CCM: Jembe na Nyundo ni alama sahihi kwa nyakati?

hhahaha!!! wabunifu wakubwa!! wakuuu naunga mkono hoja, umma & kisu!!! hata mhe. makamba & tambwe hiza wamechekelea sana hiyo, maana imewakuna ile mbaya!!!!!!
 
BabuLao,

You have made my day. Thank you very much. Inafanana nao sana!

Dorry alitoa hoja uwekwe na mrija!
 
Nadhani ni uma badala ya umma; ingawa kiswahili kinanigonga sana lakini nadhani hapa niko sahihi
 
Jembe labda linaendelezwa kwa KILIMO KWANZA, Nyundo imewashinda maana siku hizi ukisema wewe ni mfanyakazi wa serikali inaonekana kama unapoteza muda (mark time) sababu ni mishahara. Wangetumia neno mapinduzi kubadili nembo hiyo ambayo imepitwa na wakati.
 
avatar12347_1.gif


Nataka niitengeneze vizuri na niisajili kama trademark hii.
 
BabuLao,

You have made my day. Thank you very much. Inafanana nao sana!

Dorry alitoa hoja uwekwe na mrija!

Sawa uwekwe mrija na chini yake pawe na nembo ya CCM halafu.......MTENGENEZE FULANA HIZO TUZINUNUE JAMANI KWENU HAMTAKI FWEZA NYIE WENYE KAUWEZO KIDOGO?
 
WanaJF, Maneno hayo nimeyaazima kutoka kwenye post za Isekuu na LAT. Nimejikuta natafakari nini maana ya alama ya Jembe na Nyundo. Je wakati haubadilishi maana? Jembe na Nyundo vimebaki, watu wamebadilika. Je sio muda wa kubadili nembo? Nadhani Umma na Kisu itafaa zaidi. Ni ushauri tu kwa CCM.
ni kweli hiki chama kimekuwa na mweleko wa kutisha, hiki chama hapo mwanzo kililingana na cha kanu kenya na kwa sasa naona pia hakina tofauti na kanu kenya. Nakumbuka hapo nyuma ccm walikua wakienda zimbabwe kwa kampeni za mugabe baada ya zanu pf kuporomoka sasa wako kimyaa!! Nadhani sasa zamu yao kufulia au mwaonaje wenzangu.
 
Leo kuna mtu fulani kanijibu eti ni chama cha wakulima na wafanyakazi, lakini nilipochunguza nikaona vigogo wote walihomo humo ni wafanyabiashara tu, kwa maana ya kinyume chake. Hilo likanichanganya kidogo. Wana jamvi mwasemaje juu ya hili?
 
maana yake wamepitwa na wakati, wapo out of touch na reality
bora waweke ma land cruiser V8 kwenye bendera za CCM
 
maana yake ni mkulima na mfanyakazi hawaruhusiwi kuingia huko na ndiyo maana jembe (mkulima) na nyundo (mfanyakazi) vimewekwa kwa style ya X!!!!............ are you there??
 
maana yake ni mkulima na mfanyakazi hawaruhusiwi kuingia huko na ndiyo maana jembe (mkulima) na nyundo (mfanyakazi) vimewekwa kwa style ya X!!!!............ are you there??
hahahahhaha yaani ndo maana yake nilikuwa sijajua! ndo maana X
 
Jembe wanalima nyundo wanajenga!!
Wanalima rasilimali zetu na kutuzidishia ufakara na kuwaacha waTZ maskini na wanajenga mahekalu na pepo ndogo hapa dunia na fedha zingine kuwekeza nje ya nchi na kuziita vijisenti
 
Back
Top Bottom