CCM bado ina muda mrefu sana wa kuongoza, ni zaidi ya 2020

Motoyambongo
Hasira na matusi ndo jadi yenu, CHADEMA bado, bado sana, Tatizo ni kutokuwa na mtazamo
 
Sijajua una ufahamu kiasi gani ila angalia umeniliza pamoja sipo bongo! kama wa tz mna mawozo kama hayo mmmmH!
 
Kasimba
Usilie, shubiri chungu but dawa, hapa nyumbani pamezuka ulimbukeni wa kushabikia kila king'aacho bila reflection, Najua CHADEMA ilipata kura nyingi 2010, lkn c kwasababu ya chama but ni mvuto wa slaa ambao unachuja, Hana la Zaidi ya kitu "mabomu' ever time he addresses yuko na hilo tu, Haya ndo yalomwinua mrema enzi hizo, Leo yuko wapi? Hii ajenda ya kubebwa na makundi fulani ya kijamii ndo yameifanya cuf ibaki ilipo, imebaki nao walewale wanachama wa asli, hulioni hilo kasimba? platform politics catches minds of few compared to grassroot politics, ilikujenga grassroot lazima muda, na kuachana na waanzilishi na koo.
 
Hii kitu inawauma sana CDM Utaona pro wao watakavyo kushukia humu km nyuki ila ndio ukweli wenyewe japokuwa ukweli wauma sana
 
Kasimba, Hakuna big families hapa bongo , ni wachumia tumbo tu, ila hizi parties zetu Kama cdm bado sana
 
Kwa mwenendo uliopo ndani ya vyama vikubwa vya upinzani yaani CHADEMA; CUF na NCCR-MAGEUZI sioni chama kinachoweza kutimiza utabiri wa Nyerere kuwa wapinzani wanaweza kuchukua nchi mwaka 2015. hizi ndizo sababu za kushindwa kwa utabiri wa Nyerere:-
1. Vyama vya upinzani vimeshindwa kufikisha ushawishi vijijini
2. Vyama vya upinzani vimeshindwa kupenyeza ushawishi kwa wafanyabiashara wakubwa
3. Vyama vya upinzani vumeshindwa kuingiza ushawishi kwa watendaji wataalam
4. Vyama vya upinzani vimeshindwa kuyaishi mawazo vinayodai kuwa ni mbadala kwa maendeleo ya nchi
5. LAST but not least; vyama vya upinzani vimeshindwa kutueleza vinafuata nadhalia ipi kati ya soko huria na soko kiritimba hali hii inadhihirisha nia dhalimu walio nayo hawa wapinzani!!

COCLUSION: Mnaoota ndoto za upinzani kushika nchi mwaka 2015 amkane na achaneni na hizo ndoto za mchana!!
Mkuu wangu sijuhi uelewa wako wa historia ya mageuzi ya nchi hii. Kufikia hatua hii wanamageuzi wamefanya kazi kubwa kwa uzalendo wa chi yao na itabakia ktk kumbukumbu za historia ya nchi yetu. Wamepambana na Chama Dola ambacho muda wote kimetumia ujinga wa Watanzania walio wengi kutawala kimabavu. Kwamba wapinzani bado haya ni mawazo ya mtu masikini wa akili. Ningependa nikujulishe ktk historia ya mabadiliko yote duniani uanzia mijini ktk tabaka la wafanyakazi,siyo vijijini! Siku Watanzania walioko mijini wakiikataa CCM,wakulima hawatakuja mjini kuitetea! Wafanyabiashara wakubwa wa Kihindi wameisha ichoka CCM na wameanza kuhamisha biashara na mitaji kwasababu wameishaona anguko. Vijana wasomi ndiyo chachu ya mabadiliko makubwa ya kisiasa umeanza kushuhudia ktk Tanzania siku za karibuni. Umeandika post ya kijinga!
 
Back
Top Bottom