CHADEMA ni wachawi wa upinzani - Mtatiro

Nilishaacha kumsikiliza,natabiri kabla ya 2015 ataenda Ccm,ana njaa sana yule

Kwa hilo na mkumbuka huyu bwana mdogo alivyokuwa anawahaadaa vijana wenzake pale mlimani kwa kujiona mzalendo na mpigania haki wa ukweli ..... je kale kamshahara ameacha kukachukua na jamaa wameshamuondoa kwenye payrole...au bado anafanya kama laivyokuwa waziri wa mikopo....... Njaa yako ndio umaskini wako..... tuka huko ulipo kila siku utakuwa unafikiria kama mzee.... amka wakati unaweza kimbia kabla nyonga haijakakamaa mtatiro ndugu yetu.
 
Nadhani tuna haja ya kuamini kuwa Chadema ndiyo chama Tawala kwa sababu ndiyo chama ambacho kinapingwa. Wapinzani wa Chadema ni CCM, CUF, NCCR - Mageuzi, TLP, UPD... Mti wenye matunda ndio unaorushiwa mawe.

Kama Chadema siyo chama Tawala iweje CCM waungane na vyama vingine kukipinga? Mara nyingi tumeona vyama vingine vinavyodhaniwa kuwa vya upinzani vikikashifu Chadema badala ya chama kilichopo madarakani. Kwa hili tukubaliane tu kwamba CCM na vyama hivyo vingine vitangaze kuwa Chadema ni chama Tawala ili yaishe.

Gurtu umeuwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
The boy need his head to be examined...kwani katiba inasemaje...mfumo wa serikali ya Muungano je? from what I understand, SUKI-Zbar wanatakiwa kuchagua wajumbe wa kuingia baraza la Mawaziri la Muungano ambayo CUF pamoja na kulia kwao wanajua kwamba ni ukweli wana-udugu na CCM na Maalim lazime awe kati ya wajumbe, sasa kelele za nini!!??. Huyu Mtatiro na elimu yake ya Kisiasa ina maana halijui hili? au huyu dogo anafikiri Wa-Tz wa sasa na wa kipindi cha akina zidumu fikra...huyu Mtatiro either anatumiwa kuleta porojo za kisiasa au ni maamuma wa kisiasa, ana Ubongo wa nyoka au amekula kikaseti [kakaririshwa mambo ya kusema]. Tatizo la wa-TZ hatupendi kufuatilia mambo ndiyo maana Chiligati aliwahi kubeza magazeti uchaguzi mdogo wa Busanda..nanukuu 'hata mkiandika kuhusu ufisadi haisaidii maana magazeti hayafiki huku, hata yakifika wana Busanda hawana uwezo wa kununua gazeti kwa shg 400/- ' tafsiri yangu ila maana ni sahihi kabisa....huyu kijana anapotea njia, anadhani kupotosha ukweli kunasaidia. its better he speak the truth even if it hurts..tell Tanzanians how CUF is part and parcel of Union Govt hence they have association with CCM.. si vibaya kusema UKWELI kwani UKWELI ni UKWELI.
 
Sasa humtakii mema kijana...kweli anafanya siasa nia AJIRA na si Ukombozi..Hujasikia vijana wa SISiemu wanataka sekretarieti inayoongozwa na Mtumwa wa Rosti Tamu bw. Kinundu aondoke la sivyo watawalazimisha waondoke [Mapinduzi Baridi nadhani yanaongozwa na Mtoto Rizi-1] sasa hao wakina Tambwe, Msabah watabaki na AIBU hivyo dogo hawezi kwenda huko. Na anavyopenda Uongozi anaogopa kuingia CDM si anaona timu imetimia?? sisi wengine tupo kwenye movement ya kuondoa UCHAFU ulioleta MAINZI kwenye nchi yetu 'UFISADI' na mfumo mbovu wa kiserikali
 
Anataka kwenda Cdm huyo baadae, so anatafuta sifa ili akichomoka apate nafasi nzuri angalau. Ni kama mzee wa propaganda wa ccm aliyetoka cuf Tambwe. Alijijengea jina cuf then akahamia ccm so ccm ikabidi wampe ulaji kwani anamaslahi kwao.
 
Mtatiro tena? Chadema ndio hoja kwake? ahhhhgrrrrrhhhhhhh asubiri siku si nyingi cuf watambwaga chini, ndivyo hao wanaoitwa manaibu katibu mkuu wote waliotoka bara walivyofanywa. Hata yeye lazima ale shubiri hiyo!
 
Julius Mtatiro na Cuf wamechoka hawana issue wanatafutiza makombo kutoka kwa wazee wao CCM A.K.A Chama cha Mafisadi,huna lolote Mtatiro
 
Tatizo kubwa kwa nini hatupendi kusikiliza Yale yaliyo tofauti na ya akilini mwetu sidhani Kama sisi ni wateule kiasi hicho tushindwe kupokea ya weengine. Mtatiro anaweza kuwa Ana Ganga njaa lakini inawezekana kuna umuhimu Wa kupima maneno yake. Je urafiki na Sabodo kwa CDM umetokea wapi? Why now? why only to two political parties CCM and CDM? Who is Sabodo?
 
..Narudia tena ambacho nilichowahi kusema humu..Mtatiro tangu akiwa Mlimani anafanya siasa za kubwabwaja, kuongea halafu hufikiria baadae alichoongea..lakini kibaya pia, naongeza hapa leo...HAJUI HATA HISTORIA ya nini kiliwahi kutokea na nini chaweza kutokea kinachofanana na hicho kilichowahi kutokea na hicho kinachotokea!Poor this young man..'thought to make a good a politician/leader in future'-kitu ambacho kwa hali inavyoonekana he can't...
 
kwa hakika wamemchakacua sana huyu jamaa, sijui ni kwanini habadiliki, kapotea sana muelekeo huko Cuf
 
Hana jipya huyo, kwa hiyo kupewa hela na SABODO ni kuungana na CCM? Huyu bwana mdogo akubali tu kwamba alishaingia choo cha kike, wenzake wanajadiliana maswala ya CUF mskitini ambapo yeye hawezi kufika, halafu anakuja kukurupuka na kuongea upuuzi tu.

