CCM bado ina muda mrefu sana wa kuongoza, ni zaidi ya 2020

Acheni fikra mgando! Ktk demokrasia ya mfumo wa vyama vingi unawezaje kumkaribisha mwenzio mshindani ambaye kisiasa mnatofautiana Itikati?
 
Mkuu MAPURENDE,
Umeongea maneno ya ujenzi ni kweli unachosema..

Huwezi kuunda serikali wakati una wabunge 23 tu.

Baraza la mawaziri litakuwaje, na huko bungeni mnatapitishaje bajeti zenu wakati mpo wabunge 23 tu.

Na sijui serikali yenu ingekuwa na ukubwa gani..

Naomba mwana Chadema ajibu hii

Inaonekana haujui sera ya CHADEMA Kuhusu baraza la mawaziri.Hawa hawatakua wabunge.Kwa hiyo kwa kusema wabuinge 23 wawe serikali you are wrong.CHADEMA Kina wabunge 23 walio bora na intelligent kuliko mamia ya wabunge wa CCM maborgus.Tutaunda serikali ndogo yenye watu smart and brilliant.
 
Umewasahau Prof Kahigi,Prof Baregu,Prof Safari,Dkt Mabere Marando,Mh Tundu Liss,Mh Mdee etc.Kama unazungumzia elimu mbona humsemi std 7 Lukuvi tena amekabidhiwa na Wizara kabisa.Na vp kuhusu elimu ya Majimarefu?

Mkuu, mbona unataja nusu nusu elimu za viongozi wetu! Ebu tutajie basi elimu ya Mwenyekiti wetu Freeman Mbowe, na Mbunge wetu kipenzi Godbless Lema, na Mbunge Joseph Mbilinyi!
 
Mkuu, mbona unataja nusu nusu elimu za viongozi wetu! Ebu tutajie basi elimu ya Mwenyeki wetu Freeman Mbowe, na Mbunge wetu kipenzi Godbless Lema, na Mbunge Joseph Mbilinyi!

Aongezee na akina Mch Msigwa, Highness Kiwia, Mch Natse, Sylivester Kasulumbayi,..manake ka CDM ingeshinda hawa ndo wangeongoza wizara
 
Wakati wa uchaguzi mkuu, kwenye kampeni za urais na wabunge nilimsikia Dr. Slaa alisema akichukuwa nchi serikali itakuwa na wazari 15 na manaibu 15..

Wamekwenda bungeni wameunda Baraza la Mawaziri kivuli 24..

Chadema bado sana kuunda serikali

Wakati wa kampeni kilipendekeza hivyo kama kingeshika serikali na dola.

Sasa kwa vile chama hakina serikali, wao wanafuata mfumo wa serikali iliyopo madarakani. Sasa unataka chama kiwe na waziri kivuli wa wizara ambayo haipo katika mfumo wa serikali iliyopo madarakani?!?!
 
Chadema mtaongozaje Dola wakati hamna itifaki?
Hivi nani awe Rais, nani awe waziri na kabineti yenu ita comprise nani na nani? Hapa ninamaana nani ambaye yuko experienced kushika nafasi muhimu za kiuongozi ambazo ni za kisiasa?
Hivi huyu Lema ndo aje kuwa waziri? Au Wenje? Au Mchg. Natse?
Acheni unafiki.
Chadema bado sana.
jambazi wa magari awe waziri wa nani
 
Inaonekana haujui sera ya CHADEMA Kuhusu baraza la mawaziri.Hawa hawatakua wabunge.Kwa hiyo kwa kusema wabuinge 23 wawe serikali you are wrong.CHADEMA Kina wabunge 23 walio bora na intelligent kuliko mamia ya wabunge wa CCM maborgus.Tutaunda serikali ndogo yenye watu smart and brilliant.

Wewe nadhani ndio ujui mfano si tumeona kwenye serikali kivuli ya Chadema ni kubwa mno ina Mawaziri kivuli 24...

Tatizo lenu pro-Chadema JF kila mmoja anaropoka kivyake
 
Mkuu MAPURENDE,
Umeongea maneno ya ujenzi ni kweli unachosema..

Huwezi kuunda serikali wakati una wabunge 23 tu.

Baraza la mawaziri litakuwaje, na huko bungeni mnatapitishaje bajeti zenu wakati mpo wabunge 23 tu.

Na sijui serikali yenu ingekuwa na ukubwa gani..

