CHADEMA ngoma mbichi Arusha

Nasikia HARUFU ya Madiwani waliofukuzwa Chadema kuja hapa na KUBWABWAJA, au ndugu zao?

Nawaomba wawalilie CCM ili ile sheria ya WAGOMBEA HURU ipitishwe Chap Chap na hawa jamaa wataendelea kuwa MADIWANI.

Vinginevyo basi walie tu. Ni kweli hawa jamaa HAWAJAFUKUZWA Udiwani. Wamefukuzwa ndani ya Chama.

Mengine hayo yanayofuata ni CCM EFFECT.
 
Ni utovu wa nidhamu kujiamulia mambo kama hayo ya kukubaliana na muuaji aliyeua watu unaowatumikia bila ya makubaliano ya pamoja na viongozi wakuu wa chama.

Kwa vile CDM siyo kama Magamba inabidi wachukue hatua ambazo zitaonekana waziwazi ili iwe kielelezo cha kwamba, hata wakitawala wako tayari kuchukua maamuzi magumu bila kuangalia nani ana nini!

CDM mlichofanya nawapongeza sana.
 
Wajue wasaliti wa Chadema na wananchi

L-R: Estomih Mallah(Kimandolu), John Bayo(Elerai), Ruben Ngowi(Themi), Rehema Mohamed(Special Seat) and Charles Mpanda(kaloleni).
 
Mtafaruku wa kisiasa ndani ya CDM halmashauri ya manispaa ya ARUSHA unazidi kuendelea. Madiwani waliofukuzwa na CDM wameandaa kikao jioni ya leo mjini Arusha kwa lengo la kuwapa wananchi hali halisi kuhusiana na sakata zima la CDM hapo A town. Tunaomba kwa mwenyezi mungu, sakata la CDM liishe salama ili chama kizidi kuchanja mbuga na kushiriki vizuri mchuano wa IGUNGA wasije kupata kisingizio watapopata kipigo cha mbwa mwizi jimboni IGUNGA wasije na kisinngizio cha mtafaruku wa A town.

Kweli kuna kitu kinanipanda ninaporudishwa kuwafikiria "Madiwani waliofukuzwa" Sahihisho nijuavyo mimi wamefukuzwa uanachama CDM kwa hiyo mimi nakushauri elekeza mawazo yako kwenye kuboresha siasa za Arusha hata kama ni kufikiria ubora wa CCM ambao sisi wa Arusha hutuuoni.

Labda nikupe wazo la kufikiri. Kwani lazima kuwa madiwani? Kama jibu ni ndio wakatafute chama cha kugombea mbali na CDM.
 
1. matakwa ya chadema hayatekelezeki

2. wananchi wanataka kuona mabadiliko tangu wapewe madaraka

3. mbunge hakupita kuchukua hoja za kwenda nazo bungeni kutoka kwao pia hana msaada kwao mfano hakupita kwenye kata zao kuchukua wagonjwa na kuwapeleka kwa babu

4. kutuhumiwa kuchukua rushwa kitu ambacho sio kweli na hili ndiyo wanataka kufungua kesi ili chadema iwasafishe kwenye mikutanoitakayofanywa na chadema, hayo ni baadhi ya madai yao ila ngongo akija atayaelezea vema zaidi..
 
1. matakwa ya chadema hayatekelezeki 2. wananchi wanataka kuona mabadiliko tangu wapewe madaraka 3. mbunge hakupita kuchukua hoja za kwenda nazo bungeni kutoka kwao pia hana msaada kwao mfano hakupita kwenye kata zao kuchukua wagonjwa na kuwapeleka kwa babu, 4. kutuhumiwa kuchukua rushwa kitu ambacho sio kweli na hili ndiyo wanataka kufungua kesi ili chadema iwasafishe kwenye mikutanoitakayofanywa na chadema...hayo ni baadhi ya madai yao..ila ngongo akija atayaelezea vema zaidi..
Asante sana mwakilishi wao sikuwa naelewa kumbe kupeleka wagonjwa kwa babu ni jukumu la mbunge ngoja nimtafute mbunge wangu.
 
