Antonov 225
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 311
- 45
Chadema mtaongozaje Dola wakati hamna itifaki?
Hivi nani awe Rais, nani awe waziri na kabineti yenu ita comprise nani na nani? Hapa ninamaana nani ambaye yuko experienced kushika nafasi muhimu za kiuongozi ambazo ni za kisiasa?
Hivi huyu Lema ndo aje kuwa waziri? Au Wenje? Au Mchg. Natse?
Acheni unafiki.
Chadema bado sana.
Najua una post 7 hivyo unafanya haraka kupata u senior member hata kama kwa kutapikia humu.
-Lakini kwa kukusaidia kama experience ndio hii inayotupeleka kwenye umasikini kwa kasi kubwa namna hii Tanzania needs NO experience.
-Mwisho kabisa wewe ni mmoja wapo cdm inataka kukukomboa kutoka mawazo mgando yanayokusababishia kukata tamaa bila hata ya kujaribu kingine for 50 yrs nw
-Nyerere mpka anang'atuka madarakani kulikuwa na viwanda vingi kuliko leo hii