majukumu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mother Confessor

    DAWASA Tabata tekelezeni majukumu yenu

    Nyinyi watu wa maji DAWASA nimeripoti tatizo langu la kukosa maji naona mpo mpo tuu na majibu yenu yasoeleweka, wiki ya pili hii sina maji kwangu bomba lenu limepasuka sijui mmefanyaje wenyewe mimi sipati maji wengine wanapata huduma kama kawaida. Aisee msianze ukiritimba wenu na mambo ya...
  2. Fohadi

    Hawa watu wana majukumu gani?

    Naomba kufahamishwa tofauti kati ya majukumu ya Transportation manager na Tracking Officer kwenye kampuni za usafirishaji mizigo.
  3. mugah di matheo

    Zitto Kabwe aanza majukumu ya TCD

    Mwanasiasa Zitto Kabwe ambaye hivi karibuni alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa jukwaa la demokrasia nchini (TCD) ameanza majukumu yake hayo kwa kukutana na kufanya mazungumzo na bwana John Mnyika Katibu Mkuu wa CHADEMA taifa. Zitto Kabwe ameeleza dhamira yake ya kutumia jukwaa hilo kuleta...
  4. Suley2019

    Uongozi wa Yanga umeweka bayana majukumu ya Haji Manara

    Kumekuwa na sintofahamu kuhusu nafasi ya 'Bugatti' hasa ikizingatiwa Yanga inae Afisa wa Habari, Hassan Bumbuli na Afsa wa Uhamasishaji Antonio Nugaz Kaimu Katibu Mkuu wa Yanga Haji Mfikirwa amesema Manara ataingia kwenye Kitengo cha Uhamasishaji wakiamini atasaidia kuimarisha kitengo hicho...
  5. Machepele

    Waziri Ofisi ya Rais ‘Kazi Maalum’ ana majukumu gani?

    Ndugu, Rejea kichwa cha habari hapo juu, kwa yoyote yule ambaye anaweza kuwa na uelewa ama kufahamu majukumu ya waziri wa Ofisi ya Rais kazi maalum. Nafasi hiyo kwa sasa inashikiliwa na Cap. George Mkuchika. Nimemaliza hivyo ili kufahamu, na kuongeza maarifa. Nimewahi kukutana nafasi katika...
  6. yello masai

    Mke wangu hatimizi majukumu yake ya nyumbani ipasavyo

    Heshima kwenu ndugu zangu. Jambo likikukuta mshirikishe mwingine mwenye uzoefu, na mficha maradhi kifo humuumbua. Naamini humu wapo wengi wenye ndoa na wazoefu wa changamoto mbali mbali, Nimekaa nikatafakari sana nikaona bora nilete huku jambo langu hili ili nipate mawazo mapya. Nimekuwa...
  7. JAMBONIA LTD

    Hivi ukiishia Certificate ya Clinical Medicine unakua na majukumu gani kazini?

    Habari wakuu, nauliza ukisoma ile technician certificate NT Level 4 ya miaka 2, majukumu yako kazini yanakua ni yapi ukilinganisha na mwenye diploma?
  8. Stephano Mgendanyi

    Iramba: DC Mwenda ataka mpango mkakati wa kutekeleza majukumu, akaza kamba kero za Wananchi

    MHE MWENDA ATAKA MPANGO MKAKATI WA KUTEKELEZA MAJUKUMU, AKAZA KAMBA KERO ZA WANANCHI. Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mhe Suleiman Yusuph Mwenda ameendelea na ziara yake ya kupita kata kwa kata kusikiliza kero za wananchi na kuzitolea maelezo na ufumbuzi wake. Akiwa kata ya Kiomboi leo Ijumaa Julai...
  9. B

    Kurugenzi ya Sheria ofisi ya Rais msaidie Jaffar kuweka "citations" za sheria aliyotumia pale anapotekeleza majukumu yake, kuondoa utata wa press zake

    Press release za serikali ya Tanzania zimekuwa na story tu, zinakosa Jambo kuu ambalo ni msingi wa sheria pale hoja inapohusuJambo la kisheria. Rais anapofanya uteuzi Kuna sheria iliyompa hiyo mamlaka, lakini press zote hazina sheria inayoonyeshwa. Rais anapofuta umiliki wa ardhi au anapotengua...
  10. J

    #COVID19 Dkt. Mollel: Chanjo ya Corona ni salama, ndio maana Rais Samia baada ya kuchanja akaenda Lugalo kuendelea na majukumu yake

    Naibu Waziri wa afya Dkt. Mollel amesema chanjo ya Corona ni salama ndio maana Rais Samia mara tu baada ya kuchanjwa aliweza kuendelea na shughuli zake kama kawaida. Mollel amesema Rais Samia alitoka Ikulu baada ya kuchanjwa na kwenda Lugalo Hospital ambako alifanya ukaguzi na kufungua mradi...
  11. hata mimi

    Ni yapi Majukumu ya BAKWATA?

