CHADEMA ngoma mbichi Arusha

<font size="3"><span style="font-family: book antiqua"><b>Mtafaruku wa kisiasa ndani ya CDM halmashauri ya manispaa ya ARUSHA unazidi kuendelea. Madiwani waliofukuzwa na CDM wameandaa kikao jioni ya leo mjini Arusha kwa lengo la kuwapa wananchi hali halisi kuhusiana na sakata zima la CDM hapo A town. <font color="#0000ff">Tunaomba kwa mwenyezi mungu, sakata la CDM liishe salama ili chama kizidi kuchanja mbuga na kushiriki vizuri mchuano wa IGUNGA wasije kupata kisingizio watapopata kipigo cha mbwa mwizi jimboni IGUNGA wasije na kisinngizio cha mtafaruku wa A town.</font></b></span></font>
<br />
<br />
Mafilili,huna hoja hayo ni maneno ya mfa maji,ukweli na haki vitashinda daima,chadema bado ni imara sana,na tunajua mbinu zote wanazotaka kutumia,ila bado ari ya umma wa Arusha ipo juu sana,na wanafurahia maamuzi ya CC
 
Sitaki kusema jambo ambalo madiwani hao kesho watatangaza juu ya hatima ya Chadema Aarusha! Chadema kazi mnayo arusha kama mlitumia akili ya kombati kwa jambo hili mtajutiaaaaa! Subirini kesho news kutoka A town!

Hawana jipya hao kazi yao imekwisha, waende chama kingine kinachokubali rushwa sio CDM, kwa heri!
 
Mtafaruku wa kisiasa ndani ya CDM halmashauri ya manispaa ya ARUSHA unazidi kuendelea. Madiwani waliofukuzwa na CDM wameandaa kikao jioni ya leo mjini Arusha kwa lengo la kuwapa wananchi hali halisi kuhusiana na sakata zima la CDM hapo A town. Tunaomba kwa mwenyezi mungu, sakata la CDM liishe salama ili chama kizidi kuchanja mbuga na kushiriki vizuri mchuano wa IGUNGA wasije kupata kisingizio watapopata kipigo cha mbwa mwizi jimboni IGUNGA wasije na kisinngizio cha mtafaruku wa A town.
Usidanganye umma CDM ni chama makini chenye viongozi makini wanaomaliza matatizo kwa wakati muafakatofauti na wazee wa magamba wanaokaa vikao kuwaomba wahalifu waachie ngazi badala ya kuwawajibisha. CDM itasonga mbele, Arusha wanajua hilo na watanzania wenye fikra pevu wanalijua hilo.
 
Arusha watu sio wajinga kama unavyo fikiri ngoja wenyewe CC CDM waje wawaeleze wananchi ni kwa nini waliamua kuwafukuza uanachama hao mafisadi!!!!!!!!!!! Hatuwezi kuendelea kufuga mafisadi eti kwa sababu tunaogopa CCM, hizo fedha walizopewa ndio mwisho wao!!!!!!!!!!
CDM ni corruption freezone!!!!!!!!!!

thanx kwa kunena!
 
Ingekuwa ni upuuzi kwa namana yeyote ...kuwakubali na kuwa nyeyekea madiwani kwa namna mambo yalivyokuwa...

NIDHAMU NA UWAIBIKAJI ...ni muhimu ...lazima wafukuzwe na wafukuzwe waende mbali kabisa.... MATOKEO YOTE TUTAYAPOKEA!!

Bora kutokee kitakachotokea kuliko kuanza kunyeyekeaana na kukubali vitisho .... vya aina hiyo ndani ya chama.

Hiyo haiatkuwa na HESHIMA WALA NIDHAMU yeyote sasa na siku zijazo. Lazima kukubali uamuzi hata chamamkivunjieke ...lakini kivunjike kwa heshima.

