Neymar da Silva Santos Júnior (born 5 February 1992), known as Neymar, is a Brazilian professional footballer who plays as a forward for Ligue 1 club Paris Saint-Germain and the Brazil national team. He is widely regarded as one of the best players in the world.Neymar came into prominence at Santos, where he made his professional debut aged 17. He helped the club win two successive Campeonato Paulista championships, a Copa do Brasil, and the 2011 Copa Libertadores; the latter being Santos' first since 1963. Neymar was twice named the South American Footballer of the Year, in 2011 and 2012, and soon relocated to Europe to join Barcelona. As part of Barcelona's attacking trio with Lionel Messi and Luis Suárez, he won the continental treble of La Liga, the Copa del Rey, and the UEFA Champions League, and finished third for the FIFA Ballon d'Or in 2015 for his performances. He then attained a domestic double in the 2015–16 season. In 2017, Neymar transferred to Paris Saint-Germain in a move worth €222 million, making him the most expensive player ever. In France, Neymar won three league titles, three Coupe de France, and two Coupe de la Ligue, which included a domestic treble and being voted Ligue 1 Player of the Year in his debut season. Neymar helped PSG attain a domestic quadruple in the 2019–20 season, and led the club to its first ever Champions League Final.
With 68 goals in 111 matches for Brazil since debuting at age 18, Neymar is the second highest goalscorer for his national team, trailing only Pelé. He was a key player in Brazil's victories at the 2011 South American Youth Championship, where he finished as leading goalscorer, and the 2013 FIFA Confederations Cup, where he won the Golden Ball as player of the tournament. His participation in the 2014 FIFA World Cup and 2015 Copa América was cut short by injury and a suspension, respectively, before captaining Brazil to their first Olympic gold medal in men's football at the 2016 Summer Olympics. Two years later, having renounced the captaincy, he featured at the 2018 FIFA World Cup, and after missing the 2019 Copa América through injury, helped Brazil to a runner-up finish at the 2021 tournament.
Off the pitch, Neymar ranks among the world's most prominent sportsmen. SportsPro named him the most marketable athlete in the world in 2012 and 2013, and ESPN cited him as the world's fourth-most famous athlete in 2016. In 2017, Time included him in its annual list of the 100 most influential people in the world. In 2018, France Football ranked Neymar the world's third highest-paid footballer. The following year, Forbes ranked him the world's third highest-paid athlete, dropping a spot to fourth in 2020.
Namkubali sana Neymar Jr kwenye kuchezea mpira, sijapata kushuhudia mchezaji mpira anayejua kuchezea mpira atakavyo kama huyu kijana. Kuna watu wanasema Ronaldinho alikuwa fundi wa mpira, ila kwangu huyu kijana alikuwa hatari zaidi yake.
Tukirudi kwenye mada, Neymar Jr alikuwa na upigaji penati...
Utafiti Tovuti ya FBref.com inayojihusisha na takwimu za michezo mbalimbali, umeonesha nyota wa Inter Miami, Lionel Messi ndiye mchezaji wa soka aliyetazamwa mara nyingi mtandaoni katika Nchi mbalimbali kwa Mwaka 2023.
Utafiti huo umeonesha mafanikio ya Kombe la Dunia na uhamisho wake kutoka...
Neymar amepata majeraha ya goti wakati akiitumikia timu ya Taifa ya Brazil ilipopoteza magoli 2-0 dhidi ya Uruguay, ambapo anatarajiwa kufanyiwa upasuaji.
Amepata changamoto hiyo ikiwa ni miezi miwili tangu aliposajiliwa na Al-Hilal ya Saudi Arabia na kupewa Mkataba unaomwezesha kulipwa Pauni...
Neymar Jr ameondoka katika soka la ulaya akiwa na miaka 31 tu. Ameenda zake Saudi Arabia kuungana na mastaa wengine waliokimbilia katika ligi hiyo.
Baadhi ya ofa ambazo Neymar atazipata katika mkataba wake huko katika klabu yake ya Al Hilal.
