al hilal

Al Hilal Saudi Football Club (Arabic: نادي الهلال السعودي), simply known as Al Hilal, is a professional multi-sports club based in Riyadh, Saudi Arabia. Their football team competes in the Saudi Professional League. They are the most decorated club in Asia winning 65 official trophies. They also hold the record for the most continental trophies in Asia, as well as a record 18 Professional League titles.
Founded on 16 October 1957, Al Hilal are one of four teams to have participated in all seasons of the Saudi Professional League since its establishment in 1976.
Overall, Al Hilal have won 65 official titles and 100 when unofficial trophies are counted. In domestic competitions, they have won a record 18 Professional League titles, a record 13 Crown Prince Cup titles, a record seven Saudi Federation Cup titles, nine King Cup titles, a record three Super Cup titles, and also the Saudi Founder's Cup.
Internationally, Al Hilal have won a record eight Asian Football Confederation trophies – the AFC Champions League in 1991, 2000, 2019 and 2021, the Asian Cup Winners Cup in 1997 and 2002, and the Asian Super Cup in 1997, 2000. In September 2009, Al Hilal was awarded Best Asian Club of the 20th Century by the IFFHS.

View More On Wikipedia.org
  1. SAYVILLE

    Kuijumuisha Al Hilal ya Sudan kwenye ratiba ya ligi ya NBC ni jambo la kupongeza

    Tumesikia mipango ipo mbioni kuijumuisha timu ya Al Hilal ya Sudan katika ratiba ya NBC kuanzia msimu ujao. Kuna wakati niliwahi kuwaza hili jambo nilipoona wakati ule wanatanga tanga, nikataka kushauri hili kufanyika na nimefurahi kujua kumbe pale TFF kuna watu wana uwezo wa kufikiria mambo...
  2. uran

    Ronaldo anatamani kulia

    Ronaldo anatamani kulia Washapigwa 3 na Al Hilal
  3. uran

    FT: Al Hilal 3 - 1 ES Tunis | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 01.12.2023

    Game on Hapa Taifa. Watanzania tumejitahidi kufika. We Love Football. Tunawashangilia Wasudani --- Matokeo mengine Madeama 2 - 1 Belouizdad
  4. MAWEED

    Neymar ajiunga na Al Hilal ya Saudi Arabia

    Staa wa Timu ya Taifa ya Brazil na Club ya PSG Neymar amekamilisha usajili wa kujiunga na Al Hilal ya Saudi Arabia ambako atakuwa akilipwa mshahara wa pound milioni 129.4 kwa mwaka ambazo ni zaidi ya Tsh Bilioni 411. Uhuru wa matumizi ya Fedha unaharibu ladha ya soka. --- Neymar signs for...
  5. BARD AI

    Al Hilal kuvunja Rekodi ya Dunia, yatenga Tsh. Bilioni 812 kumnasa Mbappe

    Kwa mujibu wa AFP, Klabu ya Paris Saint-German imeruhusu Al Hilal ifanye mazungumzo na mshambuliaji Kylian Mbappe baada ya kuweka mezani dau hilo ikiwa ni siku chache zimepita tangu itume barua ya kuhitaji saini ya nyota huyo. Mbappe aliyebakiza mwaka mmoja wa kuendelea kuitumikia PSG, amedaiwa...
  6. GENTAMYCINE

    Kwahiyo Hasira za Kumkosa kwa Umafia mliofanyiwa ndiyo mmeamua Kuwachochea Al Hilal FC Wawashtaki FIFA Wachezaji?

    Na msivyo na Akili hata na Makabi Lilepo ambaye kwa 99% mmeshamalizana nae kwa mujibu wa Taarifa yao ( Klabu hiyo ya Sudan ) ni kwamba hata Yeye nae yuko katika Kushtakiwa pamoja na Fabrice Ngoma aliyewauma villivyo baada ya Kupigwa Chenga ya Kimafia Jana na Kutua rasmi Simba SC. Haya...
  7. B

    Al Hilal Chali

    Ama kweli mkubwa ni mkubwa tu. Ibenge kalowa 3 bila majibu mbele ya Wamisri. Inauma na inaskitisha ila ndiyo mpira ulivyo muda mwingine una matokeo ya kisulisuli.
  8. mugah di matheo

    Usiku wa Mabingwa Afrika:: Kijiwe Cha kusubiri matokeo ya mechi za mwisho esp Al ahly Vs Al hilal

    Tupo kijiweni kwetu tuendelee kupeana update za ligi ya Mabingwa afrika,,kwa mechi za Leo jumamos na Jumapil alfajiri,tujue Nani ataongoza makundi na vilevile kujua Nani atasonga mbele Kati ya Al ahal🇪🇬 vs Al hilal🇸🇩 Karibuni
  9. Shujaa Mwendazake

    Match Fixing: Mamelodi inataka kuwabeba Al Hilal ili wasije kukutana na Al Ahly huko mbeleni

    Wanachokifanya Mamelodi leo hata wanavyocheza ni wazi kabisa wanataka kuipa Matokea mazuri Al Hilal. Goli la kwanza la Mamelodi ni la bahati mbaya tu lakini wakaamua kuwazawadia wasuda goli la kusawazisha kiboya kabisa. Ubora wa kipa wa Mamelodi na beki zake si wa kufanya Uzembe huu. Inaonekana...
  10. mugah di matheo

    Kijiwe Cha tunaoangalia Cafcl Al hilal vs Mamelod huku tukiomba Al ahal atoke kwenye mashindano

