaisaidia kufa kama Mkwere anavyoiua CCM. Kumbuka au fahamu Yuda aliumbwa ili amsaliti Yesu, hakuna huruma kwa Yuda kwani from the beggining Yuda aliumbwa kuwa ni agent wa Shetani. Acha kabisa kuuzunguka ukweli kuwa CUF ni sehemu ya serikali na Katibu mkuu ni mtendaji mkuu wa Chama na kwa kuwa ni makamu wa Rais haiwezi kwenda kinyume na serikali yake. Tambua tunaposema CCM imeshidwa na CUF mmo!