Kuogopa kupoteza mtu au kikundi cha watu ...kwani Chama kitavunjika ...ni Ujinga ...ujinga na udhaifu wa hali ya juu ..ule ambao umifikisha CCM na taifa hapa lililopo..Lina sambaratika kwa kuogopana na kupigiana magoti...!

Ujinga unaofanywa na vijikampeni vya kitoto vya KUVUANA MAGAMBA kwa woga na kutetemekeakea kule CCM ..IWE NI MWIKO ..

...NDIO IWE NI MWIKO CHADEMA ....NA HESHIMA YA CHADEMA IWE HIYO ..CHAMA KIBAKI AU KISIBAKI ..HATUTAKI MAMBO YA KIJINGA KAMA YA KUVUANA GAMBA...kwa udhaifu wa kutia Aibu chama na Taifa la Tanzania.

DO WHAT MUST BE DONE ...DO THE IMPOSSIBLE...TAKE WHATAEVER THE CONSIQUECESES! ..AND GOD BLESS IT..!!!

Hiiki ndicho kinakosekana nchini..hakuna ujasiri, ushujaa wenye upendo wa maamuzi mazito ulioshehini nidhamu na uwajibikaji!!

Hilo haliwezi kukwepa ili kurudisha heshima ya nchi na waasisi wake!

My signature says what most of the african politicians have been doing!!

Kuhusu hiyo inshu ya A-town! naipongeza CC ya CDM kwsa maamuzi mazuri kwani kinyume cha hiyo hali hawa jamaa wangekuja kusumbua zaidi hapo mbeleni. Tangu mwanzo mwa huu mgogoro wa mwafaka, jamaa wamekuwa reluctant kana kwamba wanaendeleza siasa za CCM za kutishiana, kung'ang'ania madaraka which is too bad for our country.

Tukubali tusikubali, watanzania wamechoshwa na aina ya viongozi wasio kuwa na chembe hata kidogo ya madili ya uongozi, viongozi ambao wako kwa maslahi binafsi. Tunataka tuende kwenye uongozi wenye kujali maadili, CDM tunataka iendelee kuwa mfano wa kuigwa siyo kulinganisha kwa mabaya.

CDM binafsi nawapongeza kwa hilo. Wachangiaji wengine mnaosema CDM wameharibu, bora kukataa yale wanayofanya CCM ndani ya chama kuliko kuyakubali kwa kuhofia umaarufu kushuka.
 
Mimi sina wasiwasi kabisa hata samaki akivuliwa huwa hafi mara moja atarukaruka baadae atanyooka mwenyewe
hata hawa tuwape muda tutawasahau muda si mrefu.
 
wanajamii hawa wasaliti ingekuwa ni china enzi za Mao ndio wangejua madhara ya usaliti. Walisahau watu wamekufa, waliumizwa na polisi na kesi iko mahakamani ni kwamba wanataka hawa waheshimiwa wafungwe au? Hata hapa town hawatakaa kwa amani watazomewa kila kona
 
A town ni ngome ya chadema. Hata serikali inajua. Ushahidi anao yule dada aliegombea ubunge
 