mkuu kuna siku dr slaa alianzisha thread na aliliweka vema sana swala hili hakika kama ningekuwana pc ningeyaweka hapa..hawa jamaa waliokuwa madiwani mwanzo walipewa rungu la kutafuta mwafaka kabla ya tarehe 29.4 kuzuiliwa ili mbowe na waziri mkuu pinda waendelee na majadiliano baada yapo wao wakaendelea na majadiliano huku wakiwafisha baadhi ya madiwani je kama kulikuwa na nia njema kwanini waliendelea na majadiliano tena kwa siri kwanini siku ya uchaguzi naibu meya haukutangazwa
 
Asante sana mwakilishi wao sikuwa naelewa kumbe kupeleka wagonjwa kwa babu ni jukumu la mbunge ngoja nimtafute mbunge wangu.
jamani msinisakame bure mimi nimemjibu huyo alieuliza madai yao..na kwa ukweli nimekuwa nikiwasiliana na madiwani hawa kujua madai yao lakini kamwe siwaungi mkono..nisomeni vizuri mabandiko yangu
 
Ingekuwa ni upuuzi kwa namana yeyote ...kuwakubali na kuwa nyeyekea madiwani kwa namna mambo yalivyokuwa...<br />
<br />
NIDHAMU NA UWAIBIKAJI ...ni muhimu ...lazima wafukuzwe na wafukuzwe waende mbali kabisa.... MATOKEO YOTE TUTAYAPOKEA!!<br />
<br />
Bora kutokee kitakachotokea kuliko kuanza kunyeyekeaana na kukubali vitisho .... vya aina hiyo ndani ya chama. <br />
<br />
Hiyo haiatkuwa na HESHIMA WALA NIDHAMU yeyote sasa na siku zijazo. <b>Lazima kukubali uamuzi hata chamamkivunjieke ...lakini kivunjike kwa heshima.</b><br />
<br />
Kuogopa kupoteza mtu au kikundi cha watu ...kwani Chama kitavunjika ...ni Ujinga ...<b>ujinga na udhaifu wa hali ya juu ..ule ambao umifikisha CCM na taifa hapa lililopo..Lina sambaratika kwa kuogopana na kupigiana magoti...!</b><br />
<br />
Ujinga unaofanywa na vijikampeni vya kitoto vya KUVUANA MAGAMBA kwa woga na kutetemekeakea kule CCM ..IWE NI MWIKO ..<br />
<br />
...NDIO IWE NI MWIKO CHADEMA ....NA HESHIMA YA CHADEMA IWE HIYO ..CHAMA KIBAKI AU KISIBAKI ..HATUTAKI MAMBO YA KIJINGA KAMA YA KUVUANA GAMBA...kwa udhaifu wa kutia Aibu chama na Taifa la Tanzania.<br />
<br />
DO WHAT MUST BE DONE ...DO THE IMPOSSIBLE...TAKE WHATAEVER THE CONSIQUECESES! ..AND GOD BLESS IT..!!!<br />
<br />
Hiiki ndicho kinakosekana nchini..hakuna ujasiri, ushujaa wenye upendo wa maamuzi mazito ulioshehini nidhamu na uwajibikaji!! <br />
<br />
Hilo haliwezi kukwepa ili kurudisha heshima ya nchi na waasisi wake!
<br />
<br />


Thanks
 
Madiwani hawakufukuzwa kwa kosa la kuingia kwenye muafaka wala kupokea rushwa. Point ya msingi ni kwamba walikaidi maagizo halali ya kamati kuu.

Kumbuka kuwa kamati ni chombo cha mwisho cha maamuzi ndani ya chama. Hivyo kilichotakiwa ilikuwa nikutekeleza agizo halali ya kamati kuu, then kama wana complains zozote ndio wanatoa.

Amri lazima itekelezwe. Viva chadema kwa maamuzi magumu
 
Hivi hata wewe crashwise umeshachakachuliwa?
haha haha..mkuu usinichekeshe wakati nina hasira..ongopa mtu una msapoti kwa hari na mali..leo anasimamia madai kama eti mbuge hana msaada wowote hakuja kuchukua wagojwa kwenye kata yangu kwenda kwa babu kweli huyu ndie diwani tulie mhangaikia..
 
