Search results

  1. Dr isaya febu

    Soma hii kama una upungufu wa Damu Mwilini

    Ikiwa una changamoto ya upungufu wa damu mwilini zingatia mambo yafuatayo. 1) Usitumie Kahawa, chai wakati wa kula chakula au kunywa dawa za kuongeza damu kwa sababu kahawa/chai huzuia ufyonzwaji (absorption) wa madini chuma kuingia ndani ya mwili. 2)...
  2. Dr isaya febu

    Ijue Rhesus factor na ujauzito

    pole mkuu huna budi kufanya hivyo ili kulinda uzao wako wa badae
  3. Dr isaya febu

    Ijue Rhesus factor na ujauzito

    yes wanapewa anti D kuzuia madhara kwa mimba tarajiwa zenye Rh+
  4. Dr isaya febu

    Ijue Rhesus factor na ujauzito

    Bila shaka umewahi kuwasikia wataalamu wa afya wakisisitiza umuhimu wa wenza kufanya vipimo mbalimbali kabla ya kuamua kuwa pamoja kwa ajili ya kutengeneza familia (kuzaa). Moja ya vipimo vinavyosisitizwa ni cha makundi ya damu na Rhesus factor. Kipimo hiki ni muhimu sana kwa sababu utofauti...
  5. Dr isaya febu

    Ni kwanini Introverts wana asilimia kubwa kwenye kutoboa?

    kwa sababu muda mwingi wanautumia wakiwa peke yao kufikiria mambo ya kufanya kuleta mabadiliko
  6. Dr isaya febu

    Usimkatae mtoto anapozaliwa au kuwa na imani POTOFU pindi anapozaliwa na white stuff.

    Wengi hufikiri na kudhania kwamba hii hutokana na kamwagiwa ndani katika kipindi cha Ujauzito. ONDOA HOFU, hali hiyo Kitaalamu hujulikana kama “Vernix Caseosa” ambao ni utando mweupe unaomzunguka mtoto na wenye faida ya kulinda ngozi yake na kumkinga dhidi ya maambukizi. Ni hali ya kawaida na...
  7. Dr isaya febu

    Tatizo La Kuota Ndevu Kwa Wanawake Na Jinsi Ya Kutibu

    Je umeshawahi kukutana na mwanamke mwenye ndevu nyingi? Bila shaka, jibu ni NDIYO. Hilo ni tatizo la kiafya ambalo hujulikana kwa kitaalamu kama Hirsutism. Leo tujifunze kuhusu sababu za tatizo hilo na jinsi ya kutibu. Hirsutism ni hali ambapo wanawake wanakua na ukuaji wa nywele wenye...
  8. Dr isaya febu

    Lijue Tatizo La Kutokwa Na Shahawa Kwenye Uume Wakati Wa Haja Ndogo/Baada Ya Haja Kubwa.

    Je unatokwa na shahawa kwenye uume wako wakati wa haja ndogo/baada ya haja kubwa? Hali ya kutokwa na shahawa kwenye uume wako wakati wa haja ndogo (baada ya tendo la ngono) au muda mwingine baada ya haja kubwa hujulikana kwa kitaalamu kama semen leakage. Hali hii inaweza kusababishwa na...
  9. Dr isaya febu

    Ujue ugonjwa unaoshambulia nywele (Trichomycosis)

    Je umeshawahi kukutana na mtu mwenye hali hii hapa chini kwenye picha katika sehemu yake ya kwapa/sehemu za siri? Hali hiyo hapo juu kwenye picha ni ugonjwa hujulikanao kwa kitaalamu kama Trichomycosis (trichobacteriosis). Trichomycosis ni hali ambayo inahusisha ukuaji wa bakteria kwenye...
  10. Dr isaya febu

    Kwanini mtu mwenye kisukari kidonda chake hakiponi haraka?

    Hivi umeshawahi kujiuliza kwanini mtu mwenye kisukari kidonda chake hakiponi haraka? JIBU: Kuna sababu kuu mbili za kisukari kuchelewesha kupona kwa vidonda: KWANZA: Viwango vya juu vya sukari kwenye damu. Viwango vya sukari kwenye damu vikiwa juu, vinaweza kuharibu mishipa ya damu na neva...
  11. Dr isaya febu

    Natafuta mchumba wa kunioa

    :D:D
  12. Dr isaya febu

    Kuna yeyote aliyeoa single mother na wakafanikiwa kuishi vizuri tu kwenye ndoa?

    kama aliyezaa nae bado yuko hai...hiyo ni betting mkuu, angekuwa aliyezaa na amekufa na umeliona kaburi lake angalau
Back
Top Bottom