KYALUMUKUNZA
Senior Member
- Aug 19, 2012
- 145
- 28
naomba mnisaidie je naweza pata gari ilitumika isiwe imechoka kwa kiasi cha mil.tano please kama kuna mtu anayo au anahabari ani pm ili tuweze wasiliana nipo dodoma ahsanteni.
naomba mnisaidie je naweza pata gari ilitumika isiwe imechoka kwa kiasi cha mil.tano please kama kuna mtu anayo au anahabari ani pm ili tuweze wasiliana nipo dodoma ahsanteni.
naomba mnisaidie je naweza pata gari ilitumika isiwe imechoka kwa kiasi cha mil.tano please kama kuna mtu anayo au anahabari ani pm ili tuweze wasiliana nipo dodoma ahsanteni.
Unataka gari ya aina gani? sasa hivi magari kwa ajili ya usafiri wa binafsi watu wanachagua cc ndogo kuanzia 1600 na kushuka. Mimi naweza kukuzia ya cc 1300 ninaitumia mwenyewe, na iko vizuri sana. Lakini pia naweza kukuagizia kwa kitu kama miilioni 7, sasa uchague nikufanyie order ya mpya chini ya km. 70,000 au uchukue hiyo yangu ambayo ndio imevuka tu i km 100000 kwa 5. mil. Gari yenyewe ni manual DAIHATSU STORIASALOON CAR.
Unataka gari ya aina gani? sasa hivi magari kwa ajili ya usafiri wa binafsi watu wanachagua cc ndogo kuanzia 1600 na kushuka. Mimi naweza kukuzia ya cc 1300 ninaitumia mwenyewe, na iko vizuri sana. Lakini pia naweza kukuagizia kwa kitu kama miilioni 7, sasa uchague nikufanyie order ya mpya chini ya km. 70,000 au uchukue hiyo yangu ambayo ndio imevuka tu i km 100000 kwa 5. mil. Gari yenyewe ni manual DAIHATSU STORIASALOON CAR.
Itakua inafanana na trekta.nimeipenda hii.....ndo ile inafanana na Duet....?
Itakua inafanana na trekta.
nimeipenda hii.....ndo ile inafanana na Duet....?
Yes ndiyo hiyo. I think ni watengenezaji wamoja lakini initially walitarget different market.
mmmhh.....Duet si ni Toyota......?
mmmhh.....Duet si ni Toyota......?
naomba mnisaidie je naweza pata gari ilitumika isiwe imechoka kwa kiasi cha mil.tano please kama kuna mtu anayo au anahabari ani pm ili tuweze wasiliana nipo dodoma ahsanteni.
naomba mnisaidie je naweza pata gari ilitumika isiwe imechoka kwa kiasi cha mil.tano please kama kuna mtu anayo au anahabari ani pm ili tuweze wasiliana nipo dodoma ahsanteni.
Mkuu, hiyo pesa utapata gari zuri tu miongoni mwa haya, tena just imported au hata yard.naomba mnisaidie je naweza pata gari ilitumika isiwe imechoka kwa kiasi cha mil.tano please kama kuna mtu anayo au anahabari ani pm ili tuweze wasiliana nipo dodoma ahsanteni.
Mkuu, hiyo pesa utapata gari zuri tu miongoni mwa haya, tena just imported au hata yard.naomba mnisaidie je naweza pata gari ilitumika isiwe imechoka kwa kiasi cha mil.tano please kama kuna mtu anayo au anahabari ani pm ili tuweze wasiliana nipo dodoma ahsanteni.