404 Pages
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,703
- 2,945
Yaan nimeduwaa sijaelewa una maanisha nini, sawa wewe umeijenga website kwa ajili ya desktop sawa sijakataa nakubariana na wewe lakini je huo muonekano wake UI umeangalia kwenye simu zetu hizi za smartphone inaonekanaje in accordance to UX umeuliza users wako kadhaa wanaonaje au ipo ipoje brothers hivi hatuna sisi kweli hatuna watu walioiva kwenye masuala ya SE, CS, IS & CE hivi kweli good UX/UI Developers hapa kwetu jamani mpaka tunatengenezeana vituko humu mitandaoni brothers au ndio copy & paste templates then modify hadi huko juu ? Well fine nimeona umeijenga from scratch but ipo na poor design, design yake ni mbovu sana muonekano mbovu havutii users
Nikuelekeze kitu badirisha padding up & down ili upate muonekano mzuri kwenye header maana natamani niseme Ila sina pa kusema kingine kwenye body padding left & right badirisha ili upate muonekano mzuri
Kingine unawekaje link kote Ila kwenye tukio muhimu unaficha link wewe tukueleweje wewe kwanini unaficha link wewe ?
Si bora mara 100 ungeweka 404 tujue moja au button usingeiweka kabisa tusisumbuane
Message sent
Nikuelekeze kitu badirisha padding up & down ili upate muonekano mzuri kwenye header maana natamani niseme Ila sina pa kusema kingine kwenye body padding left & right badirisha ili upate muonekano mzuri
Kingine unawekaje link kote Ila kwenye tukio muhimu unaficha link wewe tukueleweje wewe kwanini unaficha link wewe ?
Si bora mara 100 ungeweka 404 tujue moja au button usingeiweka kabisa tusisumbuane
Message sent