ACT Tanzania wamepata wapi pesa za promo star Tv?

Kibo10

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
11,277
8,840
Haitaji kutumia nguvu nyingi kujuwa chama cha ACT Tanzania ni cha mafisadi na majambazi kama alivyokwisha kukiri mwenyekiti wao Limbu.

Nasema hivi maana haiwezekani hata kidogo "eti baada tu ya Zitto kuchukuwa kadi waanze promo kwenye Tv kana kwamba wanapata ruzuku.

Kama sio wezi na matapeli wamepata wapi pesa za matangazo ya kila wakati Star tv?

Mbona kabla ya Zitto hatukuona matangazo hayo?

Tutafakari sura hizi mbili ambazo ACT Tangazo inazo kwa sasa,kabla ya Zitto kujiunga na baada ya kujiunga.
 
Haitaji kutumia nguvu nyingi kujuwa chama cha ACT ni cha mafisadi na majambazi kama alivyokwisha kukiri mwenyekiti wao Limbu.
Nasema hivi maana haiwezekani hata kidogo "eti baada tu ya zitto kuchukuwa kadi waanze promo kwenye Tv kana kwamba wanapata ruzuku.
Kama sio wezi na matapeli wamepata wapi pesa za matangazo ya kila wakati Star tv?
Mbona kabla ya zitto hatukuona matangazo hayo?
Tutafakari sura hizi mbili ambazo ACT inazo kwa sasa,kabla ya zitto kujiunga na baada ya kujiunga.
Kamanda tulia dawa ikuingie.
 
Mavi yameanza kuwabana prochagadema,kadi zenu tumeshazichoma moto na sasa tunajenga chama chetu tu.Nyie bwabwajeni tu si hatuna habari
Haitaji kutumia nguvu nyingi kujuwa chama cha ACT ni cha mafisadi na majambazi kama alivyokwisha kukiri mwenyekiti wao Limbu.
Nasema hivi maana haiwezekani hata kidogo "eti baada tu ya zitto kuchukuwa kadi waanze promo kwenye Tv kana kwamba wanapata ruzuku.
Kama sio wezi na matapeli wamepata wapi pesa za matangazo ya kila wakati Star tv?
Mbona kabla ya zitto hatukuona matangazo hayo?
Tutafakari sura hizi mbili ambazo ACT inazo kwa sasa,kabla ya zitto kujiunga na baada ya kujiunga.
 
Zitto kisha waachia Saccoss yenu ila bado mnamfuatilia nyie chagadema mmerogwaa?ye kasema hana muda wakuanika mabaya yenu zaidi yakupiga kazi za kukijenga chama.Mwacheni na mbaki na chama chenu cha udini na ukabila.
Sasa waliobisha sio msaliti wanajionea wenyewe kweupeeee
 
Haitaji kutumia nguvu nyingi kujuwa chama cha ACT ni cha mafisadi na majambazi kama alivyokwisha kukiri mwenyekiti wao Limbu.
Nasema hivi maana haiwezekani hata kidogo "eti baada tu ya zitto kuchukuwa kadi waanze promo kwenye Tv kana kwamba wanapata ruzuku.
Kama sio wezi na matapeli wamepata wapi pesa za matangazo ya kila wakati Star tv?
Mbona kabla ya zitto hatukuona matangazo hayo?
Tutafakari sura hizi mbili ambazo ACT inazo kwa sasa,kabla ya zitto kujiunga na baada ya kujiunga.
Chadema acheni kuwafuata ACT inaonekana hampati usingizi.
 
Ccm si wapo na wamekwapua escow pesa za kununulia watz kutumia stanbic. Zingine wamemwaga act. Ndo maana ccm walitaka msaliti zitto aendelee kuwa cdm
 
Chadema acheni kuwafuata ACT inaonekana hampati usingizi.

Yani ccm wasitunyime usingizi ije iwe Act
Kachama kachanga ka juzi na uongozi wanagombania
Hoja hapa ni kuwa uongo umeanza kujitenga ukweli unabaki
Tuliposema anasaliti chama lumumba mlipiga kelele sana
Lakini leo mmejionea na ulimwengu umeshuhudia intelejesia ya Cdm ilivyo kubwa.
 
Haitaji kutumia nguvu nyingi kujuwa chama cha ACT ni cha mafisadi na majambazi kama alivyokwisha kukiri mwenyekiti wao Limbu.
Nasema hivi maana haiwezekani hata kidogo "eti baada tu ya zitto kuchukuwa kadi waanze promo kwenye Tv kana kwamba wanapata ruzuku.
Kama sio wezi na matapeli wamepata wapi pesa za matangazo ya kila wakati Star tv?
Mbona kabla ya zitto hatukuona matangazo hayo?
Tutafakari sura hizi mbili ambazo ACT inazo kwa sasa,kabla ya zitto kujiunga na baada ya kujiunga.

Jamani Mbona mnahangaika na ka chama kadogo ka ACT-Wazalendo?

Kwa taarifa yenu wafadhili na vyama rafiki vya Afrika Ulaya na Amerika vilivyokuwa vinaifadhili chadema sasa walikatisha misaada baada ya kusikia kuwa CAG kawapa hati chafu ya ufujaji wa fedha.

Wafadhili wale kwa sasa wameanza kuifadhili ACT-Wazalendo,hivyo kwa sasa chama cha ACT kina vyama rafiki vingi huenda kuliko hata chadema yenu.

Usiweweseke subiri siku ya Uzinduzi utajionea wageni wa kimataifa wanaofadhili ACT jinsi watakavyomiminika.

Mlidhani ni ka chama sasa Kanazidi kuwatoa Jasho.

Wewe Matangazo umeyaona Star Tv,pia yapo Chanel ten,TBC 1,na Clouds Radio,tuyaheshimiana taratibu.
 
wewe ni ACT hapana
Wewe ni mkaguzi wa mahesabu ya chama HAPANA

mbona una kiherehere hivyo???

nasema una kiherehere maaana povu linakutoka mbio hujui chochote unakimbilia hitimiaho kwamba ni majambazi kila mahali namba zimewekwa kwa ajili ya kuchangia sherehe za uzinduzi wa chama
kwa kuwa wewe sio mwanachama uelewi lolote mbio unasema majambazi
mbona una mahaba na yasiyokuhusu wewe ?
 
SUNURA na SHILOLE wanafanya PROMO !! Chama cha WAZALENDO watashindwaje? au mpaka wakate ?
 
Jamani Mbona mnahangaika na ka chama kadogo ka ACT-Wazalendo?

Kwa taarifa yenu wafadhili na vyama rafiki vya Afrika Ulaya na Amerika vilivyokuwa vinaifadhili chadema sasa walikatisha misaada baada ya kusikia kuwa CAG kawapa hati chafu ya ufujaji wa fedha.

Wafadhili wale kwa sasa wameanza kuifadhili ACT-Wazalendo,hivyo kwa sasa chama cha ACT kina vyama rafiki vingi huenda kuliko hata chadema yenu.

Usiweweseke subiri siku ya Uzinduzi utajionea wageni wa kimataifa wanaofadhili ACT jinsi watakavyomiminika.

Mlidhani ni ka chama sasa Kanazidi kuwatoa Jasho.

Wewe Matangazo umeyaona Star Tv,pia yapo Chanel ten,TBC 1,na Clouds Radio,tuyaheshimiana taratibu.

Eti wafadhili labda wakachukue wale waitaliano waliopigwa risasi za makalio leo na polisi!
 
Back
Top Bottom