mbunge huko sumbawanga amehamasiha watu kuchoma moto KANISA,GHALA LA MAHINDI,NYUMBA NA MATREKTA chanzo ITV wenye taarifa kamili tunaomba mtujuze hapa jf.
naomba mnisaidie je naweza pata gari ilitumika isiwe imechoka kwa kiasi cha mil.tano please kama kuna mtu anayo au anahabari ani pm ili tuweze wasiliana nipo dodoma ahsanteni.
nimeingia kwenye website ya udsm ada zimebadilika mfano kwa wanafunzi wa sheria imeshuka toka 1,500,000. to 1,380,000.lakini sijui kwa kozi zingine kama zimepanda au zimeshuka nawaomba mcheki kwenye website ya chuo University of Dar es Salaam - Tanzania - Home - mtaona mabadiliko katika ada...
Kwanza kabisa nawaombeni msamaha wana jamii wote wapenda amani kwa kitendo changu cha kuwaua kinadharia wazazi wangu hali wangali wazima. nililazimika kufanya hivyo ili niweze kupata mkopo asilimia mia kwani hali za wazazi wangu ni dhoofili bin taabani hivyo nilichangamka na nikasajili vifo vya...
jamani ajabu na kweli jamaa alieomba nafasi ya tutorial assistant (lecturer) katika chuo cha mwalimu nyerere memoral academy(MNMA) matokeo yametoka angalieni (PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT - PSRS) amelamba zeroooooo! kwa lugha nyingine ametaga najiuliza jamaa amemaliza chuo gani na je...
Jamani waungwana nawaomba mnifahamishe kuhusu utolewaji wa vyeti vya ardhi university kwa wahitimu tuliomaliza
chuo ardhi university kutoka 2007-2010 umefikia wapi? tafadhali kwa yeyote mwenye ufahamu wa ndani kuhusu jambo hili anijulishe kupitia ukurasa huu wa jf kwani tumekuwa madei waka kwa...
:israel: Kwa wale wenye shauku kubwa ya kutaka kujua umepangiwa daraja la ngapi na bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa mwaka kwanza udsm yaani 2012/13 angalieni mwisho wa matokeo yenu ya o-level kulia mtaona alama A,B,C,D......
ikimaanisha ni asilimia ya kiwango cha mkopo utakacholipiwa na bodi ya...
:israel: Kwa wale wenye shauku kubwa ya kutaka kujua umepangiwa daraja la ngapi na bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa mwaka kwanza udsm yaani 2012/13 angalieni mwisho wa matokeo yenu ya o-level kulia mtaona alama A,B,C,D......
ikimaanisha ni asilimia ya kiwango cha mkopo utakacholipiwa na bodi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.