mnyikungu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2009
- 1,960
- 2,464
leo navunjwa mbavupicha ya rostam na lowasa wamekumbatiana na jk kwa mbali
leo navunjwa mbavupicha ya rostam na lowasa wamekumbatiana na jk kwa mbali
Ndugu zangu,
enzi za mwalimu CCM kilikuwa chama cha wafanyakazi na wakulima na ndio maana bendera yake ina jembe ikimaanisha wakulima na ina nyundo ikimaanisha wafanyakazi lakini sasa watu hawa hawana nafasi tena ndani ya chama.hinyo kuna umuhimu wa kubadilisha nembo hizo kwenye bendera ya CCM.
Kwa kuwa sasa CCM kimekuwa chama cha wafanyabiashara na familia zao,kuna umuhimu na bendera yao isadifu wanachama wake. je kama wewe wamekupa tenda ya kubuni nembo mbadala wa JEMBE na NYUNDO UNGEWEKA NEMBO GANI?
ndugu zangu,
enzi za mwalimu ccm kilikuwa chama cha wafanyakazi na wakulima na ndio maana bendera yake ina jembe ikimaanisha wakulima na ina nyundo ikimaanisha wafanyakazi lakini sasa watu hawa hawana nafasi tena ndani ya chama.hinyo kuna umuhimu wa kubadilisha nembo hizo kwenye bendera ya ccm.
Kwa kuwa sasa ccm kimekuwa chama cha wafanyabiashara na familia zao,kuna umuhimu na bendera yao isadifu wanachama wake. Je kama wewe wamekupa tenda ya kubuni nembo mbadala wa jembe na nyundo ungeweka nembo gani?
WanaJF,
Maneno hayo nimeyaazima kutoka kwenye post za Isekuu na LAT.
Nimejikuta natafakari nini maana ya alama ya Jembe na Nyundo. Je wakati haubadilishi maana? Jembe na Nyundo vimebaki, watu wamebadilika. Je sio muda wa kubadili nembo? Nadhani Umma na Kisu itafaa zaidi.
Ni ushauri tu kwa CCM.