Naomba mwana Chadema ajibu hii

Bila shaka ujui chama ambacho kinaunda serikali kinabidi kiwe kimepata viti vingapi vya wabunge.CDM inaweza kuunda vizuri serikali iwapo watanganyika watakubali kikipa ridhaa kuongoza taifa.
Kama umepiga hesabu ya wabunge 23 leo jua 2015 CDM yaweza pata viti 200 kitu ambacho kitafanya CDM kuongoza taifa hili.
 
kweli CDM inawanyima usingizi, yaani mnajadili baraza la mawaziri la mwaka jana baada ya kuchakachua kura? inaaminika hata huyo JK hajashinda uchaguzi, je ya mwaka 2015 mnaweza kuyaongelea? wakati hata uchaguzi mdogo wa igunga pamoja na kuchakachua sana bado mlipumuliwa kisogoni? pigeni porojo tu lakini mabadiliko yanakuja soon
 
CDM inao uwezo wa kuratibu maandamano na vurugu tu.Suala la kuunda serikali itabidi waombe nguvu kwa swaiba wao David Cameroon
 
Chadema mtaongozaje Dola wakati hamna itifaki?
Hivi nani awe Rais, nani awe waziri na kabineti yenu ita comprise nani na nani? Hapa ninamaana nani ambaye yuko experienced kushika nafasi muhimu za kiuongozi ambazo ni za kisiasa?
Hivi huyu Lema ndo aje kuwa waziri? Au Wenje? Au Mchg. Natse?
Acheni unafiki.
Chadema bado sana.

Wewe MAPURENDE,
Mimi naona tukuite Mapum**ya Mende!!Pumbaaaaaaaaaaafu!
Kwanini uongee utumbo kiasi hiki? Kama huna hoja ya msingi you better shut your dirty mouth. Nyie ndio vikaragosi vya CCM-Chama Cha Majambazi/Mafisadi.

Keshokutwa tunasherehekea miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika. Sasa tukuulize swali: Chama cha TANU kikichotuletea Uhuru mwaka 1961 chini ya Uongozi mahiri wa hayati Baba wa Taifa kilikuwa na ITIFAKI gani wakti huo? Kulikuwa na akina Kawawa,Kambona,Bomani,Amil Jamal,Sykes,Leader Sterling na wengineo. Hawa ndo waliokabidhiwa nchi na wakaweza kutukomboa Watanzania!

Chadema kwa sasa ni sawa na TANU ya miaka ya 1950s na 1960s. Chadema kinatakiwa kuwakomboa Watanganyika toka MIKONO YA MAFISADI WA CHAMA CHA MAJAMBAZI-CCM. Napenda NIKUHAKIKISHIE kuwa CHADEMA kama kitashinda na kupewa ridhaa ya kuunda SERIKALI basi kitakuwa na Serikali iliyo bora kabisa katika Historia ya Taifa hili!
 
Chadema mtaongozaje Dola wakati hamna itifaki?
Hivi nani awe Rais, nani awe waziri na kabineti yenu ita comprise nani na nani? Hapa ninamaana nani ambaye yuko experienced kushika nafasi muhimu za kiuongozi ambazo ni za kisiasa?
Hivi huyu Lema ndo aje kuwa waziri? Au Wenje? Au Mchg. Natse?
Acheni unafiki.
Chadema bado sana.

So wamaanisha kwako wewe bora MAFISADI wawe mawaziri, bora tuwe na Rais Fisadi kuliko CHADEMA kutawala? Unatusaidia kutambua kuwa bado kuna kazi kubwa ya kuwaelemisha wananchi wawe na uchungu wa nchi yao. Tuache kushabikia vyama na tujenge taifa IMARA. Si lazima Magwanda watawale na si Lazima Magamba watawale au CUF na TLP, lakini wananchi twatakiwa Kulazimisha Mtu mwenye uchungu na Nchii atawale. CDM wakichukua nchi wanaweza kuchukua watu kutoka sehemu mbalimbali wawe mawaziri, (Endapo katiba itabadilishwa) vilevile NCCR. Siamini kama kila mwana chama wa CCM ni fisadi na wala siamini wanachama wote wa CDM, TLP, UDP au NCCR ni watu safi, ila nachoaamini ni kuwa CDM na Baadhi ya wana NCCR, wanaonyesha kuwa na nia ya kupinga ufisadi kuliko vyama vingine. Kuna watu ndani ya CCM wasiopenda ufisadi hata kidogo, lakini mfumo wa CHAMA chao unawafanya wafyete mikia. Wale wana CCM wanaopinga ufisadi wazi wakiwa ndani ya CCM wanahitaji pongezi na pia ni watu wa kuamini lakini tu endapo wataepukana na mfumo wa chama chao. Ndugu yangu amka na uache ushabiki wa vyama angalia tulikotoka na tuendako...!
 
Ukitanguliza maslahi binafsi, na kupindisha kile nafsi yako inachokuambia siku zote utakuwa mtumwa hata ukijitetea mara ngapi?

