Siasa za kuviziana zinavyoimaliza Tanzania

voicer

JF-Expert Member
Jul 13, 2020
5,552
11,893
Koote! CCM!,CDM,NCCR,ACT..
Kukomoana,Kuviziana,Kuhujumiana nk!
Imekuwa ndio Fasheni Mpya ya siasa!
Wamewasahau kuwapigania wapiga "KURA",sasa Wanapigania "KULA" zao binafsi!

Kwa mfano hai!
Minyukano na Rushwa ya wazi inayofanyika kwenye
Uchaguzi wao ndani CCM.
Unaitesa na kuiacha CCM ikiwa imegawanyika Makundi Makundi.
Vigogo wa Zamani Dhidi ya Walioingizwa na Magufuli (R.I.P).

Na hiyo ndio Sumu inayoitafuna CCM taratibu.Wala wapinzani wasihangaike na CCM kwa sasa!

Bali wapinzani wangekuwa Makini,wangeacha kuicheza miziki ya CCM kwa sasa!

Badala ya wao wapinzani kugeuka sehemu ya kundi mojawapo la CCM.kwa kulisaidia kundi moja la CCM bila kujua.
Na kupambana dhidi ya kundi lingine la CCM Mpya ya JPM.

Wapinzani wangejikita kuvijenga vyama vyao na kutoa Elimu zaidi kwa Raia,kuhusu maovu mengi yanayoendelea kwa sasa kimya kimya!

Maana CCM wao kwa wao,wanawasaidia wapinzani kuiua CCM yao wenyewe.kisa ni Uroho wa nani akafaidi zaidi.

Sasa hivi kina "Baba-Revo" na "Mwijaku"wamezaliwa wengi sana kwenye Siasa!

Tulizowea kuwaona kwenye Bongo Movies,lakini ghafla CCM imefyatua Chawa wa Kutosha Matumizi yake!

Baada ya kujifunza na kuiona Faida yao kina Mwijaku!

Kwenye Promo ya uzinduzi wa "Royal Tour"
kule Arusha,wameona kumbe Chawa nao ni Muhimu kuwa Sambamba na Uvi-WaviCCM.

Cha kusikitisha sasa!....

Upinzani nao umegeuka sehemu ya Mnyukano kama wa CCM.

Wa Chadema wamenasa mtego wa CCM vigogo wa zamani.
Wamekalia kugombana na Magufuli(R.I.P). Pamoja Zitto Kabwe.Pamoja na Wale wakinamama 19.

CCM wakitoa Album,mteja wa kwanza kuinunua na kuicheza ni Chadema-Pro!

Wakati huo huo Chadema imeingia Mwaka wa Pili mfululizo ikitumia muda mwingi na nguvu kubwa,kwa gharama kubwa,dhidi wale kina Mama 19 wa Ubonge wa vitu Maalumu!

Nguvu ambazo wangezitumia kujiimarisha zaidi huko mashinani,zinaishia huko Mahakamani!

Kule ACT nako mambo ni hayo hayo,kwa ajili ya Udini wa
Zoote - Kaba!

Kwa sababu Zoote-Kaba ni mzee wa fursa,ameamua kurudia maisha ya Enzi zake na Kaa-kwata! wa Msoga.

Zoote-Kaba amegeuka mpiga Zomari wa pembeni kumsaidia Malkia wa Nyuki.

Anauma na Kuwakunbusha Buyu lake linapokuwa Empty!
Na wakisha mjazia Buyu lake,
Anageuka na kupuliza Zomari la Mapambio taratibu!

Kule NCCR kwa James-kumbatia! Na Anthoni-komoa wake!
Wanagombea Chama,Dhidi ya Joseph-Sera-Zini!
Ambae amepata Support ya Meseji-ill!...0Wa vyama nchini.

Kisa Ku-mbatia ameacha kui-kumbatia CCM ya Malkia kama ilivyokuwa mkataba wa awali.
Tena eti alimuita Malkia Dada badala ya Mama!

Kwenye Media Press nako Asali ya Uteuzi imewalevya Macho wanahabari!
Wanauona Uteuzi kuliko Matukio na Habari Contents!

Kila mmoja anaota kuwa DC au RC mtarajiwa!

Na Press zingine kama ile ya Said Ku-bania,Yeye yuko akilisaidia kundi moja la CCM dhidi ya lile la JPM.

Ku-bania binafsi anatumia gazeti lake "Rai-Ua Mwema",

Kupambana na wale anaoamini walihusika kule Namanga Border!
Kwa Kumpora zile Pesa.