Ingekuwa ni upuuzi kwa namana yeyote ...kuwakubali na kuwa nyeyekea madiwani kwa namna mambo yalivyokuwa...<br />
<br />
NIDHAMU NA UWAIBIKAJI ...ni muhimu ...lazima wafukuzwe na wafukuzwe waende mbali kabisa.... MATOKEO YOTE TUTAYAPOKEA!!<br />
<br />
Bora kutokee kitakachotokea kuliko kuanza kunyeyekeaana na kukubali vitisho .... vya aina hiyo ndani ya chama. <br />
<br />
Hiyo haiatkuwa na HESHIMA WALA NIDHAMU yeyote sasa na siku zijazo. <b>Lazima kukubali uamuzi hata chamamkivunjieke ...lakini kivunjike kwa heshima.</b><br />
<br />
Kuogopa kupoteza mtu au kikundi cha watu ...kwani Chama kitavunjika ...ni Ujinga ...<b>ujinga na udhaifu wa hali ya juu ..ule ambao umifikisha CCM na taifa hapa lililopo..Lina sambaratika kwa kuogopana na kupigiana magoti...!</b><br />
<br />
Ujinga unaofanywa na vijikampeni vya kitoto vya KUVUANA MAGAMBA kwa woga na kutetemekeakea kule CCM ..IWE NI MWIKO ..<br />
<br />
...NDIO IWE NI MWIKO CHADEMA ....NA HESHIMA YA CHADEMA IWE HIYO ..CHAMA KIBAKI AU KISIBAKI ..HATUTAKI MAMBO YA KIJINGA KAMA YA KUVUANA GAMBA...kwa udhaifu wa kutia Aibu chama na Taifa la Tanzania.<br />
<br />
DO WHAT MUST BE DONE ...DO THE IMPOSSIBLE...TAKE WHATAEVER THE CONSIQUECESES! ..AND GOD BLESS IT..!!!<br />
<br />
Hiiki ndicho kinakosekana nchini..hakuna ujasiri, ushujaa wenye upendo wa maamuzi mazito ulioshehini nidhamu na uwajibikaji!! <br />
<br />
Hilo haliwezi kukwepa ili kurudisha heshima ya nchi na waasisi wake!
<br />
<br />
 
Sitaki kusema jambo ambalo madiwani hao kesho watatangaza juu ya hatima ya Chadema Aarusha! Chadema kazi mnayo arusha kama mlitumia akili ya kombati kwa jambo hili mtajutiaaaaa! Subirini kesho news kutoka A town!

mwana JFs hofu na uoga wa nn? hapa jamvini hatustahili kuwa waoga., umakini wetu utapotea! hiki kipindi cyo cha kuwa waoga, tutashindwa vita
hofu na uoga sasa ni laana!
 
Mafilili,huna hoja hayo ni maneno ya mfa maji,ukweli na haki vitashinda daima,chadema bado ni imara sana,na tunajua mbinu zote wanazotaka kutumia,ila bado ari ya umma wa Arusha ipo juu sana,na wanafurahia maamuzi ya CC
Nanyaro achana nae huyo ameanzisha thread ya kuwafariji kina Ngongo, Mzee wa Posho na wengine inawezekana ni genge la wahuni wachache watakutana kwenye bar kama wale waliopanga kufunga ofisi wanatapatapa tu nyie songeni mbele watajifia wenyewe.
 
Ingekuwa ni upuuzi kwa namana yeyote ...kuwakubali na kuwa nyeyekea madiwani kwa namna mambo yalivyokuwa...

NIDHAMU NA UWAIBIKAJI ...ni muhimu ...lazima wafukuzwe na wafukuzwe waende mbali kabisa.... MATOKEO YOTE TUTAYAPOKEA!!

Bora kutokee kitakachotokea kuliko kuanza kunyeyekeaana na kukubali vitisho .... vya aina hiyo ndani ya chama.

Hiyo haiatkuwa na HESHIMA WALA NIDHAMU yeyote sasa na siku zijazo. Lazima kukubali uamuzi hata chamamkivunjieke ...lakini kivunjike kwa heshima.

Kuogopa kupoteza mtu au kikundi cha watu ...kwani Chama kitavunjika ...ni Ujinga ...ujinga na udhaifu wa hali ya juu ..ule ambao umifikisha CCM na taifa hapa lililopo..Lina sambaratika kwa kuogopana na kupigiana magoti...!

Ujinga unaofanywa na vijikampeni vya kitoto vya KUVUANA MAGAMBA kwa woga na kutetemekeakea kule CCM ..IWE NI MWIKO ..

...NDIO IWE NI MWIKO CHADEMA ....NA HESHIMA YA CHADEMA IWE HIYO ..CHAMA KIBAKI AU KISIBAKI ..HATUTAKI MAMBO YA KIJINGA KAMA YA KUVUANA GAMBA...kwa udhaifu wa kutia Aibu chama na Taifa la Tanzania.

