ndugai

  1. T

    Uchaguzi 2020 Rais Magufuli atakavyowageuka CCM, Ndugai hatarudi, nawaambia mnielewe!

    Ninavyomjua Dkt. JPM ni mtu mwenye huruma na pia hupenda kupendwa na kusifiwa. Magufuli hapendi atokeze mtu hata mmoja ambaye huonesha kutopendezwa naye. Ndiyo maana ukimwomba msamaha mnamalizana. Kwangu mimi ukisikiliza sana wote walio upinzani utagundua hata Mbowe mwenyewe hajawahi...
  2. J

    Spika Ndugai: Bunge limebakiza vikao viwili tu kisha tunaagana

    Akifungua kikao cha leo cha bunge ambacho kimehudhuriwa na wabunge wachache sana, Spika Ndugai alianza kwa kucheka kisha akasema "tumebakiwa na vikao viwili tu kabla ya kuagana" Mjadala unaendelea na sasa mbunge Mariam Ditopile ndio anachangia. Source: Channel Ten Maendeleo hayana vyama!
  3. J

    Suzan Kiwanga: Makato ya wabunge wa CHADEMA yako kikatiba na Spika Ndugai ameyabariki na hutukata sh 530,000 kila mwezi pale Bungeni

    Akiongea baada ya kuhojiwa na Takukuru mbunge wa Mlimba mh Suzan Kiwanga amesema makato ya wabunge wa Chadema yako wazi kwenye katiba ya chama na yamebarikiwa na Spika Ndugai. Kiwanga amesema kimsingi wabunge wa kuchaguliwa hukatwa na Spika Tsh 530,000 kila mwezi kutoka kwenye mshahara na posho...
  4. J

    Bunge la bajeti lilikuwa kama kikao cha CCM, Ndugai kawapokea Lijualikali na Silinde huku Dr. Mpango na Ummy wakitangaza nia

    Mungu ni mwema hatimaye bunge la Ndugai linafikia tamati kwa utulivu na amani. Lakini mkutano huu wa bunge la bajeti utaacha historia ya aina yake. Mosi, wabunge watatu mashuhuri wamefariki wakati bunge likiendelea na vikao vyake. Pili, Wabunge wa Chadema wakiwa ndani ya bunge wametangaza...
  5. denooJ

    Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana

    Salaam, Taarifa nilizozipata hivi punde toka chanzo changu kinanihabarisha kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman A. Mbowe amevamiwa na kikundi cha watu wasiojulikana akielekea nyumbani kwake usiku huu na kupigwa na wamemuumiza. Tukio hili limetokea majira ya...
  6. M

    Ndugai na genge lake wasituharibie nchi!

    Mwalimu alishalionya Taifa, kuwa ukiona kuna watu wanapita na kupiga kampeni za kumtaka raisi aongezewe muda, kimsingi wanakuwa wanapigania matumbo yao maana hawana uhakika kama raisi ajaye atawapa nafasi walizonazo sasa. Kwa muda mrefu sasa Spika Ndugai amekuwa akibehave kama kikaragosi fulani...
  7. Erythrocyte

    Video: RPC Muroto awaumbua Ndugai na mamluki wake

    Mkitaka kutengeneza uongo ni vema mkashauriana kwanza.
Back
Top Bottom