Ofa hizo ni kama ifuatavyo;
1. Jumba la kifahari...
Staa wa Timu ya Taifa ya Brazil na Club ya PSG Neymar amekamilisha usajili wa kujiunga na Al Hilal ya Saudi Arabia ambako atakuwa akilipwa mshahara wa pound milioni 129.4 kwa mwaka ambazo ni zaidi ya Tsh Bilioni 411.
Uhuru wa matumizi ya Fedha unaharibu ladha ya soka.
---
Neymar signs for...
Licha ya kutajwa mara kadhaa kuwa anaweza kurejea Barcelona lakini inavyoonekana Neymar ataweza kuwa mchezaji wa Al-Hilal ya Saudi Arabia siku chache zijazo.
Mshambuliaji huyo wa PSG amekuwa katika mazungumzo na timu yake kuhusu uhamisho huo utakaokuwa na thamani ya Euro Milioni 160 (Tsh...
Mpango unafanyika baada ya Staa huyo wa Paris Saint-Germain kuijulisha klabu yake kuwa anataka kuondoka licha ya kuwa amesaliwa na mwaka mmoja katika mkataba wake.
Neymar alijiunga PSG kwa rekodi ya Dunia Pauni Milioni 198 (Tsh. Bilioni 624) akitokea Barcelona Mwaka 2017.
Uamuzi unaendelea...
Klabu hiyo ya Saudi Arabia inamuwania mshambuliaji huyo wa Paris Saint-Germain (PSG) aliyesajiliwa kikosini hapo Mwaka 2017 kwa Pauni Milioni 198.
Neymar yuko mbioni kuondoka PSG baada ya kutokuwa na maelewano mazuri na Klabu huyo ambapo wababe hao wa Saudi Arabia wanahitaji kumsajili baada ya...
Mshambuliaji huyo wa Brazil amepata majeraha ya kifundo cha mguu wakati timu yake ikishinda 2-0 dhidi ya Serbia baada ya kuchezewa faulo na Nikola Milenkovic.
Alionekana akilia akiwa kwenye benchi baada ya kutolewa uwanjani, madaktari wamesema majibu kamili ya ukubwa wa jeraha hilo yatajulikana...
Mshambuliaji huyo wa Paris St-Germain na timu ya taifa ya Brazil alikuwa akikabiliwa na mashtaka hayo yaliyohusu usajili wake mwaka 2013 kutoka Santos kuhamia Barcelona akidaiwa usajili huo ulikiuka baadhi ya masuala ya kifedha.
Katika kesi hiyo waendesha mashtaka walitaka nyota huyo ahukumiwe...
Wakati Kombe la Dunia likibakiza miezi miwili kuanza, tayari inaonekana nyota wa Ureno na Manchester United Cristiano Ronaldo ataingia kwenye michuano hiyo akiwa mchezaji mwenye nguvu zaidi duniani kwa kuzingatia ushawishi wake kwenye mitandao ya kijamii.
Ronaldo amewapiku mastaa wengine kama...
Mshindi wa tuzo ya Ballon d'Or kwa mwaka 2021, Lionel Messi hajatajwa kwenye orodha ya Wachezaji 30 wanaowania tuzo hiyo kwa mwaka huu
Tangu mwaka 2005, Messi amekuwa akitajwa kwenye orodha ya Wachezaji 30 wanaowania tuzo hiyo, akiwa ameshinda tuzo hiyo mara saba katika kipindi hicho
Mpinzani...
Nyota wa Brazil, Rodrygo amedai kuwa kuna uwezekano wa nahodha wa timu yake, Neymar akastaafu kuichezea timu ya taifa hilo kisha kumkabidhi yeye jezi namba 10.
Neymar ambaye amefunga mabao 74, akishika nafasi ya pili nyuma ya Pele aliyefunga mabao 77 katika historia ya Brazil inadaiwa Michuano...
Mchezaji wa PSG, Neymar (29) ameumia kifundo cha mguu wakati timu yake ilipokuwa ikichuana na klabu ya St Etienne katika dimba la Geoffroy-Guichard na kushinda kwa goli 3-1
Neymar alionekana kuugulia maumivu makali na kuonekana akilia pia katika tukio hilo lililotokea dakika 5 kabla ya kipenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.