AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
W.asaliti wameomba kiasi gani kwa Mwigulu?
Pitia hapa mkuu
W.asaliti wameomba kiasi gani kwa Mwigulu?
Mwisho wa cku mtauliza mpk chupi wanazovaa wamepata wapi pesa.
Haitaji kutumia nguvu nyingi kujuwa chama cha ACT Tanzania ni cha mafisadi na majambazi kama alivyokwisha kukiri mwenyekiti wao Limbu.
Nasema hivi maana haiwezekani hata kidogo "eti baada tu ya Zitto kuchukuwa kadi waanze promo kwenye Tv kana kwamba wanapata ruzuku.
Kama sio wezi na matapeli wamepata wapi pesa za matangazo ya kila wakati Star tv?
Mbona kabla ya Zitto hatukuona matangazo hayo?
Tutafakari sura hizi mbili ambazo ACT Tangazo inazo kwa sasa,kabla ya Zitto kujiunga na baada ya kujiunga.
Hadi mtakapozinduka kuwa wanafunzi wa vyuo na shule wamefunga shule hakuna chakula,Ofisi za serikali hakuna hela,walimu hawalipwi stahiki zao ili Act isaidie kuimega na kuiua chadema!
mtoa mada una akili kabisa yani! mbana ulizi cdm izo ela za kurusha chopa wnazitoa wapi?
Baadhi ya wazee wastaafu hawajalipwa pensheni zao.
Are you that Low? Unafanya nini JF?Chadema na ccm wanapata wapi
Acha fikra potofu
kuna uzi umetolewa haraka wa zito kumtumia sms mwigulu kuomba aongezewe fungu ...mods wametoa haraka sana hapo ndio nnapopata shaka...ukiwekwa uzi wa kiongozi yeyote wa cdm humu kutuhumiwa kupokea rushwa au chochote mods wanaacha lakini issue yoyote ikimuhu zito wanaitoa haraka ........mods waachieni watu wajadili la sivyo msiweke habari yeyote inayohusu tetesi humu ndani jukwaa mnaliharibu wenyewe
Naona pesa wanapewa na wanachama wao. Na mwanzo ni lazima kuwepo moyo wa kujitolea kama vile CDM waliyofanya ili mwisho chama kimilikiwe na wenye chama.
Ni mwanachama gani anaweza kutoa mchango wa kugharamia Malipo ya boda boda, vikao katika mahoteli mbali mbali, malezi ya viongozi, usafiri, posho kwa viongozi na nk.. Na ukizingatia hiki ni chama cha wanyonge (yaani masikini)?
Zitto yeye ni mzalendo na katika account yake kuna mil 18 tu.. Sasa pesa za kufanya hii kufuru inatoka wapi? Kumbuka h
kuna uzi umetolewa haraka wa zito kumtumia sms mwigulu kuomba aongezewe fungu ...mods wametoa haraka sana hapo ndio nnapopata shaka...ukiwekwa uzi wa kiongozi yeyote wa cdm humu kutuhumiwa kupokea rushwa au chochote mods wanaacha lakini issue yoyote ikimuhu zito wanaitoa haraka ........mods waachieni watu wajadili la sivyo msiweke habari yeyote inayohusu tetesi humu ndani jukwaa mnaliharibu wenyewe
Habari za kuondoa nyuzi, hata za uzushi, inaondoa ukweli wa kaulimbiu ya "We dare go speak openly".
Mtu unapokuwa unachangia kwa kutiririka halafu unakuta uzi hmefunhwa inavunja mogo wa kuendelea kuchangia.
Kuondoa nyuzi ni censorship. Kama tumekomaa tunatakiwa kuweza kupinga uongo kwa ukweli, si kwa kuondoa nyuzi.
Mwanachama mwenye uwezo. Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza, wenye imani haba tulia. Chama kinaenda.
Haya mnyouliza ndo CCM wanauliza ka CDM nani anawafadhili, hii ndo inaitwa hofu. Msihofu, siasa haina mmiliki, mkikuta mwingine anainuka kwa kutumia udhaifu wnundo mjue mnakuwa pia.