CHADEMA ngoma mbichi Arusha

Ingekuwa ni upuuzi kwa namana yeyote ...kuwakubali na kuwa nyeyekea madiwani kwa namna mambo yalivyokuwa...

NIDHAMU NA UWAIBIKAJI ...ni muhimu ...lazima wafukuzwe na wafukuzwe waende mbali kabisa.... MATOKEO YOTE TUTAYAPOKEA!!

Bora kutokee kitakachotokea kuliko kuanza kunyeyekeaana na kukubali vitisho .... vya aina hiyo ndani ya chama.

Hiyo haiatkuwa na HESHIMA WALA NIDHAMU yeyote sasa na siku zijazo. Lazima kukubali uamuzi hata chamamkivunjieke ...lakini kivunjike kwa heshima.

Kuogopa kupoteza mtu au kikundi cha watu ...kwani Chama kitavunjika ...ni Ujinga ...ujinga na udhaifu wa hali ya juu ..ule ambao umifikisha CCM na taifa hapa lililopo..Lina sambaratika kwa kuogopana na kupigiana magoti...!

Ujinga unaofanywa na vijikampeni vya kitoto vya KUVUANA MAGAMBA kwa woga na kutetemekeakea kule CCM ..IWE NI MWIKO ..

...NDIO IWE NI MWIKO CHADEMA ....NA HESHIMA YA CHADEMA IWE HIYO ..CHAMA KIBAKI AU KISIBAKI ..HATUTAKI MAMBO YA KIJINGA KAMA YA KUVUANA GAMBA...kwa udhaifu wa kutia Aibu chama na Taifa la Tanzania.

DO WHAT MUST BE DONE ...DO THE IMPOSSIBLE...TAKE WHATAEVER THE CONSIQUECESES! ..AND GOD BLESS IT..!!!

Hiiki ndicho kinakosekana nchini..hakuna ujasiri, ushujaa wenye upendo wa maamuzi mazito ulioshehini nidhamu na uwajibikaji!!

Hilo haliwezi kukwepa ili kurudisha heshima ya nchi na waasisi wake!
Swadakta,,Azimio Jipya"Askari haendi vitani akimuona adui badala ya kupambana eti anampa mgongo ni vita tu mpaka tone la mwisho.
 
Sitaki kusema jambo ambalo madiwani hao kesho watatangaza juu ya hatima ya Chadema Aarusha! Chadema kazi mnayo arusha kama mlitumia akili ya kombati kwa jambo hili mtajutiaaaaa! Subirini kesho news kutoka A town!
<br />
<br />

nikwambie kitu? Unafaham hao watu walichaguliwa kwa vigezo vip? Kwanza ilikuwa ni itikadi yao na pili ni umahiri wao! Unafikiri wale watu wote walioandaman kule arusha walikuwa wanataka umeya au muafaka?

Walikuwa wanataka haki itendeke hata kama umeya na unaibu wake vingechukuliwa na magamba baada ya uchanguzi wa pili hilo lisingekuwa na tatzo ilimradi taratibu na kanuni zimefuatwa...! Upo hapo mkuu?
 
Mimi sina wasiwasi kabisa hata samaki akivuliwa huwa hafi mara moja atarukaruka baadae atanyooka mwenyewe
hata hawa tuwape muda tutawasahau muda si mrefu.


akina kafulila wapo wapi? si wameenda vyama vingine je tungewakumbatia nani angethubutu kuwahoji hawa wengine?

huwezi kuingia makubaliano na ccm bila makao makuu kuwapeni baraka, mlichotakiwa ni kuomba radhi na kuanza upya mchakato wa kukubaliana na ccm. sasa nnataka kutuambia nini sasa? kutoa siri za chama? mlikuwa wapi? mfa maji haishi kutapatapa. hii iwe fundisho kwa wote esp akina shibuda!! hata iwe mboe au dk slaa wakikosea fukuzilia mbali.

najuta kuzaliwa mwafrika mtanzania bora ningezaliwa mzungu ningekuwa na akili za kufikiri!
 