Kama kigezo cha kuunda serikali kingelikuwa ni uzoefu/ experience ya wanasiasa basi tanzania isingelikuwa hapa ilipo chini ya uongozi wa ccm! Ni jambo la aibu na la kusikitisha kusema eti chama fulani hakina uzoefu kisiasa! Wazee wetu na uzoefu wao wametufikisha wapi jamani? Kama ni mikataba mibovu ya madini si ni chini ya hawa wazoefu na mabaraza yao ya mawaziri na wabunge? EPA, BAE, Richmond haya yote ni matunda ya uzoefu wa kisiasa!

Wapo vijana kibao mtaani ambao kama wakipewa nafasi kama mawaziri wataperfom better than hawa wanasiasa mnaowaita wanauzoefu. Siasa si kama uhandisi au udaktari, any body can be at any time and change atmosphere! Kumbukeni kijana mdogo Mh.Mnyika alivyompeleka mwanasheria mkuu na waziri wa fedha pale bungeni. Kumbuka Zitto alivyompelekesha Mkulo. HAKUNA UNIVERSITY YEYOTE INAFUNDISHA UZOEFU DUNIANI KOTE,ACHENI MINDSET ZA UCCM VICHWANI MWENU. UNAWEZA KUWA NA BARAZA LA MAWAZIRI MAGRADUATE PEKE YAO UKAIFANYA TANGANYIKA NCHI YA ASALI NA MAZIWA KWA RAIA WOTE, TOFAUTI NA ILIVYO SASA CHINI YA VICHWA VYA WAZEE NA VIJANA WASIOFIKIRI WA CCM!
 
Bila shaka ujui chama ambacho kinaunda serikali kinabidi kiwe kimepata viti vingapi vya wabunge.CDM inaweza kuunda vizuri serikali iwapo watanganyika watakubali kikipa ridhaa kuongoza taifa.
Kama umepiga hesabu ya wabunge 23 leo jua 2015 CDM yaweza pata viti 200 kitu ambacho kitafanya CDM kuongoza taifa hili.

Chadema kupata viti 200? naona umeshika mikoba ya marehemu Sheikh Yahaya...endelea na utabiri wako
 
Mkuu Mapurende,

Kwanza naomba kujuzwa maana ya Itifaki ulivyoitumia kwenye swali lako ?.Naomba kukujibu swali lako nilivyolielewa mimi,Nadhani Itifaki ulikuwa na maana ya wabunge wa kutosha ie Idadi.

Ni kweli CDM haina wabunge wengi ukilinganisha na wabunge wa CCM.Lakini pia usisahau CDM wana wabunge wa viti maalum [wanawake].Usisahau kuna viti kumi vya magogoni ambavyo Rais wa Tanzania kapewa mamlaka ya kumteua mtanzania yoyote.CDM wapo wasomi kama

[1] Prof Safari huyu ana uwezo wa kuongoza wizara ya sheria na katiba.

[2] Prof Mweisiga Baregu huyu anafaa sana Ofisi ya Waziri Mkuu Sera na Uratibu

[3] Zitto Z Kabwe Wizara ya Fedha na Uchumi

[4] Halima Mdee Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za mikoa na Serekali Mitaa

[5] Tundu Lissu Waziri wa Mambo ya Ndani

[6] Mustapha Akonay Waziri wa mali asili na Utalii

[7] John Mnyika Waziri wa Habari Vijana na Michezo

[8] P ndesamburo Waziri wa Biashara na Viwanda

[9] Willy Lwakatare Waziri wa Ulinzi na jeshi la Kujenga Taifa

[10] Prof Silvester Kulikoyela Waziri wa Elimu

[11] Eng Salvatory Machemuli Waziri wa Ujenzi

[12] Dr Mbasa Gervas Waziri wa Afya

[13] Opulukwa Meshack Waziri wa Kilimo na Mifugo

[14] Said Arf Amour Utawala Bora

[15] Simon Peter Msigwa Waziri wa Nishati na Madini.

Mpaka hapo Rais atakuwa ametumia nafasi zake tatu kati ya kumi anazoruhusiwa kikatiba !.Uwezo wa kuunda serekali upo sema itategemea busara na hekima za Rais.Baraza la mawaziri linasaidiwa sana na watalam wa wizara kuanzia katibu mkuu,wakurugenzi,makamishna na nk.


Naomba kuwasilisha.




Chadema mtaongozaje Dola wakati hamna itifaki?
Hivi nani awe Rais, nani awe waziri na kabineti yenu ita comprise nani na nani? Hapa ninamaana nani ambaye yuko experienced kushika nafasi muhimu za kiuongozi ambazo ni za kisiasa?
Hivi huyu Lema ndo aje kuwa waziri? Au Wenje? Au Mchg. Natse?
Acheni unafiki.
Chadema bado sana.
 
Serikali nzima watajazana wachaga. Mawaziri watakuwa ni wake zao, wakwe zao, na watoto wao.
 
Pole pole hpa JF jamani,CDM wanaweza wpigieni Kura na zitoshe 2015 muone tanzania yenye neema inavyowezekana!
 
Back
Top Bottom