Wakuu,
Kuna vimesemo na vijimaneno huwa vinazuka na kubamba na kisha kupotea baada ya muda. Unakumbuka msemo gani uliobamba sana na kusepa na kijiji? Tupia hapa na watoto 2000 wapate vya kusimulia.
Si mbaya ukaeelezea kwa kifupi msemo ambao unaona sio maarufu kwa wengi, utuambie ulitokea hapi...
Nianze na misemo ya kisukuma na maana zake
1. Chujaga mhela utizaguchuja nhola
Bora umkose nyati atakuhurumia kuliko kukosea kuoa.
2. Kushema Chonja kubundala
Huu ni sawa ule msemo mtaka cha uvunguni sharti uiname.
3. Gw'ana nongu akalyaga na kabisile
Mtoto mwema huweza kupewa ale...
Hii ndiyo misemo unayoweza kuikumbuka dhidi ya ushindi wa mke wa bilionea!
1. Anaye cheka mwishoni hucheka sana
2. Tamaa mbele mauti nyuma
3. Mchuma janga hula na nduguze
4. Heri kumwagwa kuliko kumiminwa
5. Haiwi imekwisha hadi iishe
6. Ghafula bin vuu
7. Ukitaka kuruka agana na nyonga
8. Leo...
Muda umeenda, mwaka unaenda kuisha; ni asilimia 95% mpaka sasa ya mwaka tumeikata tayari. Misemo ni vimbwanga mbalimbali vimeibuka.
Je, ni msemo gani uliibuka mwaka huu ukakugusa kwa namna yoyote?
~ "Mama anaupiga mwingi"🥲
Tarehe 13/08/2023 timu za mpira wa miguu za Tanzania Bara za Simba na Yanga zilipambana kwenye fainali ya kugombea Ngao ya Hisani.
Mechi hiyo ambayo timu ya Yanga ilifungwa goli tatu na kujifanya Simba kutawazwa kuwa Mabingwa wa Ngao hiyo ambayo hufungua msimu wa Ligi Kuu ya msimu 2023/2024...
Yohana 3:16
[16]Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
Yohana 3:5
[5]Yesu akajibu, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho, hawezi kuuingia ufalme wa Mungu.
Luka 6:31
[31]Na...
1. Mlete mzungu
2. Trab na trat
3. No mara waaa
4. Mwamba huyu hapa
5. Wanathiiimba
6. Ndoige
7. Niite mbwa nmekaa pale
8. Kumwagilia moyo
9. Kupaka maini rangi
10. Unaupiga mwingi
11. Afutatu
Tukiwa tunaelekea kumaliza mwaka 2022, hii ni baadhi ya misemo na .aneno yaliobamba zaidi...
Zaidi ya kusema niko Juu Ya mawe sijui msemo mwingine unaomaanisha nimeishiwa Hela.
Hebu nipeni msemo mkali zaidi ili nizidi kukwepa Vizinga wazee😅😅😂😂😂
Sikukuu ndio hizo zinakuja kwa kasi sana😎
Haijawahi kuthibitishwa kuwepo na mbwa albino
So unapokuwepo kwenye papatupapatu zako za kutukana na kudhalilisha watu ambazo ndizo zinakuweka mjini elewa hilo
Siyo kila mtu wa kusema niite mbwa nimekaaa pale,wako mbwa wanene wenye kilo 800
ila hamna albino na mbwa wote wana uwezo wa kukaa...
Wadau wa michezo hamjamboni nyote?
Tufurahi Kidogo kwa kukumbushana misemo/ maneno maarufu yatumiwayo na wadau wa michezo hususani Soka
Mimi nianze kama ifuatavyo
Hamna Mchezaji hapo!
Hapo tumepigwa!
Unamuwekaje Kapombe Sub!
Huyo kocha hamalizi msimu!
Sasa endelea
Tukuumbuke kushirikiana...
1. "A fool will learn nothing from a wise man, but a wise man will learn much from a fool."
2. "Anger slowly. Forgive quickly. Trust cautiously. Love easily."
3. "Wisdom comes to us when it can no longer do any good."
4. "There is no bigger weapon than the brain, yet the time powerful in the...
Kuna wakati nashawishika kuamini hata bibilia huenda iliandikwa kwa utaratibu kama huu wa wahenga!
Mfano misemo hii ingekuwa na majina ya wahenga ingeleta maana ileile ya kibiblia!
Mhenga 1:1 Mtoto umuleavyo ndivyo akuavyo
Mhenga 1:2 Asiyesikia la mkuu huvunjika guu
Mhenga 1:3 Asiyefunzwa na...
Habarini wadau..Najua tuko kwenye majonzi makubwa kama taifa,,But katika kuskiliza nyimbo,kuangalia movies za Marekani hasa zenye Black Americans Characters kama Ice cube,Kevin Hart,Wesley Snipes,Mike Epps,Tiffany Had dish,Queen Latifah,Octavia Spencer,Will Smith nk.
Kuna baadhi ya misemo...
1. Mwosha Huoshwa
2. Mficha Maradhi Kifo humuumbua
3. Malipo ni hapa hapa duniani
4. Mficha Uchi hazai ng'o
5. Siri ni ya Mmoja na si ya Wawili
6. Njia ya Muongo ni fupi sana
7. Lisemwalo lipo kama halipo basi laja
Naweza Kuamini kuwa Wahenga si tu walikuwa ni Manabii, lakini pia walikuwa ni...
Wanajamii tujikumbushe baadhi ya misemo ambayo zamani ilikuwa kwenye chati na sasa haitumiki tena..
Kwa mfano nakumbuka misemo kama kuachwa kwenye mataa, Viatu vya Ndula, lakuchumpa n.k, Pia nakumbuka majina kama Chekibobu.
Karibuni.
Huyu mwamba ni habari nyingine mazeee
Ana mistari matata sana, kwenye hii sanaaa
Leo nagusia sehemu ndogo sana ya mistari yake kwenye track mpya ya pamoja kutoka weusi (mbuppu)
Pia nitaonyesha uhusiano wa michano yake na jigga
Daah huyu jamaa anajua ukiachilia flow hatari haijawahi tokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.