Alizokuwa amepewa kule Kenya ili kuja kuzitumia kwa Malengo yake ayajuayo binafsi.kwenye Uchaguzi wa 2020.

Mpaka leo anapambana na Asiyemjua!

Nadhani Dkt Bashiru!
amekuja kuugeuza Mvumo wa Upepo kwenye Siasa za Ki-tanzi-near!

Alamsikhi kwa Sasa!
MUNGU IBARIKI TANZANIA!
african-safari-map-silhouette-vector-background-giraffe-tree-elephant-41189887.jpg

View attachment 2426883View attachment 2426884
 
Tanzania Kuna Upinzani??.

Sasa Upinzani gan, Hawa wanaosema 'Wanangu ni raia wa Marekan??

Hawa wanaosema "Kijana majaliwa shujaa , arudishe michango?'.


Upinzani upi Sasa ?.

Bora uamue, kua mfuasi wa CCM-Msoga au CCM-JPM.
Na ninaamini kama unavyoamini wewe!

Sababu wanasiasa wa Tanzania wamekuwa mamluki wa Matumbo yao binafsi.
 
Wana CCM mataga mnawapenda wapinzani imara kama Lissu??
Uko wapi uimara wa Lissu?

Sema wanaharakati wabishi kama Lissu!

Hakuna siku Lissu amewahi kutoka na wazo mbadala wa nini Way Forward kwa mkwamo wiwote nchini!

Yeye huwa ni mzee wa kuvizia tukio na kisha kuligeuza mjadala,bila kuufunga kwa kuwaonyesha wafuasi wake,ni nini angek8fanya kama angekuwa yeye!

Alizunguka hapa nchi nzima kwenye kampeni!

Hakunadi Sera zaidi ya kuinanga CCM na Magufuli njia yoote aliyopita!

Akiiponda Miradi mipya kwa kuiita white Elephants!

Akiziponda Ndege Mpya na Baadae kuzipanda pia!

Lissu ni Mwanaharakati anayeamini kwa jina la Robert Amsterdam!
IMG-20220829-WA0016.jpg
IMG-20220829-WA0021.jpg
 
Tanzania Kuna Upinzani??.

Sasa Upinzani gan, Hawa wanaosema 'Wanangu ni raia wa Marekan??

Hawa wanaosema "Kijana majaliwa shujaa , arudishe michango?'.


Upinzani upi Sasa ?.

Bora uamue, kua mfuasi wa CCM-Msoga au CCM-JPM.
Kungekuwa hakuna upinzani msingezuia mikutano ya vyama huku mkiiba kura kila uchaguzi
 
Koote! CCM!,CDM,NCCR,ACT..
Kukomoana,Kuviziana,Kuhujumiana nk!
Imekuwa ndio Fasheni Mpya ya siasa!
Wamewasahau kuwapigania wapiga "KURA",sasa Wanapigania "KULA" zao binafsi!

Kwa mfano hai!
Minyukano na Rushwa ya wazi inayofanyika kwenye
Uchaguzi wao ndani CCM.
Unaitesa na kuiacha CCM ikiwa imegawanyika Makundi Makundi.
Vigogo wa Zamani Dhidi ya Walioingizwa na Magufuli (R.I.P).

Na hiyo ndio Sumu inayoitafuna CCM taratibu.Wala wapinzani wasihangaike na CCM kwa sasa!

Bali wapinzani wangekuwa Makini,wangeacha kuicheza miziki ya CCM kwa sasa!

Badala ya wao wapinzani kugeuka sehemu ya kundi mojawapo la CCM.kwa kulisaidia kundi moja la CCM bila kujua.
Na kupambana dhidi ya kundi lingine la CCM Mpya ya JPM.

Wapinzani wangejikita kuvijenga vyama vyao na kutoa Elimu zaidi kwa Raia,kuhusu maovu mengi yanayoendelea kwa sasa kimya kimya!

Maana CCM wao kwa wao,wanawasaidia wapinzani kuiua CCM yao wenyewe.kisa ni Uroho wa nani akafaidi zaidi.

Sasa hivi kina "Baba-Revo" na "Mwijaku"wamezaliwa wengi sana kwenye Siasa!

Tulizowea kuwaona kwenye Bongo Movies,lakini ghafla CCM imefyatua Chawa wa Kutosha Matumizi yake!

Baada ya kujifunza na kuiona Faida yao kina Mwijaku!

Kwenye Promo ya uzinduzi wa "Royal Tour"
kule Arusha,wameona kumbe Chawa nao ni Muhimu kuwa Sambamba na Uvi-WaviCCM.