I think even if CDM loose the vote in Arusha; they are have done the best decision to be incorporated in our history!
 
<font size="3"><span style="font-family: lucida console"><b>Ngoma bado mbichi kabisa subiri utasikia mwenyewe.</b></span></font>
<br />
<br />
Ngoma imekwisha, wananchi wa Arusha wataamua! Namshangaa sana yule diwani Ras kwa kufata mkumbo wa yule kitambi a.k.a naibu meya!
 
ni bora kukosa kata zote lakini tukabaki na heshima na utu wetu uwezi kuwafunga wahuni kama
hao heti kwa kuogapa kupoteza kata tano za nini zina manufaa gani kwa wananchi wa tz lazima
kwanza heshima kwa wananchi siyo kukimbilia posho tuuu kwani tunatafutia watu ajira kama ni
basi hakuna haja ya kupiga kura ?

kikupacho raha na uchungu kitakupa
 
Nashukuru walau nina mwanga kidogo na hoja walizong'ang'ania hao madiwani.

Juzi nilibanwa na mwana-CCM mmoja kwa hoja kwamba wale madiwani walitumia akili sana kuangalia maslahi ya Arusha.

Sikai Arusha lakini akanipa mfano unaoweza kumvuta mtu yeyote kwamba hata mikutano sasa haiendi tena AICC ndiyo maana wanakuja MLIMANI CITY.

Ni kweli kwa mtu asiyejiandaa hoja hizi ni kali na nilitoka pale sina hoja ya kumbishia ndipo nikajaa kichwani maswali kutaka kujua hoja zao.

Kuna mmoja amesema tuunge thread. Nimeileta topic hii makusudi ili tupate kujitumbukiza kwenye viatu vya CC-CHADEMA tukiwa na hoja zao jamvini na nzuri zaidi kama kuna kauli zao zilikwenda hewani bila kupitia any sort of reporter or asseror.
 
hiki siyo chama cha masharabaro kama chama cha magamba ni chama cha kazi na maamuzi ya moto moto

Hakuna kulala mpaka kieleweke wewe uwezi tupishe kaa pembeni na waache wanaume wafanyie kazi nendeni
mkaanzishe uhuni wenu huko mnataka kuongea nini na mkiwa chama gani kwani mmeshafukuzwa amuoni
kuwa mtakuwa mnajidhalilisha sasa mnaongea kama madiwani ,au wanachama wa chadema au wa ccm?

Kikupacho raha na uchungu kitakupa
 
WanaJF,

Hoja yangu ni kwamba tangu CHADEMA ianze process ya kuchunguza kilichosababisha hawa madiwani kuingia muafaka feki tumeona hatua nyingi zikitumika.

Hatua kama upelelezi hadi jana kufukuzwa.

Lakini nimeona kwamba hatua zote zile wasemaji wamekuwa ni chama au watetezi wa kupinga muafaka.

Binafsi napinga muafaka feki. Lakini, je, inawezekanaje hawa madiwani wasiwe na hoja kabisa waliyoitumia kujitetea toka kika walipopewa nafasi hiyo.

Hivi utetezi wao ulijengwa kwa msingi upi?

Inawezekana nimezembea kufuatilia jambo hili, lakini inaniwia vigumu kuamini kuwa waliofukuzwa hawajui nini maana ya utovu wa nidhamu kwa kuingia muafaka bila ridhaa ya makao makuu. Na wakang'ang'ania utovu huo hadi kufukuzwa!

Nawaomba ili tufunuane akili kwa kujadili kauli zao walizotumia kujitetea kama mahakamani ambako mhalifu hata akitiwa hatiani tuna rekodi ya utetezi wake.

Ndugu!
Hao watu waliambiwa waachie hivyo vyeo wakakataa!

What else do you expect? kwanza kamati kuu imewachelewesha sana! they could have sucked them long ago!
 
