Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,321
Ujumbe huu,tumeshaupenyeza sana kwa Dr Slaa,mara nyingi pia kwa Regia Mtema,zaidi kwa viongozi wa juu cdm. Nadhani wanalifanyia kazi na namtaka Dr Slaa au Regia(MB) achukue muda wake,awashe komputa na kuitafuta jf ili aweze kutuliza wote wenye hamu na shauku ya kuwa na vyombo huru vya umma wa watanzania,ikumbukwe kuwa kwa sasa hatuna vyombo vya umma kwa kuwa TBC Corporation imebinafshwa,je hapo 2015 chama tawala chadema itawezeje kutufikia wananchi? Katibu mkuu chadema hitimisha thread hii! Thanks Jf.