Cha kusikitisha sasa!....

Upinzani nao umegeuka sehemu ya Mnyukano kama wa CCM.

Wa Chadema wamenasa mtego wa CCM vigogo wa zamani.
Wamekalia kugombana na Magufuli(R.I.P). Pamoja Zitto Kabwe.Pamoja na Wale wakinamama 19.

CCM wakitoa Album,mteja wa kwanza kuinunua na kuicheza ni Chadema-Pro!

Wakati huo huo Chadema imeingia Mwaka wa Pili mfululizo ikitumia muda mwingi na nguvu kubwa,kwa gharama kubwa,dhidi wale kina Mama 19 wa Ubonge wa vitu Maalumu!

Nguvu ambazo wangezitumia kujiimarisha zaidi huko mashinani,zinaishia huko Mahakamani!

Kule ACT nako mambo ni hayo hayo,kwa ajili ya Udini wa
Zoote - Kaba!

Kwa sababu Zoote-Kaba ni mzee wa fursa,ameamua kurudia maisha ya Enzi zake na Kaa-kwata! wa Msoga.

Zoote-Kaba amegeuka mpiga Zomari wa pembeni kumsaidia Malkia wa Nyuki.

Anauma na Kuwakunbusha Buyu lake linapokuwa Empty!
Na wakisha mjazia Buyu lake,
Anageuka na kupuliza Zomari la Mapambio taratibu!

Kule NCCR kwa James-kumbatia! Na Anthoni-komoa wake!
Wanagombea Chama,Dhidi ya Joseph-Sera-Zini!
Ambae amepata Support ya Meseji-ill!...0Wa vyama nchini.

Kisa Ku-mbatia ameacha kui-kumbatia CCM ya Malkia kama ilivyokuwa mkataba wa awali.
Tena eti alimuita Malkia Dada badala ya Mama!

Kwenye Media Press nako Asali ya Uteuzi imewalevya Macho wanahabari!
Wanauona Uteuzi kuliko Matukio na Habari Contents!

Kila mmoja anaota kuwa DC au RC mtarajiwa!

Na Press zingine kama ile ya Said Ku-bania,Yeye yuko akilisaidia kundi moja la CCM dhidi ya lile la JPM.

Ku-bania binafsi anatumia gazeti lake "Rai-Ua Mwema",

Kupambana na wale anaoamini walihusika kule Namanga Border!
Kwa Kumpora zile Pesa.

Alizokuwa amepewa kule Kenya ili kuja kuzitumia kwa Malengo yake ayajuayo binafsi.kwenye Uchaguzi wa 2020.

Mpaka leo anapambana na Asiyemjua!

Nadhani Dkt Bashiru!
amekuja kuugeuza Mvumo wa Upepo kwenye Siasa za Ki-tanzi-near!

Alamsikhi kwa Sasa!
MUNGU IBARIKI TANZANIA!View attachment 2426841
View attachment 2426883View attachment 2426884
Huna uelewa wowote wewe chadema na hao makahaba 19 unajua nan anahangaika au hujui nan ameshitaki mahakamani tatizo lenu elimu hamna na hicho kitawatesa mpaka kufa kwenu maana kichwani ni empty.
 
Uko wapi uimara wa Lissu?

Sema wanaharakati wabishi kama Lissu!

Hakuna siku Lissu amewahi kutoka na wazo mbadala wa nini Way Forward kwa mkwamo wiwote nchini!

Yeye huwa ni mzee wa kuvizia tukio na kisha kuligeuza mjadala,bila kuufunga kwa kuwaonyesha wafuasi wake,ni nini angek8fanya kama angekuwa yeye!

Alizunguka hapa nchi nzima kwenye kampeni!

Hakunadi Sera zaidi ya kuinanga CCM na Magufuli njia yoote aliyopita!

Akiiponda Miradi mipya kwa kuiita white Elephants!

Akiziponda Ndege Mpya na Baadae kuzipanda pia!

Lissu ni Mwanaharakati anayeamini kwa jina la Robert Amsterdam!
View attachment 2426875View attachment 2426882
lumumba mtapata tabu sana endeleeni na kauli yenu ya mama anaupiga mwingi au mmeitelekeza kama ile ya mabeberu hayatakiwi huku kila siku mnakopa kwa mabeberu Samia na wafuas wake mnaamini ubeberu ni hatari huku mkipokea pesa za mabeberu ni mpumbavu tu ndo anaweza kuamin hivyo.
 
Tanzania Kuna Upinzani??.

