TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,917
- 11,317
Mimi ni Mtanzania, tena mpenda maendeleo na mpigania vijana... na hasa hasa mpenda haki na maendeleo ya nchi
sipendi viongozi wanaoonyesha picha mbaya kwa namna yoyote ile kwani wanatunyima taswira nzuri
Naomba leo nitoe ushauri kwa baadhi ya wabunge vijana
mmefanikiwa sana nawapongeza
ni wapiganaji wa kweli nawapongeza
ni vijana sana nawupongeza
mko chadema na ccm, nawapongeza
Baadhi yenu mmeanza kulewa, mnalewa sana madaraka na mnalewa pombe sana
mmefikia hadi mnaharibu...
Nikiamua nitawataja ila mmoja kanikera analewa na magrupu ya wanawake wengi, anatukana na kupiga makelele hovyo, ni kijana yupo kanda ya ziwa
haangalii hata amezungukwa na nani
TUSAIDIANE
sipendi viongozi wanaoonyesha picha mbaya kwa namna yoyote ile kwani wanatunyima taswira nzuri
Naomba leo nitoe ushauri kwa baadhi ya wabunge vijana
mmefanikiwa sana nawapongeza
ni wapiganaji wa kweli nawapongeza
ni vijana sana nawupongeza
mko chadema na ccm, nawapongeza
Baadhi yenu mmeanza kulewa, mnalewa sana madaraka na mnalewa pombe sana
mmefikia hadi mnaharibu...
Nikiamua nitawataja ila mmoja kanikera analewa na magrupu ya wanawake wengi, anatukana na kupiga makelele hovyo, ni kijana yupo kanda ya ziwa
haangalii hata amezungukwa na nani
TUSAIDIANE