Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 119,334
- 222,451
Mkitaka kutengeneza uongo ni vema mkashauriana kwanza.
Kila ubaya utalipwaKwa anavyoongea kwa kebehi watu wanapoumizwa Nahisi ndughai ataish milele
Hilo ni pigo la kwanzakazi kweli kweli
mtapanua sana magoli , sasa kuna tetesi kwamba kwa video hii Murroto anahamishiwa makao makuu na uchunguzi umesitishwa , lakini teknolojia imehifadhi kumbukumbuHayo ni maelezo ya awali ambayo aliyapata toka kwa Mbowe, sasa kuna lipi la ajabu hapo?
Mtahangaika sana, haya sio maelezo ya awali, maelezo ya awali ameanza na "Inadaiwa" (kwa mujibu wa waliotoa taarifa) ameshambuliwa. "Tunafanyia uchunguzi..." Subirini uchunguzi mtasafishwa tu!!Mkitaka kutengeneza uongo ni vema mkashauriana kwanza
View attachment 1474348
Hamna cha magoli wala nini. Imefika muda kwa Mwamba tuvushe kuachana na Faru John sasa.mtapanua sana magoli , sasa kuna tetesi kwamba kwa video hii Murroto anahamishiwa makao makuu na uchunguzi umesitishwa , lakini teknolojia imehifadhi kumbukumbu
Hamna cha magoli wala nini. Imefika muda kwa Mwamba tuvushe kuachana na Faru John sasa.
Anachojitengenezea Ndugai ni aibu kubwa kwa familia yake , juzi alikataliwa kwao na wananchi mbele ya ubongo wakeLijualikali na baba mkwe wake wameumbuka!! Aisee!!
Kwamba aliyachukua kama yalivyo na halufanyia uchunguzi.Hayo ni maelezo ya awali ambayo aliyapata toka kwa Mbowe, sasa kuna lipi la ajabu hapo?