I think it's truly funny when men say we are pregnant, and don't know the hormones acting up, random food cravings, pain, sleepless nights and body discomfort.
Have you got into a discussion of Generation Z and Millennials, It's usually really funny with the views they have on different issues?
It's funny how simply generation z can speak back to their parents, and millennials don't even dare. It amazes me how generation z value their opinions and...
Tanzania is committed to achieving universal health coverage (UHC), which means that all Tanzanians have access to quality healthcare services without financial hardship. The government has made significant progress in recent years, but there are still challenges to be overcome.
One of the main...
Haya yakizingatiwa angalau yatasaidia kuboresa mazoezi ya usaili yanayoendeshwa na Utumishi:
1. Katika upande wa mwombaji Waboreshe utoaji wa taarifa kama kuitwa, matokeo, ratiba na mabadiliko yoyote kupitia sms kwa sababu taarifa wanazotoa kwenye website na mifumo inaweza kukwamishwa na mtu...
Simba Sports mwaka huu wamekuja tofauti. Jezi zao zinazinduliwa kileleni kwenye Mlima Kilimanjaro ijumaa wiki hii.
Sasa jezi hizo zimewekwa kwenye kibegi na amepewa Ahmed Ally kusafiri nacho kwa ndege kutoka Dar kwenda Kilimanjaro. Kila anapopita vibe ni kubwa na watu wanaomba wapige nae picha...
In today's society, there seems to be a growing culture of ego, where people are increasingly focused on themselves and their own needs. This can be seen in many aspects of life, from social media to politics. In particular, there is a trend where people become defensive and dismissive when they...
Baada ya kutolewa kwenye FA Cup, Carabao, nimekaa nikawaza nikaona ni kombe gani Arsenal anaweza kutwaa nimeshindwa kuona.
Arsenal kabaki kwenye michuano ya Europa League na EPL.
Europa hawezi kutoboa akijitahidi sana robo fainali.
EPL ndio kabisa hawezi kutwaa akijitahidi sana nafasi ya...
Baada ya tathmini yangu, nimegundua kuwa Liverpool hatotwaa taji lingine msimu huu na atabakia na kombe lake la Carabao.
Wote ni mashahidi, kwenye EPL tumeona moto wa Man City ambaye kwa mechi mbili zilizopita kafunga goli 10 na kuruhusu moja. Man City anapewa nafasi kubwa sana ya kutwaa EPL...
Inashangaza na kusikitisha lakini ni kweli. Serikali imekuwa ikijiita sikivu lakini nyuma ya pazia masuala mengi tu yanayohitaji public opinion kabla ya yamekuwa yakitekelezwa kienyeji.
Tozo miamala ya simu
Chanjo ya korona
Kitabu cha historia ya tanzania
Ununuzi wa ndege
SGR
endelea...
Kwa...
Incompetent ambassadors are the main reason for low levels of cooperation between the two countries. If you want to understand why some countries get in conflict, under co-operate relative to their potential and eventually weaken their international relation — look no further than the quality of...
2020-10-26 18:06:48
I question the real value, relevance and completeness of our education system.We are top in Africa but why are we like this. The Educated country has one of the worst GDPs and Standards of Living in the same Africa.We fail to properly use public toilets, litter our streets...
2020-10-25 12:04:40
Even Trevor Noah said he was willing to put a stake that South Africa has the most beautiful woman in the world. But now that he is in New York I wonder is he still share the same opinion. We don't need to look far in the west to find a different taste of beautiful woman...
Getting a girl to fall for you takes time, energy, and lots of patience. If you treat a girl well and show her what makes you a great guy, she may come to appreciate you and fall for you in her own time. Keep in mind that there must be some attraction between the two of you already. If not, it's...
'We Men' ni series mpya ya Kitanzania inayoonyeshwa kwenye Instagram page ya Maxrioba. Maudhui yake ni ya mapenzi (kama kawa). Kwa story nzima mnaweza kwenda kuiangalia huko Instagram.
Technically hii series wanajitahidi. Hapa ninaongelea rangi ya picha, mwanga, namna shots na scene...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.