Mtafaruku wa kisiasa ndani ya CDM halmashauri ya manispaa ya ARUSHA unazidi kuendelea. Madiwani waliofukuzwa na CDM wameandaa kikao jioni ya leo mjini Arusha kwa lengo la kuwapa wananchi hali halisi kuhusiana na sakata zima la CDM hapo A town. Tunaomba kwa mwenyezi mungu, sakata la CDM liishe salama ili chama kizidi kuchanja mbuga na kushiriki vizuri mchuano wa IGUNGA wasije kupata kisingizio watapopata kipigo cha mbwa mwizi jimboni IGUNGA wasije na kisinngizio cha mtafaruku wa A town.
ni wanachama wa chama gani ?wanaongea kama nani? bila chama uwezi kuwa diwani wanatangaza kurudi kwa baba yao chama cha magamba kazi waliyotumwa imewashinda baada yakuwa, shutikia kuwa ni wasaliti na wavurugaji wa chama cha maendeleo poleni sana ndiyo maisha karibuni sana kwenye kilimo vuli ndiyo inaanza njooni
tuandae mashamba tayari kwa kilimo siasa zimewashinda
 
mkuu freedom of flag, tunachojaribu kukiangalia ni kwanini hawakutii mapendekezo ya kamati kuu pamoja kushauriwa na watu mbalimbali mfano mzee mtei..
<br />
<br />
ni kweli kabisa Mkuu, hawa jamaa walishauriwa sana kabla ya maamuzi, lakini walisimamia hata wasichokiamini. Hii inanipa imani kwamba Mallah na wenzake walikuwa na agenda za siri kuivuruga chadema, bahati mbaya kakwaa kisiki, nadhani hata aliyemtuma atakuwa ICU kwa maamuzi ya chadema. Watalipa hela za magamba pumbavu zao.

Nina hasira nao sana hawa jamaa, nakumbuka siku Akina Marando walipokuja Arusha mmoja wao alinipigia simu asubuhi, akaniambia endapo nitaulizwa na akina Marando kuhusu suala la muafaka nimjibu kuwa sisi viongozi wa chama tunaukubali muafaka, lakini eti tunamshangaa Lema.

Nami nikamwuliza kama ataniambia walichoafikiana ni nini, masharti yao yalikuwa yapi, na vipi kuhusu kesi, mauaji ya watu ya januari 5, na watu waliopata vilema? Hakunipa jibu, japo sipendi kutukana lakini nitoa dongo.
 
1. matakwa ya chadema hayatekelezeki 2. wananchi wanataka kuona mabadiliko tangu wapewe madaraka 3. mbunge hakupita kuchukua hoja za kwenda nazo bungeni kutoka kwao pia hana msaada kwao mfano hakupita kwenye kata zao kuchukua wagonjwa na kuwapeleka kwa babu, 4. kutuhumiwa kuchukua rushwa kitu ambacho sio kweli na hili ndiyo wanataka kufungua kesi ili chadema iwasafishe kwenye mikutanoitakayofanywa na chadema...hayo ni baadhi ya madai yao..ila ngongo akija atayaelezea vema zaidi..

Kaka Hope ni mweji Arusha,Mimi mgeni na nina siku kama Mbili mjini hapa na nimekuwa nikiongea na watu tofautitofauti, na kuna mtu kaniambia kuwa DIWANI wa KITI MAALUMU Kafungua DUKA la HARDWARE KUBWA HAPO TOWN kwa hizo hela za RUSHWA, Je wewe unasemaje kuhusu hilo?
 
Siasa ina mambo ya ajabu mimi sishangai ya hapo arusha.

Mimi niko hapa igunga alikuja mweka hazina wa ccm hapa akawakusanya vijana zaidi ya mia tatu kwa makadirio ya kundi nami nilikaribia wamezungumza nae waliporudi wanasema huyu ndio mtu, kiongoz bwana asingekuja igunga ingekwenda upinzan .

