Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,978
- 5,025
<br />CDM CC IMEWAVUA UANACHAMA au IMEWAFUKUZA UDIWANI?
<br />
imewavua uanachama,huko mbele tafuta sheria usome!
<br />CDM CC IMEWAVUA UANACHAMA au IMEWAFUKUZA UDIWANI?
Nikupateje,Nashukuru walau nina mwanga kidogo na hoja walizong'ang'ania hao madiwani.
Juzi nilibanwa na mwana-CCM mmoja kwa hoja kwamba wale madiwani walitumia akili sana kuangalia maslahi ya Arusha.
Sikai Arusha lakini akanipa mfano unaoweza kumvuta mtu yeyote kwamba hata mikutano sasa haiendi tena AICC ndiyo maana wanakuja MLIMANI CITY.
Ni kweli kwa mtu asiyejiandaa hoja hizi ni kali na nilitoka pale sina hoja ya kumbishia ndipo nikajaa kichwani maswali kutaka kujua hoja zao.
Kuna mmoja amesema tuunge thread. Nimeileta topic hii makusudi ili tupate kujitumbukiza kwenye viatu vya CC-CHADEMA tukiwa na hoja zao jamvini na nzuri zaidi kama kuna kauli zao zilikwenda hewani bila kupitia any sort of reporter or asseror.
Kumbe kuvuliwa uanachama kuna maana zaidi ya ninavyofahamu ! Bayo anaapa kuwa, kwa kutumia vikao (vya Chadema ?) au mahakama, atahakikisha anaendelea na nafasi ya udiwani hadi uchaguzi mkuu ujao - duh !"Binafsi sina kinyongo na chama changu nimepokea nimepokea uamuzi huo, lakini nakuhakikishia nitaendelea na nafasi ya udiwani hadi uchaguzi mkuu ujao, kuna njia nyingine ya kupinga uamuzi huo kupitia vikao au mahakama" alisema Bayo.
Kumbe kuvuliwa uanachama kuna maana zaidi ya ninavyofahamu ! Bayo anaapa kuwa, kwa kutumia vikao (vya Chadema ?) au mahakama, atahakikisha anaendelea na nafasi ya udiwani hadi uchaguzi mkuu ujao - duh !
you wish, mamgamba bwana. kwa taarifa yako watu walikuwa wanachangua chadema kuliko mtu... na tutateta kata zoteShughuli ya Arusha ni nzito, CDM hawawezi kutetea viti vyote hivyo. Madiwani walichagliwa kw anguvu ya Umma, leo wanatolewa kwa nguvu ya CDM CC.
#Shughuli ya Arusha ni nzito, CDM hawawezi kutetea viti vyote hivyo. Madiwani walichagliwa kw anguvu ya Umma, leo wanatolewa kwa nguvu ya CDM CC.
I wish kama ungemfahamu huyo jamaa usingemjibu,kikulacho ki nguoni mwako..................!Sema tu sheria za JF zinakataza watu kutoa ID ya mtu hadharani.Watu wa aina hii ni wa kuwaumbua tu hadharani wakati mwingine
Hili suala limeamuliwa na CC,kama ni kupinga mtu angeweza kufanya lobbying na kuppinga ndani ya CC hata kama haingii. Tusonge mbele.....!
Kumbe kuvuliwa uanachama kuna maana zaidi ya ninavyofahamu ! Bayo anaapa kuwa, kwa kutumia vikao (vya Chadema ?) au mahakama, atahakikisha anaendelea na nafasi ya udiwani hadi uchaguzi mkuu ujao - duh !
mkuu freedom of flag, tunachojaribu kukiangalia ni kwanini hawakutii mapendekezo ya kamati kuu pamoja kushauriwa na watu mbalimbali mfano mzee mtei..
Shughuli ya Arusha ni nzito, CDM hawawezi kutetea viti vyote hivyo. Madiwani walichagliwa kw anguvu ya Umma, leo wanatolewa kwa nguvu ya CDM CC.
Saharavoice,
Afadhali tukose viti in the short term ili tujenge uongozi bora in the long term.
Shughuli ya Arusha ni nzito, CDM hawawezi kutetea viti vyote hivyo. Madiwani walichagliwa kw anguvu ya Umma, leo wanatolewa kwa nguvu ya CDM CC.
hayo maswali niliyauliza siku nipoaambiwa mwafaka umepatikana na swali lingine ambalo nililiuliza ni kuhusiana na Mary Chitanda mbunge mkoa wa Tanga kuwa mpiga kura halali mkoa wa Arusha...alicho nijibu wameona bora kwanza waanze na mwafaka halafu baadae ndiyo watajadiliana na juzi jumamosi nilipowapigia waliniambia eti masharti ya CHADEMA yalikuwa hayatekelezeki.<br />
<br />
ni kweli kabisa Mkuu, hawa jamaa walishauriwa sana kabla ya maamuzi, lakini walisimamia hata wasichokiamini. Hii inanipa imani kwamba Mallah na wenzake walikuwa na agenda za siri kuivuruga chadema, bahati mbaya kakwaa kisiki, nadhani hata aliyemtuma atakuwa ICU kwa maamuzi ya chadema. Watalipa hela za magamba pumbavu zao. Nina hasira nao sana hawa jamaa, nakumbuka siku Akina Marando walipokuja Arusha mmoja wao alinipigia simu asubuhi, akaniambia endapo nitaulizwa na akina Marando kuhusu suala la muafaka nimjibu kuwa sisi viongozi wa chama tunaukubali muafaka, lakini eti tunamshangaa Lema. Nami nikamwuliza kama ataniambia walichoafikiana ni nini, masharti yao yalikuwa yapi, na vipi kuhusu kesi, mauaji ya watu ya januari 5, na watu waliopata vilema? Hakunipa jibu, japo sipendi kutukana lakini nitoa dongo.