CUF wameungana na CCM Zanzibar kuunda what is called serikali ya kitaifa, je wana-qualify vipi kuwa wapinzani? Dogo akiweza hata achomoke tu na aende CHADEMA anaweza pokelewa tu, muulize alijaribu ubunge Ubungo alipata kura ngapi??

kwa hio CHADEMA wanajadiliana kanisani? chini ya Maaskofu, au wanajadiliana Uchagani?
 
Uyu Mtatiro chali alidhani yupo kwenye chama cha siasa kumbe kwenye mfano wa chama.Afanye utaratibu atoke CUF ama sivyo aibu ipo nyuma yake!
 
Msaada wa Sabondo ni wake binafsi, haukutolewa na CCM. Wewe Mtatiro una uhakika gani kama Sabondo hana kadi ya CHADEMA. CHADEMA wageitwa Lumumba na kukabidhiwa msaada huo na Makamba kwa niaba ya CCM hapo, kidogo tungekuelewa na huu mfano wako wa nguruwe,
 
Jamani hapa naona vioja vya mwaka, mpaka sasa nashindwa kuelewa anaongea nini , kutokea wapi kama anapinga hoja ama anaunga hoja sielewi. Huyu bwana ni mdogo sana kwenye siasa na bahati mbaya chama alichopo hakina uwezo wa kumjenga kwa kuwa hakuan institutional framework ya hawa wadogo kukua. Nadhani pamoja na kupewa nafasi hiyo ili kuchora picha ya utaifa mahususi kushabikia utumiaji wa dini kama silaha ya CCM aganst cuf, sifa nyingine waliompa wana CUF ni ujasiri wake wakuongea mambo mengi bila kuwa na point. Mi nataka kuuliza CUF swali moja maana swala lao la kutokua wapinzani halina mjadala. Hivi majuzi tu wamelaumu Chadema kwa kuwakosanisha wananchi na CCM, juzi wametangaza ziara ya mikoani kuelezea kupanda kwa garama za maisha. Hii ni nini? hawajioni kwamba wanalamba matapishi yao? kwa sasa hata CSO za pro demokrasi zinahangaika kupata namna ya kufanya kazi na hawa jamaa. Nakubali wameingia choo cha kike, Mtatiro bado anasiasa za ki daruso, kelele kubwa anaongea bila nukta ni vigumu kujua anaongea nini na bahati mbaya haya tunayoongea anayaona sema ndio kama mlivyosema labda kachelewa ama maslahi lakini ningemshauri ajipange maana 2015 karibu sioni ameshika wapi ama anampango wakuwa naibu katibu mkuu wa kudumu maana znz hawawezi kumpa ubunge, dogo hebu chemsha bongo ubungo huna nafasi milele saa utatokea wapi?
 
Mtatiro wewe ni mdogo wangu, rudi kundini kabla bi Kilembwe hajakupa unga wa ndele! Yangu macho. Hautakuwa salama hata kidogo huko uliko
 
Akiwa mliman tv aliwatuhumu chadema ni "wachawi" wa upnzan nchini...

Julius Mtatiro alikuwa mgombea ubunge kwa tkt ya CUF jimbo la ubungo ambapo aligalagazwa vibaya mno na Mnyika wa CDM. (uchawi wa cdm wa Mtatiro unaanza)

"Uchawi" mwngne kwa mtatiro ni jinsi CDM kinavyosema ukweli juu ya "ndoa" ya CCM na CUF. Kwa hili c mtatiro to hata Mh.Rashid linamtesa namna ya kuliongelea kwa umma. Inabidi wakimbilie "uchawi"
Japokuwa kutokana na ndoa ya CCM na CUF, ndio Mtatiro kapata ajira "kuganga njaa" ya kuwa naibu katibu mkuu wa CUF maarufu kama CCM-B. Hivyo "ndoa" hii, Mtatiro anaipenda.

Wakuu! "uchawi" wa Chadema kwa Mtatiro, ni chameda kuwa chama kikuu cha upinzan nchini, kitu ambacho Mtatiro na CUF hawakutegemea.
Binafsi namfaham sana mtatiro toka anasoma nami Ifakara High School pale Moro, ananifahamu analifahamu jina Pompo. Tukiwa sekondari hadi UDSM alikuwa ni mtu wa kutaka makubwa, kutaka kuonekana japokuwa uwezo hana hutumia nguvu kuliko hoja, mtakumbuka tuliokuwa nae lfakara na vituko vyake kama "kilanja wa chakula- DH" ilikuwa ajabu sana, ila pia tuliekuwa nae Mlimani vituko vilevile mtakumbuka mwaka 2006 anang'ang'ania tugome tupate chakula cha msaada (wakati huo kulikuwa na njaa nchini) Eti kila siku kwenye tv. Chakula kinatolewa vijijini eti njaa ipo hata mjini, alikuwa anatafuta atoke vp! Classmate wake wote wa lfakara tukamkatalia kwa kuwa tunamfahamu,... uwezo wake darasana na nje!... Mara akapanda nkruma ndio akawa mwimbishaji wa mapambio... na kuanza kujipenyeza hadi DARUSO, huyo ndio mtatiro mpenda makuu... alie kwenye chama kinachofifia kila kukicha na kaanza kumtafuta mchawi...!
 
Back
Top Bottom