Habari za mda huu wakuu... Nimeona niulize swali hili pia kwa manufaa ya wengine wanaopenda kusoma kozi za programming kama (Cyber security) .Je, computer ya mtu Huyu inatakiwa iwe na sifa zipi angalau.
Wakuu, samahini nilikuwa naomba niulize kwa wanaojuwa kati ya hizi programming skills job.
1. Full stack web developer,
2. Block chain developer,
3. Machine learning and Artificial intelligenece
Ipi ni marketable sana hapa TANZANIA even OUTSIDE?
Maoni!!
Wengi huwa tuna malengo ya kujifunza mambo mapya huu mwanzo wa mwaka,
Je ni kipi cha kujifunza kati ya animation na programming?
Kama mimi ningeambiwa nichague ningeenda na animation
Animation ina fursa sana na soko kubwa kulinganisha na programming, kuanzia 2D hafi 3D soko...
Ukiachana na serverless backend kama Firebase, Supabase, etc. Ni Framework gani inamfanya developer awe productive zaidi kati ya Laravel na Django?
Binafsi, huwa natumia Node js kufanya backend lakini pia nimefanikiwa kutumia serverless backends (Firebase &, Supabase).
Changamoto kubwa ya node...
Position: ICT Officer II (Programming)
Duties and Responsibilities
Software System Developers:
To assist in capturing user Customer Requirement Specifications- CRS;
To perform systems analysis and design;
To implement software systems (Write and document code);
To perform systems testing...
Ulishawahi kuskia au kuona robots wenye uwezo wa kutake care of patients, magari yenye uwezo wa kujiendesha yenyewe, Games, System zenye uwezo wa kumanage kazi zote za kampuni, websites(tovuti), apps kama Facebook Insta TikTok hata hii JF, software maarufu kama Photoshop n.k.
Hivi vitu vyote...
UPDATE 3
Nilikuwa busy siku kadhaa hata mdua wa kusoma sikuweza. Ila leo nilipata mdua nikaamua kujaribu kujikumbusha vitu. Nimeweza kutengeneza code ambazo ukiruni zina demand uweke do list, kisha unaweza kuongeza, do list, ukapunguza, au kumodify. Baada ya hapo unaweza kuweka ulizofanya na...
Hapa nipo zangu kwenye mtumbwi wa kizungu nakula kipupwe na jua la manjano nikiwa naelekea zangu Dar mji wa mahangaiko.
Je wewe unacode ukiwa kwenye mazingira gani?
Coders / Developers mnacode mkiwa mmejifungia chumbani au mnatembea na laptop kama mimi kwa ajili ya kubadilisha mazingira ya kazi.
Nipo zangu zanzibar nakula upepo huku kazi ikiendelea
Habari wana JF, Mimi ni Developer ( Web & Mobile ). Nina uzoefu na web development upande wa Backend na Frontend. Pia nimejifunza mobile app development kwa Flutter na nimefanikiwa kufanya project kadhaa ndogo ndogo kwa ajili ya kujiimarisha na kupata uzoefu wa kile nilichojifunza.
Kwa sasa...
Habari wakuu:
Niende moja kwa moja kwenye mada;
Kwa kufahamu kuwa kuna watu wanatamani kujifunza Programming language bahati mbaya hawana kompyuta hivyo inapelekea kukata tamaa na kuishia njiani, leo beginner mwenzio nakupa tumaini inuka uendelee.
Inawezekana ulikuwa hufahamu kuwa kuna...
Hello habari ya saizi wana jamii wenzangu naomba msaada nahitaji kusoma programming short course je kama kuna chuo chochote kinacho fundisha au nipeni namna nayoweza kusoma ila isiwe online
Nahitaji mtu mtaalamu wa kutengeneza website pamoja na APP awe mbobezi na mwenye uzoefu wa kutosha kama upo tayari wasiliana nami kupitia whatsapp namba 0685451700 Asante.
Habari,
Katika jitihada za kufanya Nuru (lugha ya kiprogramu ya Kiswahili) iwe rahisi kutumika, tungependa maoni yenu katika kupendekeza misamiati za programu (programming terminologies) tutakazotumia katika lugha ya Nuru.
Tunaomba ufanye maneno utayopendekeza kuwa mafupi na rahisi kuelewa...
Wakuuu za sahizi nipo Dar nilikuwa natafuta PC
Au laptop nzuri ya 2.2M kama budget yangu
Nilikuwa naomba muongozo wa sehemu nzuri ya kuipatia na pia specifications zake
Napendelea kampuni ya dell
Nipo chuo 1st year napiga IS
Shukrani 👍☺️
CODING
Coding inahusisha uandishi wa maelekezo fulani kwa lugha ambayo inaeleweka na kompyuta. Lugha hizo ni kama python, C, C++ n.k. Lakini pia coder anaweza kua na uzoefu na scripting kama vile bash scripting n.k.
Kwa ujumla coder anatakiwa kua na skills zifuatazo ama zaidi ya hizi baadhi...
This post intends to show the origins of Nuru, its purpose, what it can be used for, what it should not be used for and the potential future of the programming language.
Background
This language is the direct child of a programming language called "Monkey Language" made by Thorston Ball. He...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.