web

Web is a computer programming system created by Donald E. Knuth as the first implementation of what he called "literate programming": the idea that one could create software as works of literature, by embedding source code inside descriptive text, rather than the reverse (as is common practice in most programming languages), in an order that is convenient for exposition to human readers, rather than in the order demanded by the compiler.Web consists of two secondary programs: TANGLE, which produces compilable Pascal code from the source texts, and WEAVE, which produces nicely-formatted, printable documentation using TeX.
CWEB is a version of Web for the C programming language, while noweb is a separate literate programming tool, which is inspired by Web (as reflected in the name) and which is language agnostic.
The most significant programs written in Web are TeX and Metafont. Modern TeX distributions use another program Web2C to convert Web source to C.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Web hosting services kwa wafanya biashara

    Kama unafanya Biashara ni muhimu sana kuwa na professional Website na Email. Lakini changamoto ni namna ya kupata Web hosting provider mzuri. Unaweza jaribu hawa provider ambao wanaweza kukupa ofa ya 1. Ofa ya hosting kwa mwaka 2. Free domain name 3. Storage hadi ya 10GB 4. Free SSL Link ya...
  2. M

    WEB HOSTING SERVICES KWA WAFANYA BIASHARA

    Kama unafanya Biashara ni muhimu sana kuwa na professional Website na Email. Lakini changamoto ni namna ya kupata Web hosting provider mzuri. Unaweza jaribu hawa provider ambao wanaweza kukupa ofa ya 1. Ofa ya hosting kwa mwaka 2. Free domain name 3. Storage hadi ya 10GB 4. Free SSL Link ya...
  3. M

    Je, ni zipi sababu za kupanda kwa bei ya .Com domain kwa Tanzania?

    Hivi karibuni nilitaka kufungua website kwaajili ya kufanya project yangu fulani. hivyo niliamua kununua domain na hosting kwaajili ya project yangu. Nikaanza kufanya research juu ya kampuni ambayo ningeweza kuitumia kwaajili ya kuhost website yangu.lakini nikajikuta nakwama kutokana na gharama...
  4. M

    Full Stack Web Developer, Block Chain Developer, Machine Learning and Artificial Intelligence

    Wakuu, samahini nilikuwa naomba niuliza kwa wanaojuwa kati ya hizi programming skills job. 1. Full stack web developer, 2. Block chain developer, 3. Machine learning and Artificial intelligenece Ipi ni marketable sana hapa TANZANIA even OUTSIDE?
  5. L

    VETA wamemtakia Heri ya Kuzaliwa Rais mpaka leo hii tangazo lipo kwenye web yao

    Hivi ni sahihi kuendelea kuwa na Tangazo hilo mpaka leo? Mie ninafikiri Tangazo la hivi sio baya kutolewa just at the same Day kwenye Media na kisha siku zinazofuata basi lisiwepo! Haid nimejisikia vibaya pengine Taasisi yangu nimekosea kutoliweka kwa web Tangazo hilo! Twampenda Rais wetu...
  6. Moseskyey

    Web Hosting Cheap 12$/ 1 Year

    Je Umekuwa ukitafuta web Hosting ya Gharama nafuu na Umekosa, hapa ndo penyew pata web Hosting Bora na Nzur kwa Kazi zako sasa, niko na Offer hapa Plan 1 2 - 4 GB RAM and 2 CPU CORE Linux Ultimate ( $10.80 ) - 1 Year Linux Ultimate ( $25.90 ) - 2 Year Linux Ultimate ( $40.80 ) - 3 Year Linux...
  7. Melki the Storyteller

    Web ya JamiiForums imelipuliwa kwa mafataki. Inawaka miale ya moto wa kila rangi

    Katika maisha haya, najivunia vitu vitatu muhimu 3. Najivunia kuwa mtu wa watu i.e mchapakazi, mcheshi, bidii katika kazi bila kujali hasara, moyo usio na chuki, usio na hasira, usio na wivu wa kijinga n.k 2. Najivunia kuwa mwanachama wa mitandao ya kijamii ya JamiiForums na X 1. Najivunia...
  8. Gulio Tanzania

    Kampuni gani ni bora kwa huduma za web hosting Tanzania?