CDM kazi wamemaliza na wamerudisha heshima ya chama. Wahuni hawana nafasi ndani ya chama makini.
 
Hivi hata wewe crashwise umeshachakachuliwa?
Mimi namweshimu sana crashwise kwa jinsi anavyotuletea habari za AR lakini siku za hivi karibuni anaonekana kama kaumizwa na kitendo cha madiwani kufuzwa ila bado anajitahidi sana ku balance habari asionekane yuko upande gani.
 
Kweli kuna kitu kinanipanda ninaporudishwa kuwafikiria "Madiwani waliofukuzwa" Sahihisho nijuavyo mimi wamefukuzwa uanachama CDM kwa hiyo mimi nakushauri elekeza mawazo yako kwenye kuboresha siasa za Arusha hata kama ni kufikiria ubora wa CCM ambao sisi wa Arusha hutuuoni.

Labda nikupe wazo la kufikiri. Kwani lazima kuwa madiwani? Kama jibu ni ndio wakatafute chama cha kugombea mbali na CDM.

Mkuu umemaliza, kwani lazima wakafanye uhuni ndani ya CDM?
 
mkuu freedom of flag, tunachojaribu kukiangalia ni kwanini hawakutii mapendekezo ya kamati kuu pamoja kushauriwa na watu mbalimbali mfano mzee mtei..
 
Ingekuwa ni upuuzi kwa namana yeyote ...kuwakubali na kuwa nyeyekea madiwani kwa namna mambo yalivyokuwa...

NIDHAMU NA UWAIBIKAJI ...ni muhimu ...lazima wafukuzwe na wafukuzwe waende mbali kabisa.... MATOKEO YOTE TUTAYAPOKEA!!

Bora kutokee kitakachotokea kuliko kuanza kunyeyekeaana na kukubali vitisho .... vya aina hiyo ndani ya chama.

Hiyo haiatkuwa na HESHIMA WALA NIDHAMU yeyote sasa na siku zijazo. Lazima kukubali uamuzi hata chamamkivunjieke ...lakini kivunjike kwa heshima.

Kuogopa kupoteza mtu au kikundi cha watu ...kwani Chama kitavunjika ...ni Ujinga ...ujinga na udhaifu wa hali ya juu ..ule ambao umifikisha CCM na taifa hapa lililopo..Lina sambaratika kwa kuogopana na kupigiana magoti...!

Ujinga unaofanywa na vijikampeni vya kitoto vya KUVUANA MAGAMBA kwa woga na kutetemekeakea kule CCM ..IWE NI MWIKO ..

...NDIO IWE NI MWIKO CHADEMA ....NA HESHIMA YA CHADEMA IWE HIYO ..CHAMA KIBAKI AU KISIBAKI ..HATUTAKI MAMBO YA KIJINGA KAMA YA KUVUANA GAMBA...kwa udhaifu wa kutia Aibu chama na Taifa la Tanzania.

DO WHAT MUST BE DONE ...DO THE IMPOSSIBLE...TAKE WHATAEVER THE CONSIQUECESES! ..AND GOD BLESS IT..!!!

Hiiki ndicho kinakosekana nchini..hakuna ujasiri, ushujaa wenye upendo wa maamuzi mazito ulioshehini nidhamu na uwajibikaji!!

Hilo haliwezi kukwepa ili kurudisha heshima ya nchi na waasisi wake!

Mkuu umekamilisha yote
Nidhamu,heshima na uwajibikaji,kuogopana, kubembelezana,kupigiana magoti ni mwiko!
Hatuwezi kuendesha mambo kama Magamba!
 
Saharavoice,
Afadhali tukose viti in the short term ili tujenge uongozi bora in the long term.

ni kweli kabisa na hili nampongeza sana dr slaa chama lazima kiwe imara kuliko kuyumba yumba na in future kitadhaminika sio magamba wanaogopana wao kwa wao ndio maana EL anawaambia mkiwaga mboga namwaga ugali!!

na hiyo isiishie hapo tu iende mbali kuondoa watu wanafiki, wasifuata utaratibu then mtaheshimika kwenye kusimamia msimamo! hope mgekuwa madarakani mgekuwa mshawafutilia mbali leseni wauza mafuta kwa kugoma!
 
Back
Top Bottom