Jamani kama kuna mtu aliweza kufanya application kwenye hizo nafasi zilizotokz hivi karibuni ambazo deadline yake ni tarehe 19/10/2016. Aniambie, maana mi nimejaribu ila nimeshindwa. Email haiendi.
Au lilikuwa tanago feki ?
habari zenu jamani, habari za siku nyingi. Baada ya kupotea kwa muda mrefu kutokana na mambo flani flani sasa nimekuja tena.
Najitokeza kutafuta marafiki wa kuchil nao na kubadilishana mawazo, hasa walio kanda ya ziwa yaan mikoa ya mwanza,shy au Musoma. Nahitaji kampani tu jamani maana huku...
Habari zenu wapendwa,
Ninatafuta kiwanja Kahama, nahitaji heka moja nje kidogo ya mji maeneo kama ya Kahama sekondari au popote lakini pasiwe town kati. Pawe na access ya maji na umeme.
Kwa alie na kiwanja, tuwasiliane kwa pm tafadhali.
hi jf members!
heading hapo juu inajieleza, nakumbuka mwaka jana father x-mas kipindi kama hiki alikuwa anagawa sana zawadi za x- mas.......kwa mliopokea nadhan mnakumbuka!!!
Nashangaa sasa hv yupo kimya tu, father x-mas tafadhali jitokeze watu tupo twasubiri hizo zawadi zako.....au umefulia...
habari wana Nzega!
Natafuta kampani ya wana JF waliopo Nzega.....iwe wa kiume au wa kike haina shida.
Nina miezi 6 tangu nimefika nzega ila niko bored ile mbaya.
nahitaji kampani kwaajili ya kutembeleana,kubadilishana mawazo n.k,kwa alie tayari na yupo nzega mjini plz drop me a PM.
Niko...
Hbr wana jf,nimepata msiba.Baba yangu mkubwa amefariki usiku wa kuamkia leo.Kwa wale wenyeji wa nzega mnaweza kuwa mnafahamu,alikuwa bwana afya ktk hospitali ya wilaya.
Hbr wadau,mimi ni mhitimu katika fani ya elimu ya jamii (sociology).Natafuta sehem ya kufanya part-time job,kwa walio na makampuni au NGOs nzega naomben msaada wenu.Kwa wenye nia tuwasiliane kwa no 0752199411.
Naombeni msaada wadau,nina mtoto wangu amemaliza form 4 na kufaulu masomo ya sayansi ila anataka kusomea uafisa tabibu.Je kwa elim yake ya form 4 anastahili.
Jaman wana jamvi,huyu washawasha yuko wapi na ile nalog off yake au amebadili user name,tafadhal mr/miss washawasha popote ulipo ebu jitokeze jamvin japo tujue km upo hai.
Mnaniboa sana nyie wanaume mnaojidai kutafuta wachumba kwa kuweka sifa ambazo mtadhan hao wadada nyie ndo mnawaumba,eti mara nataka mchumba awe na hips kubwa,mara mweupe,sijui masaburi makubwa,mara sijui matiti yakoje,mara eti wa kunipoza moyo.Najiulza hv mnakuwa na nia ya kupata wachumba au...
Habari wandugu,jaman hv kuna mwenye feedback za field reseacher.kuna nafasi zilitangazwa kuwa wanahitajika field researcher 10.mwenye taarifa atujuze plz.
Namfagilia sana jamaa kwsbb haintertain mambo ya siasa na elimu ndo maana hadi leo SAUT pako shwari kwasbb kila kitu kinaamuliwa kitaalam na si kisiasa.Poleni sn ndugu zetu udsm,tuko pamoja sana.
Wanashangaza sana,waliahidi kuwa na mgomo mara baada ya shule kufunguliwa lkn had sasa kimya,walimu achen kubip ndo mana serikal haishtuki manake ishawazoea,mkiamua kufanya kitu fanyeni kweli na kwa umoja.
Jaman mko wapi members wa kituli sekondari.Enzi za akina elisante,kombo salehe,Ester kapanda,sabas michael,moza rashid,deus Maganga,Nawamiss sana jaman.Wapi kadama malunde,anthony pius.Enzi za mwl misana mzee wa stick,jembe letu maganya.Aisee nawamis ile mbaya ila sijui ntawapataje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.