Nikaona wanashusha bendera za cdm na kuweka za kijan. Wandugu kwa wabongo kaz bado mbichi sio ars tu
 
Siasa ina mambo ya ajabu mimi sishangai ya hapo arusha. Mimi niko hapa igunga alikuja mweka hazina wa ccm hapa akawakusanya vijana zaidi ya mia tatu kwa makadirio ya kundi nami nilikaribia wamezungumza nae waliporudi wanasema huyu ndio mtu, kiongoz bwana asingekuja igunga ingekwenda upinzan . Nikaona wanashusha bendera za cdm na kuweka za kijan. Wandugu kwa wabongo kaz bado mbichi sio ars tu
wametoa rushwa lazima kuna taarifa kamati kuu imeruhusu 2bilioni zitumike kama rushwa kubakiza jimbo lakini zubiri makamanda waje hapo utaona kivumbi wananchi wakiambiwa ukweli wa maisha yao wanabadilika ndani ya dk moja huyu jamaa anatapapa
tuuu ana jipya
 
Ngoma bado mbichi kabisa subiri utasikia mwenyewe.

Ngongo aggggggggggggrrrrrrrrrrr!!!!! Ulitabiri in 2010elections kwamba Lema siyo popular na hatashinda ubunge aliposhinda ukasema subirini huyu jamaa sijui hata kama atamaliza term yake ukawa unashabikia pia tetesi za Batilda kumpeleka Lema mahakamani.

Baadae ulipoona haitokei ukarukia kwenye maandamano ya Arusha kwamba in some ways it was Lema's fault, baadaye bungeni pale Lema alipotakiwa kuthibitisha madai yaliyoitwa uongo vs waziri mkuu na baadae baada ya mtafaruku wa hotuba ya mbadala ya wizara ya mambo ya ndani kwamba "mnaona prophecy yangu imetimia!!!!!!!!" Sasa umekomalia hili la madiwani kwamba it's entirely Lema's fault. Mkuu where r u gonna stop at??

Sina shaka na uanamapinduzi ulionao and I am sure wewe si gamba lakini kuna beef uliyo nayo na Lema. Man get some kool-aid and move on!
 
Mtafaruku wa kisiasa ndani ya CDM halmashauri ya manispaa ya ARUSHA unazidi kuendelea. Madiwani waliofukuzwa na CDM wameandaa kikao jioni ya leo mjini Arusha kwa lengo la kuwapa wananchi hali halisi kuhusiana na sakata zima la CDM hapo A town. Tunaomba kwa mwenyezi mungu, sakata la CDM liishe salama ili chama kizidi kuchanja mbuga na kushiriki vizuri mchuano wa IGUNGA wasije kupata kisingizio watapopata kipigo cha mbwa mwizi jimboni IGUNGA wasije na kisinngizio cha mtafaruku wa A town.

Nadhani hawa madiwani waliotoswa hawawajui wakazi wa arusha ama hawajaiva kisiasa.

Wao wanakomaa eti wamesingiziwa wamekula rushwa ila hapa kesi ya msingi ni kutotii maamuzi ya juu ya chama kulingana na katiba ya chama. Wataama mji pindi Slaa atakapofika Arusha.
 
I think even if CDM loose the vote in Arusha; they are have done the best decision to be incorporated in our history!

Papa D,

You said it very wisely!! That Is What POWER and Authority is all about!!

And this put a clear line between the POWER and ENERGY...

Energy is superficial ..cosmetic and fragile... But Power is Deep, Long lasting generation to generation, full of love and humanity...The Nation is missing this character ..no one has this after Mwalimu and his company has left the ... We need someone to bring it back ..NOW!

We want The REAL POWER OF HUMANITY ..Full of character, Moral supiriority, responsibilities... we have to stop ..ice cream and sweet ..politics ..we want Clear Power and true humane Authority while dealing with serious matters of LIFE and community development!!

We can not deal dal ..We have to ACT...FIRMLY, CALMLY WITH KINDNESS; BACKED WITH FULL FORCE (THE TOUGH LOVE) ...and when CCM see this and when NCCR see this and when all Tanzanians see this ... They have something to learn ..and tell it to thier Members.. Its this kind of Love, kindness and firmness which will correct all the corrupters of this Nation!!
 
Back
Top Bottom