Kwa mujibu wa vyombo vya habari na magazeti ya leo, ni kuwa wabunge wawili wa CCM Deo Filikunjombe na Kangi Lugora wamezuiliwa jana kuchangia bajeti ya wizara ya mambo ya ndani kwa sababu ambazo hazijawekwa wazi.
My take ni kwamba iwe ni kwa sababu za msingi au zisizo na msingi sidhani kama ni...
Nimekuwa nasoma ktk vyanzao vingi vya habari na nikakuta watu wengi sana wanakubaliana na hii hoja kuwa katika mapenzi ni lazima uongo utumike ili mambo yaende vizuri.Kwangu binafsi imeshatonitokeani ni juzi juzi tu nimetoka kudanganywa na mtu ninayempenda sana japo anadhani mi sijui ukweli...
Kufuatia ushindi wa kimbunga wa mbunge Godbless Lema leo hapa Dsm,ninatamani sana kujua kesho haya magazeti yetu ya chama yataandikaje heading kuhusu habari hii ambayo ni kama pigo kwa sera za chama.
Wanajamvi jana usiku mida ya saa 4 nimempigia simu mpenzi wangu simu ikaita bila kupokelewa nadhani alikuwa ameshalala,nikaamua kumtumia sms ya kumtakia usiku mwema na nikamwambia simu yangu haitakuwa hewani kwa muda fulani kwa vile itakuwa ktk charge a.k.a charger ya kobe kwa vile charging...
Ukitazama kwa umakini alama zilizopo katika bendera ya CCM utagundua kuna alama ya jembe na nyundo; jembe likiwakilisha wananchi wakulima na nyundo ikiwakilisha wafanyakazi. Hii ilikuwa na maana kuwa CCM kilikuwa ni chama cha wakulima na wafanyakazi wakati kinaanzishwa. Kilijikita katikk kutetea...
If you love two people at the same ,you should choose to love the second because if you really loved the first one, you wouldn't have fallen for the second.-Johhny Depp. What is your view?????
Hivi inapotokea mwenzi wako anakuuliza swali: JE UNAFURAHIA MAHUSIANO YETU? Unapata ujumbe gani wewe binafsi kabla hujamjibu swali lake? Nimekumbana mara nyingi na swali hili na natamani kujua what is behind this question.
Hivi una ukakika gani kuwa uliye naye anakupenda wewe mwanajamvi mwenzangu? Do you think hawezi kubadilika as time goes? What if akija kubadilika, what will you do?????
Mahusiano yana changamoto zake na kila siku mnakutana na changamoto za aina tofauti tofauti. Na ili uhusiano uweze kuimarika na kuwa strong ni lazima upitie ups and downs na during this time ni wakati mzuri wa kumsoma mwenzi wako na kumjua vizuri zaidi when things are not going the right way...
Ndugu wanajamvi, kama heading isemavyo; hivi migogoro katika mapenzi ina nafasi gani? Je inaimarisha penzi baada ya kusolve au inapunguza kiasi cha upendo kati ya wapendanao? mchango wako please!!!!!
Swali langu linajieleza wanajamvi,
Kwa nini ni nadra sana kubahatika kumpata mtu ambaye unampenda sana naye akawa anakupenda sana? sana sana unaweza ukapata mtu unampenda sana but akawa anampenda mtu mwingine zaidi kuliko wewe, au inatokea mtu anakupenda sana but wewe humpendi likewise. Why...
Ndugu wanajamvi jana mkuu wetu wa nchi alikuwa anazindua mradi wa ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo kasi.
Na katika hotuba yake nilivutiwa na kauli kutoka kwa mkuu wetu wa nchi kuwa hali ya foleni ktk jiji la Dar baada ya huu mradi kukamilika itabaki kuwa historia.
Je, kwa huo mradi...
Nimekuwa nikijiuliza hili swali mara nyingi bila kupata majibu. Hivi unaposema fulani ni star au super star ktk eneo fulani kama ni film industry au ktk soccer...what does this means? Katika tasnia ya filamu hapa Bongoland...ukibahatika kuigiza movie moja au mbili na zikauza sokoni japo kidogo...
Natafuta msichana wa Kitanzania mwenye umri wa kati ya miaka 23-29..mkristo...msomi...mzuri wa sura,umbo na tabia na awe tayari kupima VVU. Mwenye sifa hizo please ajitokeze
Hello members,hivi ni kweli kuwa hawa jamaa wa Dowans wameshalipwa ile pesa yao Tsh Billion 90 plus accrued interest?
Mwenye uhakika please naomba kujua nikiwa kama mzalendo wa kweli wa nchi yangu.
Nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.