    Kwanza nitangulize tahadhari sina nia ya kukashifu dini yoyote wala kufanya uzi huu sehemu ya malumbano Si kwamba nataka kuyaelezea majumu hayo la! Bali nataka mniambie ni yapi maana naona kama nielewavyo mimi sivyo Kuna hiki chombo kilichojipa mamlaka ya kusimamia waislam Tanzania (nina maana...
  12. Prof Koboko

    Mwandishi wa habari akamatwa na Polisi akiwa katika majukumu yake mkoani Mwanza

    Taarifa ya kukamatwa kwa Mwandishi wa habari Shagata Suleiman na Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza. ................................................. Ndugu waandishi wa Habari na Taasisi za kihabari Nchini Tanzania, nasikitika kuwataarifu kuwa, Mwandishi wa habari mwenzetu na mwanachama wa Klabu...
  13. kombaME

    Kadri wanawake wanavyosimama kudai haki sawa, ndivyo wanaume wanavyozidi kuacha kutekeleza majukumu yao

    Hii vita sijui nani atakuwa mshindi, maana wanawake siku hizi hawana adabu wala utii tena kwa wanaume zao, kila kitu wanaonewa, wametoka kwenye kudai usawa sasa wanadai upendeleo, suala linalopelekea wanaume kuwazalisha au kuwaoa na kuwafuja tu hawawi responsible tena. Zamani wanaume walikuwa...
  14. Countrywide

    Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Nikki wa Pili aanza kutekeleza majukumu

    Katika kuendeleza slogan ya mama yetu mpendwa mama Samia ya kazi iendelee. Mkuu wa wilaya ya kisarawe Mh.Nikki wa Pili ameanza kazi kwa kishindo kikubwa. Ametembelea miradi ya afya, ujezi, mazingira, maji na uwezeshaji wa vijana akiwa na siku moja tu kazini. Ni jambo kubwa sana Hili ni Jambo la...
  15. Lord OSAGYEFO

    Ni zipi sifa na majukumu ya Mkuu wa Wilaya?

    Wadau naomba kujua yafuatayo juu ya sifa za kuteuliwa Ukuu wa Wilaya na KAZI za MKUU wa WILAYA. 1. Elimu 2. Umri 3. Ujuzi 4. Itikadi 5. Uzoefu Ili tusiwalaumu walioteuliwa kumbe wanasifa sahihi. Pia je, kama sio Watumishi Taarifa zao zinapatikana Wapi maana hawana MAFAILI. ====
  16. S

    Ili kuongeza ufanisi na makusanyo, TRA ivunjwe au ipunguziwe majukumu

    Habari Wakuu, Binafsi naamini moja ya chanzo cha nchi hii kutukukusanya mapato yanayoweza kutufanya tupige hatua kubwa zaidi, ni kuwa na taasisi moja(TRA) iliyokabidhiwa jukumu la kukusanya kodi za aina zote tena kwenye nchi kubwa kama yetu. Moja ya sifa kubwa ya nchi yetu ni kuwa na utitiri...
  17. T

    Mwandosya tuliambiwa asiye na Wizara maalum, Mkuchika kazi maalum. Kazi zipi hizo?

    Ninakumbuka Jk alipounda baraza lake la kipindi cha pili cha uongozi wake, alimteua pro. Mark Mwandosya akatuambia kuwa amemteua kama waziri asiyekuwa na wizara maalum. Sasa hivi tena ameteuliwa waziri Mkuchika ambaye tunaambiwa kuwa ni waziri kazi maalumu. Kwa uelewa wangu mambo yote ya...
  18. R

    Elimu itolewe Tamisemi haraka, wizara imelemewa majukumu

    Nimekuwa naifuatilia Tamisemi na jinsi inavyofanya kazi, ni dhahili wizara hii imelemewa na majukumu. Haiwezekani Tamisemi ichuje ajira za walimu, afya, kilimo n. k wakati Kuna tume ya ajira. Hiyohiyo wizara ihusike na uhamisho wa watumishi, iratibu mitihani na ulipaji posho, ishughulikie...
  19. hata mimi

    Kuna wahudumu wa afya baadhi ya sehemu za kutolea huduma za afya wanakwepa majukumu yao

    Habari, Nimezoea kuona wahudumu wakichukiwa sana wanapokuwa wanatekeleza majukumu yao ya kila siku katika zahanati vituo vya afya na hospitali mbalimbali hapa nchini Nitatoa mifano hapa A. Wakati wa kuona wagonjwa muda ukiisha mnafukuzwa na kwa wale vichwa ngumu ndo wanafukuzwa kama paka mwizi...
  20. Stanslaus Mbwiliza

    Sioni tatizo RCs na DCs kujiita cheo cha wanayemwakilisha eneo husika, kama wanatekeleza majukumu ipasavyo

    Katika hafla ya kuwaapisha wakuu wa mikoa, Mhe. Spika amewaasa wakuu wa mikoa kuacha kujiita marais wa maeneo wanayoyaongoza akidai kufanya hivyo kunawafanya kujiona kama Rais. Binafsi sioni tatizo kujiita jina la unayemwakilisha eneo husika. Lililo la msingi kwao ni kumwakilisha Rais kwa...
Back
Top Bottom