Hbr wadau,mimi ni mhitimu katika fani ya elimu ya jamii (sociology).Natafuta sehem ya kufanya part-time job,kwa walio na makampuni au NGOs nzega naomben msaada wenu.Kwa wenye nia tuwasiliane kwa no 0752199411.
Try to check with Dr. Kigwangwala ni mbunge wako huyo.