Tanzania fence factory:(0789020813) tupigie.
Tunatengeneza na kuuza fence wire aina zote na senyenge Kwa bei ya kiwandani.
2.0mm bei yake ni 55,000/=
2.5mm bei yake ni 75,000/=
2.5mm(kijani)bei yake=80,000/=
Fence wires zote ni mita 11.
Tupo Kinondoni mkwajuni dsm
Tunafanya delivery Kokote ulipo...
Kama una Computer mbovu na unahitaji fundi bingwa asiyeshindwa nichek. Pia tunauza Accessories za Computer aina zote. Fundi anaweza kuja ulipo kufanya kazi.
Office ipo ILALA - DSM
0718290779
Sisi ni Mabingwa wa kufanya matengezo kwenye aina zote za Printer.
Lete ofisini kwetu au fundi anaweza kuja ulipo.
Tunapatikana Ilala-Machinga Complex, DSM.
Simu: 0718290779
Wadau habari,
Karibuni kwa biashara
Sisi ni mafundi wa furniture ambazo zinatumia material za epoxy/resin zikichanganyika kitaalam na mbao na kuleta mvuto .
Tunapatikana maeneo ya makumbusho.
Naweka mfano wa baadhi ya furniture mniunge mkono.
Karibuni kwa dm tupeane mawasiliano na taarifa...
Kampuni yetu ipo Arusha tunatengeneza vifuatavyo kwa ubora wajuu :-
Tunatengeneza Website kwa biashara za aina zote
Tunatengeneza mabango, tunaweka stika za magari,
Tunatengeneza business cards,
Tunatengeneza flyers, na mambo mengine mengi.
Wasiliana nasi kwa simu namba 0699227942.
Karibuni...
Habari wakuu, endapo unahitaji blog nzuri kwaajili ya matumizi yako basi hapa umefika, tutakutengenezea blog yakisasa na kwa bei hizi;
1. Blog isiyo na custom domain name 10,000/= yaani address yake inakuwa hivi (jinakako.blogspot.com)
2. Blog + custom domain name 30,000/= yaani address yake...
Yaan nimeduwaa sijaelewa una maanisha nini, sawa wewe umeijenga website kwa ajili ya desktop sawa sijakataa nakubariana na wewe lakini je huo muonekano wake UI umeangalia kwenye simu zetu hizi za smartphone inaonekanaje in accordance to UX umeuliza users wako kadhaa wanaonaje au ipo ipoje...
Kauli ya Mzee Makamba ya kusema mungu anawaua wabaya na kuwaacha wema na akawataja majina imeniumiza sana binafsi,baada ya kauli hiyo nikawakumbuka wapendwa wangu walioufa,kwa namna ya pekee nikamkumbuka Hayati Rais John Pombe Magufuli aliyekufa akilitetea Taifa kwa damu na nyama hakulala...
Watu wa Soka,
Leo nimeleta habari njema kwa vijana wenye vipaji.
Singida Big Stars tumeanza kutengeneza timu ya vijana wenye umri chini ya miaka 20. Kama una vigezo njoo utuoneshe uwezo wako au mlete kijana wako, tukiridhika na kiwango tunasajili.
Majaribio yatafanyika Jumamosi 30/07/2022...
Je, wewe ni mmiliki wa hospital, shule ama micro-finance yoyote na unahitaji huduma zetu tupo kwaajili yako.
Zendela company limited ni kampuni ya IT iliyopo dar es salaam na iliyojikita katika kutengeneza mifumo mbalimbali pamoja na kutoa huduma ya kumanage na kuintegrate mifumo yetu na TRA...
OCHUBIODIGESTSEPTIC ni mfumo wa Mashimo ya choo yasiyojaa maji taka popote na aina zote za ardhi system inafanya kazi kwenye ufinyanzi na sehemu zenye maji, unaweza kujenga kwenye shule,hospital gest nk,
Sifa za mfumo huu ni
1 halijai
2 halitoi harufu
3 huchukua eneo dogo
Halijai kabisa wakati...
Je unafahamu social Media zina nguvu kubwa kwenye ulimwengu wa sasa wa kidijitali, na kama una biashara social media ni muhimu iwe imetengenezwa vizuri ili ivutie na kutangaza vizuri biashara yako kwa wateja wako? Kama jibu ni sawa basi tupo kwa ajili ya hilo na utafurahia huduma yetu...
Bado tunasisitiza UBORA NI KIPAUMBELE KWETU. Karibu Ujipatie Business Cards (Plastic Material) zenye ubora wa hali ya juu kwa gharama nafuu sana. 30,000/= per 50 Pcs.
Tunapatikana Dodoma lakini Huduma inakufikia popote.
Tupigie simu: 0762994422.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.