Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Nasikia HARUFU ya Madiwani waliofukuzwa Chadema kuja hapa na KUBWABWAJA, au ndugu zao?
Nawaomba wawalilie CCM ili ile sheria ya WAGOMBEA HURU ipitishwe Chap Chap na hawa jamaa wataendelea kuwa MADIWANI.
Vinginevyo basi walie tu. Ni kweli hawa jamaa HAWAJAFUKUZWA Udiwani. Wamefukuzwa ndani ya Chama.
Mengine hayo yanayofuata ni CCM EFFECT.
Nawaomba wawalilie CCM ili ile sheria ya WAGOMBEA HURU ipitishwe Chap Chap na hawa jamaa wataendelea kuwa MADIWANI.
Vinginevyo basi walie tu. Ni kweli hawa jamaa HAWAJAFUKUZWA Udiwani. Wamefukuzwa ndani ya Chama.
Mengine hayo yanayofuata ni CCM EFFECT.