Mzalendo wa ukweli
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 559
- 149
Hello members,hivi ni kweli kuwa hawa jamaa wa Dowans wameshalipwa ile pesa yao Tsh Billion 90 plus accrued interest?
Mwenye uhakika please naomba kujua nikiwa kama mzalendo wa kweli wa nchi yangu.
Nawasilisha
Mwenye uhakika please naomba kujua nikiwa kama mzalendo wa kweli wa nchi yangu.
Nawasilisha