Sasa Upinzani gan, Hawa wanaosema 'Wanangu ni raia wa Marekan??

Hawa wanaosema "Kijana majaliwa shujaa , arudishe michango?'.


Upinzani upi Sasa ?.

Bora uamue, kua mfuasi wa CCM-Msoga au CCM-JPM.
Lumumba vipi mamayenu bado anaupiga mwingi, vipi mabeberu yamempa shiling ngapi mpaka sasa mamayenu, vipi umeme na maji mamayenu amewaletea amka wewe chawa uliyekosa uteuz miaka nenda rudi hadi umezeeka.
 
Wapinzani wapo bize kumuonea gere kijana maskini Majaliwa kwa kupewa kazi zimamoto, wanataka aondolewe huku wao wakiwadanganya RAIA wataleta ajira.

Ni mpumbavu tu ndio anaweza kuwasikiliza watu wa aina hii.

Tanzania tumekwama, Ccm ni kikundi cha kigaidi, na vyama vya upinzani having ajenda.

Ni upumbavu kuacha agenda muhimu ya umeme na maji na kubishania mlango wa ndege alifunguwa nani, huu ni uwahayani, nimefurahi busara za Freemason Mbowe hajadandia hizi hoja za kitoto zaidi ya Zitto Kabwe na Sugu, na Sugu bangi zitakuwa bado zipo kichwani.
 
Vyama vingine vya upinzani ukiondoa CDM ambayo inaishi wa pesa za michango ya wananchama wake, vingine vyote ni njaa tupu...aka uchawa kwa CCM kupata chochote kitu.

CCM nayo hali ni tete, sasa ni dhahili imegawanyika makundi mawili na mnyukano unaendelea. Lile kundi lililo na dola ndilo linaloonekana kushida, hawa wezangu mie ni wa kuhurumia - wamebakia kulialia kama watoto yatima baada ya mzee wao kuondoka.
 
Upinzani wa Kweli utatoka CCM.

Huwezi amini CDM Hadi sasa Haina mgombea urais.

Walimjaribu Mnyika kumpa promo, walipogundua ni ngosha, wakauchuna.
 
Huna uelewa wowote wewe chadema na hao makahaba 19 unajua nan anahangaika au hujui nan ameshitaki mahakamani tatizo lenu elimu hamna na hicho kitawatesa mpaka kufa kwenu maana kichwani ni empty.
Anayehangaika ni yule anayetumia muda mwingi na fedha nyingi,kuhakikisha wale kina mama 19 wanaondoka Bungeni ili kupisha wale ambao anayo maslahi nao!

Kuna Elimu nyingi Duniani na zina tofauti,huenda wewe umesomea Upofu zaidi.

Wale wako Bungeni,wanalipwa Posho na Mishahara ya Bunge!

Halafu sehemu ya hiyo pesa wanaitumia mahakamani kuweka wanasheria nk.

Huku Chadema mkiacha shughuri zote na kuhamia mahakamni,mkichangushana pesa kugharimikia wanasheria wa hiyo hiyo kesi.

Mnapoteza Muda na Pesa kwa wakati mmoja!

Halafu kwa usomi wako wewe unayejiita Dawa ya Uvccm unakuja kuniambia eti wao ndio wanahangaika?

Kama hawawahangaishi si Chadema ingeushia kuwaacha waendelee huko waliko?

Badala yake sasa wanawakaanga kwa Mafuta yenu wenyewe!

Usomi wako ni U-saw me!
 
Vyama vingine vya upinzani ukiondoa CDM ambayo inaishi wa pesa za michango ya wananchama wake, vingine vyote ni njaa tupu...aka uchawa wa CCM kupata chochote kitu.

CCM nayo hali ni tete, sasa ni dhahili imegawanyika makundi mawili na mnyukano unaendelea. Lile kundi lililo na dola ndilo linaloonekana kushida, hawa wezangu mie ni wa kuhurumia - wamebakia kulialia kama watoto yatima baada ya mzee wao kuondoka.
Uhalisia kamili!
 
Tanzania Kuna Upinzani??.

Sasa Upinzani gan, Hawa wanaosema 'Wanangu ni raia wa Marekan??

Hawa wanaosema "Kijana majaliwa shujaa , arudishe michango?'.


Upinzani upi Sasa ?.

Bora uamue, kua mfuasi wa CCM-Msoga au CCM-JPM.
Unaweza kuanzisha upinzani wako. Hakuna monopoly hapo. Unamchukuliaje Bashiru by the way? Uko naye au kinyume chake?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom