ACT Tanzania wamepata wapi pesa za promo star Tv?

Haitaji kutumia nguvu nyingi kujuwa chama cha ACT Tanzania ni cha mafisadi na majambazi kama alivyokwisha kukiri mwenyekiti wao Limbu.

Nasema hivi maana haiwezekani hata kidogo "eti baada tu ya Zitto kuchukuwa kadi waanze promo kwenye Tv kana kwamba wanapata ruzuku.

Kama sio wezi na matapeli wamepata wapi pesa za matangazo ya kila wakati Star tv?

Mbona kabla ya Zitto hatukuona matangazo hayo?

Tutafakari sura hizi mbili ambazo ACT Tangazo inazo kwa sasa,kabla ya Zitto kujiunga na baada ya kujiunga.

Uwezo wako nashaka nao sana.
 
Haitaji kutumia nguvu nyingi kujuwa chama cha ACT Tanzania ni cha mafisadi na majambazi kama alivyokwisha kukiri mwenyekiti wao Limbu.

Nasema hivi maana haiwezekani hata kidogo "eti baada tu ya Zitto kuchukuwa kadi waanze promo kwenye Tv kana kwamba wanapata ruzuku.

Kama sio wezi na matapeli wamepata wapi pesa za matangazo ya kila wakati Star tv?

Mbona kabla ya Zitto hatukuona matangazo hayo?

Tutafakari sura hizi mbili ambazo ACT Tangazo inazo kwa sasa,kabla ya Zitto kujiunga na baada ya kujiunga.



Kwanb unalazimisha watu kuamini fikra zako? Zipo njia nyingi sana za kupata hizo promo, sio ww wala mimi tulioshiriki wakat wa mazungumzo kt ya ACT na Star TV...

Naona una hofu. Jaribu ku relax.
 
Chadema badala ya kufanya strategic plan za kushinda uchaguzi ujao mnakalia kujadili act Kazi kwenu na nyie c mnaruzuku anzeni na nyie chukueni TBC muanze promo c mnaruzuku?
 
Kwanb unalazimisha watu kuamini fikra zako? Zipo njia nyingi sana za kupata hizo promo, sio ww wala mimi tulioshiriki wakat wa mazungumzo kt ya ACT na Star TV...

Naona una hofu. Jaribu ku relax.

Sina hofu yoyote kujina nimehoji naona unaharaaaaaaa!! Ebu tulia huu utapeli na ujambazi lazima tuukomeshe!
 
Sina hofu yoyote kujina nimehoji naona unaharaaaaaaa!! Ebu tulia huu utapeli na ujambazi lazima tuukomeshe!


Sina hakika umesoma mpaka level gani, ila nadiriki kisema Wewe ni Mjinga, Kwa Msomi yeyote naamin lazima ajiheshumu...

Lugha yako inaonyesha huna Ustaarabu. Kwanza Staarabika kisha ndio uje ulete maoni yako humu.

Stupid.
 
Haitaji kutumia nguvu nyingi kujuwa chama cha ACT Tanzania ni cha mafisadi na majambazi kama alivyokwisha kukiri mwenyekiti wao Limbu.

Nasema hivi maana haiwezekani hata kidogo "eti baada tu ya Zitto kuchukuwa kadi waanze promo kwenye Tv kana kwamba wanapata ruzuku.

Kama sio wezi na matapeli wamepata wapi pesa za matangazo ya kila wakati Star tv?

Mbona kabla ya Zitto hatukuona matangazo hayo?

Tutafakari sura hizi mbili ambazo ACT Tangazo inazo kwa sasa,kabla ya Zitto kujiunga na baada ya kujiunga.

Kuna tofauti kubwa kati ya mawazo ya mtoto wa miaka mitano, na mtu mzima over 18, nina wasiwasi na umri wako! Hao ACT wewe ni ndugu zako au unajua hali zao za maisha?
 
pia waulize hata kupitia jamii forum wamepata wapi pesa ya kujitangaza?

jf sasa iko kwenye promo ya act.
 
Sina hakika umesoma mpaka level gani, ila nadiriki kisema Wewe ni Mjinga, Kwa Msomi yeyote naamin lazima ajiheshumu...

Lugha yako inaonyesha huna Ustaarabu. Kwanza Staarabika kisha ndio uje ulete maoni yako humu.

Stupid.

Huyo ni Mangi wa Kibo Moshi. Muache atoe mapovu ni haki yake kwani hata ungelikua wewe ungeumia kuona chama cha UKOO wako kinateketea.
 
Kuna wakati tulisikia kuwa CCM wanaitangaza Chadema bila ya wao kujijua kwa kuisema vibaya lakini wananchi wakiendelea kukipenda zaidi,Naona Chadema nao wanataka kufuata kosa hili kwa kuonyesha ama kuisema vibaya ACT.Ningetamani sana Chadema waendelee kwa kasi zaidi kukijenga chama na hatimaye kushika dola 2015 na kuachana na haka kachama kadogo kanachoitwa ACT. "Ama ni ule usemi wa uswahiini kuwa ukimwacha mkeo unafanya juhudi kule aliko asifanikiwe kwani akifanikiwa atakuja sema yule mume wa mwanzo alikua na mkosi ndio maana sikufanikiwa na baada tu ya kuachana naye mafanikio yamepatikana"
 
Haitaji kutumia nguvu nyingi kujuwa chama cha ACT Tanzania ni cha mafisadi na majambazi kama alivyokwisha kukiri mwenyekiti wao Limbu.

Nasema hivi maana haiwezekani hata kidogo "eti baada tu ya Zitto kuchukuwa kadi waanze promo kwenye Tv kana kwamba wanapata ruzuku.

Kama sio wezi na matapeli wamepata wapi pesa za matangazo ya kila wakati Star tv?

Mbona kabla ya Zitto hatukuona matangazo hayo?

Tutafakari sura hizi mbili ambazo ACT Tangazo inazo kwa sasa,kabla ya Zitto kujiunga na baada ya kujiunga.

Wananchi wazalendo na wenye mapenzi mema na nchi hii, ndo waliojitolea kukisimamia chama na kuhakikisha kinasimama na kuchukua dola kama na ww upo tayari unakarishwa kujiunga pamoja na kuchangia
 
Kama bavicha mngekuwa na hoja nami ningetoa hoja,cwezi kuumiza kichwa kwakumwelewa mywa viroba wa kibosho.
Pwahahaha.....akili za kamasi utazijuwa tu,nilianza kujuwa tu wewe na peter Mzirai mtakuwa ndugu tu
Sasa matusi ya nini kijana jenga hoja na kama huna "Kimya
 
Nchi hii imejengwa kwa misingi madhubuti na watu wenye fikra na maono ya mbali,hivyo kaeni mtambue yakwamba kamwe haiwezi kuwa chini ya utawala wa wachaga hata cku1.Mmeshindwa kukiongoza chama bila udini na ukabila mnafikiri nchi hii ndo mtaiweza?Chagadema mkichukua nchi hii hakika haitokalika hata kidogo na ndo utakuwa mwisho wa dunia.
siku hizi na wewe umekuwa mtabiri lakini jiandae kurudi kwenu burundi utawala wa CHADEMA unaingia ikulu mwaka huu na sisi hatutaki wakimbizi vibaka kama wewe.
 
Back
Top Bottom