DO WHAT MUST BE DONE ...DO THE IMPOSSIBLE...TAKE WHATAEVER THE CONSIQUECESES! ..AND GOD BLESS IT..!!!

Hiiki ndicho kinakosekana nchini..hakuna ujasiri, ushujaa wenye upendo wa maamuzi mazito ulioshehini nidhamu na uwajibikaji!!

Hilo haliwezi kukwepa ili kurudisha heshima ya nchi na waasisi wake!









Great,great decisions are made by great people
 
<br />
<br />
Mafilili,huna hoja hayo ni maneno ya mfa maji,ukweli na haki vitashinda daima,chadema bado ni imara sana,na tunajua mbinu zote wanazotaka kutumia,ila bado ari ya umma wa Arusha ipo juu sana,na wanafurahia maamuzi ya CC

Mheshimiwa CDM Mkoa wa AR mnatakiwa kuandaa mikutano yenu kufafanua umuhimu wa maamuzi ya CC kwa wananchni hata kama hali ni nzuri maana msipofanya hivyo mtawapa nafasi ya kutia chumvi nyingi kwenye mboga.
 
WanaJF,

Hoja yangu ni kwamba tangu CHADEMA ianze process ya kuchunguza kilichosababisha hawa madiwani kuingia muafaka feki tumeona hatua nyingi zikitumika.

Hatua kama upelelezi hadi jana kufukuzwa.

Lakini nimeona kwamba hatua zote zile wasemaji wamekuwa ni chama au watetezi wa kupinga muafaka.

Binafsi napinga muafaka feki. Lakini, je, inawezekanaje hawa madiwani wasiwe na hoja kabisa waliyoitumia kujitetea toka kika walipopewa nafasi hiyo.

Hivi utetezi wao ulijengwa kwa msingi upi?

Inawezekana nimezembea kufuatilia jambo hili, lakini inaniwia vigumu kuamini kuwa waliofukuzwa hawajui nini maana ya utovu wa nidhamu kwa kuingia muafaka bila ridhaa ya makao makuu. Na wakang'ang'ania utovu huo hadi kufukuzwa!

Nawaomba ili tufunuane akili kwa kujadili kauli zao walizotumia kujitetea kama mahakamani ambako mhalifu hata akitiwa hatiani tuna rekodi ya utetezi wake.
 
Shughuli ya Arusha ni nzito, CDM hawawezi kutetea viti vyote hivyo. Madiwani walichagliwa kw anguvu ya Umma, leo wanatolewa kwa nguvu ya CDM CC.


Tatizo ni akili za wachache wenu kuziruhusu zikakaa zimefunikwa ndani ya gamba, hamuoni nje ya hapo! Chadema haitafuti kuwa na viti au majibo CDM ni chama chenye misingi ya uongozi na chenye kusimamia taratibu na uadilifu si ulafi wa kulamba kila kitu eti kisa unataka viti au majimbo.

Pili madiwani walichaguliwa na umma ambao ndio sisi tumekuwa tukisema wafukuzwe, sijui wewe ulikuwa wapi lakini pia umma haukuwateua bali walipendekezwa na CDM CC nasi tukawaunga mkono kama ambavyo tunaunga mkono uamuzi mgumu wa CDM CC kuwa ondoa katika safu ya ukombozi Taifa letu tukufu la Tanzania.

Bora uwe na mkuki mmoja tu uliokamilika kuliko pondo lililojaa vipande pande vya mikuki elfu.
Nakushukuru kwa kuielewa taswira na falsafa ya CDM na umma ilio nao.
 
Shughuli ya Arusha ni nzito, CDM hawawezi kutetea viti vyote hivyo. Madiwani walichagliwa kw anguvu ya Umma, leo wanatolewa kwa nguvu ya CDM CC.
hivi hujajiuliza kuwa nguvu ya umma hiyohiyo ilikuwa inataka hao madiwani wavuliwe udiwani kwa kukubali muafaka batili na CCM?
 
Back
Top Bottom