    Habari zenu wadau Nimekuja hapa nahitaji muongozo wenu nijue kampuni gani inafaa za hii huduma web hosting hapa Tanzania Ninataka nifungue site yangu kabla sijakulupuka nimeona ni vyema nipate muongozo
  9. C

    Mimi ni Web developer na Mobile dev nina wazo njoo tu discuss

    Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu kuwa mimi ni web developer kwa miaka takribani 5 ninafahamu PHP, Javascripty,Mysql,CSS, pia nafahamu laravel na codeignter kwa ufasihi mkubwa pia nafahamu Kotlin pamoja na Java nafahamu vizuri kabisaa frameworks ya Java spring. lengo la...
  10. Jamii Opportunities

    Web (Site) Editor at The Guardian/Nipashe October, 2023

    Position: Web (Site) Editor Location: Dar es Salaam Job Purpose: This position requires a digital savvy bilingual journalist obsessed with using data 8 insights to generate engaging content and build audiences across multiple platforms. She/He should have a proven track record in creating...
  11. R

    Zitto Kabwe and ACT Wazalendo: Entangled in the Web of Conflict of Interest?

    Zito Kabwe, Kiongozi wa chama cha ACT amekuwa kimya kwa masuala makubwa yanayoikumba Tanzania, Tanganyika in particular. Kwa tunaomfahamu Zitto Kabwe na umahili wake wa kuchambua mambo ya kisiasa, kiuchumi n.k. leo hii amekuwa kimya katika suala la Bandari, Loliondo, Ngorongoro, katiba mpya with...
  12. M

    Natafuta web designer

    Kama wewe ni web designer mzuri nipe ofa yako PM kwa ku-design website kama hii ya Findel International. Biashara yangu ni kama yao 100%. Kitu ambacho sitataka kama wao ni huo mfumo wa malipo (payment integration)... kwa sasa sihitaji. Visit hiyo website kupitia link niliyokuwekea kisha njoo...
  13. 404 Pages

    Ni kweli kwamba hatuna Software Developers, Web Developers, UX/UI Designers hadi tunatengeneza vituko?

    Yaan nimeduwaa sijaelewa una maanisha nini, sawa wewe umeijenga website kwa ajili ya desktop sawa sijakataa nakubariana na wewe lakini je huo muonekano wake UI umeangalia kwenye simu zetu hizi za smartphone inaonekanaje in accordance to UX umeuliza users wako kadhaa wanaonaje au ipo ipoje...
  14. Jozedan56009

    Web developers and marketers needed

    Habari Kama ww ni developer front - end or back - end na uko competent but una kaz ni check 0678650509 . Lakini pia kama una uzoefu wa marketing na una kaz nicheki pia . Nina few idea nataka tuwekee mtaani ... tutalipana kwa share ... office italipia na all materials needed . Nataka watu...
  15. African Geek

    Nimetengeneza Web App kwa Flutter

    Nimetengeneza Web Application ya majaribio kwa kutumia Flutter na nimei deploy kwenye platform ya Vercel. Link hapa chini.. 👇 Bonyeza Link 👉 👉 🔗 FITNESS APP Ukiifungua itakuja pop up inayokupa option ya kuinstall kama app ambapo itatengeneza icon kwenye home screen yako na utaweza...
  16. African Geek

    Naombeni mchango wa mawazo juu ya hii Project.

    Habari wana JF, Mimi ni Developer ( Web & Mobile ). Nina uzoefu na web development upande wa Backend na Frontend. Pia nimejifunza mobile app development kwa Flutter na nimefanikiwa kufanya project kadhaa ndogo ndogo kwa ajili ya kujiimarisha na kupata uzoefu wa kile nilichojifunza. Kwa sasa...
Back
Top Bottom