    Had saivi half time 0-0 ,, Mamelod wanadominate game but hilal wanatengeneza nafasi.. Tuendelee kuomba Mungu mtoto wa Caf ang'olewe kwenye mashindano
  11. THE FIRST BORN

    Mnakumbuka ya Yanga na Al Hilal Kule Sudan? Kwahiyo Msisifie Mpira Mzuri

    Siku za Hivi karibuni mpira umekua Ushindi sio kusema umecheza Vizuri. Na Mwasisi wa Mbinu hii ni Jose Mourinho alionekanaga mhuni mwanzoni ila baadae ameanza kueleweka yeye atakuacha ucheze Mpira ila hesabu zake mara zote zipo kwenye kikombe au point 3 na huo ndio mpira wa sasa. Mwaka Jana...
  12. Scars

    FT || Mechi ya Kirafiki | Simba 1 Vs 1 Al Hilal | Estadio de Benjamin Mkapa

    Muda wa mechi ni saa 16:00 na tayari vikosi vyote vimefika uwanjani Upande wa Simba wale wachezaji waliokosekana mechi za nyuma kwasababu ya kukosa fitness iliyosababishwa na kuuguza majeraha ya muda mrefu, hatimaye leo wameanza. Kasoro General Phiri ndio sijamuona hapo
  13. B

    Ujio wa Al Hilal mbaya kwa Simba

    Simba kutaka kucheza mechi za kirafiki na al hilal ni kujimaliza, kutafuta injury bila sababu. ZIMBWE NA KAPOMBE HAWAPATI ROTATION HAPO HAPO TUNA MECHI NA SINGIDA BIG STARS KABLA YA KUSAFIRI KWENDA GUINEA KUCHEZA NA HOROYA FC. AL HILAL walikuwa mapumzikoni hawana mechi SImba kila wiki wana...
  14. mugah di matheo

    Rasmi Simba kujipima nguvu na Al hilal Orduman February 5,2023

    Wale wababe wa uto wapo mjini kujiandaa na Caf champions league group stage ,,wakitarajia kucheza mechi za kirafiki na Azam, Namungo na Simba huku Simba akiwa ndio mwenyeji wao. Huko upande wa pili kwani ninyi hamna mashindano? Mbona hamjiandai? Source :Simba App
  15. I

    Al Hilal nayo yamtaka Messi kwa mabilioni ya pesa

    Mkataba wa Leo Messi wa PSG unamalizika 2023 na huko Saudi Arabia, wanamtaka akajaribu bahati yake huko mara moja. Hata kabla ya mkataba wake kuisha. Kama Al Nassr alivyofanya na Cristiano Ronaldo, Al Hilal sasa wanataka kumpa Messi pesa nyingi. Kulingana na 'Mundo Deportivo', klabu hiyo itampa...
  16. GENTAMYCINE

    Ule uhamasishaji wa Nguvu na Kauli Mbiu tulipocheza na Al Hilal mbona siuoni tukicheza na Club Africaine leo?

    Kulikoni kuelekea Mechi ya Leo ukimya Umetawala sana kiasi kwamba hata zile Kauli Mbiu zetu za Uwongo na Kweli za Kutiana Hamasa za Kipuuzi hatujazikia wakati Leo tuna Mechi ngumu dhidi ya Club Africaine ya nchini Tunisia? Vipi tumeshachungulia kwa Babu au?
  17. kwisha

    Ili Club Africa wafuzu hatua nyingine wanatakiwa wacheze kama Al Hilal

    Unajua Al Hilal siyo kwamba walikuwa bora zaidi ya Yanga hapana, Yanga walikuwa bora zaidi ya Al Hilal ila walichoshida Al Hilal kwa Yanga ni nini? Ni mbinu za kocha wao tu bila hivyo Al Hilal wangelilala nyumbani kwao pale pale. Yaani watu walikuwa wamejaa nyuma mpaka unakosa sehemu ya...
  18. Gordian Anduru

    Ndani ya miaka mitatu Al Hilal imeingia hatua ya makundi mara tatu, Simba mara moja tu!

    Mwaka 2019/20 Al Hilal waliingia hatua ya makundi wakati Simba iliondoshwa mapema na Ud Songo. Mwaka 2020/21 wote Simba na Al Hilal waliingia hatua ya makundi. Mwaka 2021/22 Al Hilal walitinga hatua ya makundi na Simba iliondoshwa mapema na Jwaneng Galaxy. Kumbe ndiyo maana Al Hilal...
  19. GENTAMYCINE

    Naitakia kila la kheri Al Hilal FC pale Omdurman nchini Sudan

    Wengine hatujazoea kabisa unafiki, kujificha au hata tu kukaa na jambo moyoni. Na kuna mpuuzi mmoja (nimemsahau jina) wiki hii alitutaka Watanzania (tena kwa kutufokea) kuwa watu wa Yanga SC na Simba SC tupendane na tushangiliane (tusapotiane) hasa tukiwa tunacheza Kimataifa. Na...
  20. N

    Ahadi ya billioni moja kwa wachezaji Yanga yawatisha Al Hilal, ya Vipers yawapa wazimu

    Ingawa ilifanywa siri kutokana na hali mbaya ya kiuchumi waliyonayo wanuka jasho wa Tanzania, fununu mchomoko ni kwamba yule tajiri wa kiukweliukweli asiye na ubahili hata kidogo, yaani yeye kumwaga mapesa hafikirii mara mbili wala hachungulii daftari, KATENGA BILLION MOJA Al Hilal apasuke kwao...
Back
Top Bottom