Hiki kitu huwa najiulizaga sana kuna aina fllani ya watu Hao siku zote wao huwa kuna watu huwa wanawatizama kuwa ni watu wenye roho mbaya
Yaani full kuwasema vibaya, full kuwachukia, full kuwaombea mabaya , full kukutendea mabaya
Lakini inapotokea aina hii ya watu wanapitia wakati mgumu au...
Toxic hawa tunasema ni aina fulani ya watu ambao wanakufanya ukose amani na furaha kazini kwako,
Ni watu wako negative na wewe. Ni watu ambao wanaangalia makosa yako, ni watu ambao wanataka udhalilike, ni watu ambao muda wote hoja zao nyingi kuhusu wewe ni kufukuzwa kazi
Je, watu kama hawa...
1. Hii kazi mshahara 250k ila take home 200k baada ya makato.
2. Muda wa kuingia kazini ni saa 10 usiku na kutoka saa 6 usiku na hakuna overtime
3. Muda wa mapumziko ni saa 7 mchana hadi 8 baada ya hapo mnarudi kiwandani kupiga mpaka saa 6 usiku ndo mnaruhusiwa kutoka.
4. Hakuna allowance...
Enyi wazazi na wana ndugu wenye watoto wa kike ambao mnataka mtoto wenu aje kuolewa na mwanaume mwenye kipato na kazi nzuli kuanzia leo acheni huo ubabazazi fundisheni watoto wenu kutafuta pesa na sio kumtengenezea mazingira asubili mwanaume mwenye mwenye kipato na kazi nzuliii aolewe nae ili...
Kwa wale vijana wenzangu mnaofanya kazi kwa dunia ya leo inavyokwenda unapokuwa na kazi hakikisha kwa pembeni una biashara yako au kampuni yako ya itayokuwa inakupa kipato.
Mambo ya makazini hayaeleweki muda wowote unaweza kupigwa chini hivyo unapokuwa unapata mshahara na viposho posho...
Wakuu nimeitwa katika interview kitengo cha sales lakini sifahamu matumizi ya EFd machine katika kutimiza majukumu yafuatayo
1.ku print risiti
2. Ku print daily z report
3. Kutengeneza report ya z report
4. Mwisho kabisa matumizi ya Efd machine
5. Ku-report misuse of Efd machine
Haya ni...
Hili jambo watu wengi hulichukulia ni la kawaida ila limeumiza watu wengi sana wengine hubakia kutoa machozi
Mwaka 2019 kuna jamaa yangu aliitwa kazini baada ya kufaulu usahili wa utumishi aende kuchukua barua ya kuanza kazi akiwa na vyeti vyake halisi akiwa na documents zake zote jamaa...
Kwa wale ambao mmeshawahi kupitia na kupiga za CPA ambao upo chini ya bodi ya wahasibu Tanzania.
Na wale ambao mmeshawahi kupitia kupiga Pepa za law school of Tanzania.
Hebu tuambiane ukweli ni mziki upi unatisha zaidi ambao kutoboa ni lazima unahitajika upige msuli sii kitoto.
Sent from my...
Hatimaye kwa mara ya kwanza nimelipwa mshahara tangu nimeanza kazi kwa huyu Mhindi.
Lakini kulipana mishahara kwenyewe mpka mshikane mashati yaani mpka muanze kupelekeshana wee ndo mshahara unaingia hivi shida ni nini lakini kwa hawa jamaa.
Kila kitu kwao ugomvi, kupeana mikataba ugomvi...
Kuna kibarua nimepata kwa wahindi siku si nyingi ila kuna maneno huwa nayasikia kuhusu wahindi weusi na wahindi weupe.
Kwa wale waliowahi kufanya kwa wahindi weusi anisaidie sifa zao.
Sio kila kitu anachokitaka au anachokuomba mwanamke ni lazima umpatie hata ķama kipo ndani ya uwezo wako sometimes mwambie sina. Lakini ikitokea kila anachokitaka mwanamke wako unampatia hata kama huna unajitahidi hata kukopa ili mradi kumpatia mwanamke wako my friend huo ni utumwa.
Kuna...
Huu ni msemo ambao umeibuka na kushika kasi zaidi mitandaoni ambao lengo kuu ni kuwafanya vijana wapambane kutafuta hela
Lakini je kwanini huu msemo huu vijana wengi wanauchukia Sana
Kiukweli hizi Gali zinakimbia hatari lakini pia nimegundua abiria na madereva wa hii njia wanapenda Sana ligi za kushindana barabarani.
Hatari
Hizi daladala kama una moyo mdogo huwezi kuzipanda jinsi wanavxopiga rafu barabarani tunaomba hizi daladala zizibitiwe lasivyo ipo siku zitakuja umiza...
Huu mjadala ambao nimeusikia redioni Nikiwa ndani ya daladala ambapo Kuna utafiti ulikuwa unajadiliwa ambapo unanyeesha wanaume wengi waliooa kuanzia miaka ya 2014 hadi 2022
Asilimia 80 wamekimbia ndoa zao na kwenda kuanza upya hivyo kumwachia mwanamke Mali zote .....
Je, tatizo ni nini mpka...
Hawa vijana wa Sasa hivi sijui shida huwa nini lakini unakutana vijana anakwambia anataka kuoa lakini still Hana kazi yeyote inayompa kipato , bado yupo nyumbani anategemea wazazi ivi ni wapi wanapokimbilia kwanini wasijipange kimaisha then mambo yakikaa vizuli ndo wafanye maamuzi ya kuoa ...
Yaani asikudanganye mtu mwanaume unapoanza kuyumba kiuchumi migogoro ya ndoa ndipo inapoanzia hapa
Hapa ndipo tabia halisi ya mkeo ambae kipindi akiwa girlfriend wako ulikuwa unamuona mtu sahihi a.k.a wife material hapo ndipo huanza kuonyesha makucha yake
Hapa ndipo utapata Majibu ya mkeo...
Najua wengi wataonibishia lakini tukatae tukubali ndoa ndio chanzo kikuu cha matatizo ya binadamu, matatizo kama vile magojwa ya moyo, stress, afya ya akili, kisukali n.k, mengi yamewapata binadamu wengi baada ya kuingia kwenye ndoa.
Hebu fikiria watu mpoo ndani ya ndoa lakini;
1. Ugomvi...
Inawezekana wewe ni mwana JF ambae 2022 Kuna mbinu au mipango uliiitumia ikakupelekea kupiga hatua kubwa ktk maisha.
Hivyo tupeni mbinu na mipango mliotumia kufanikisha mipango yenu hadi mnapiga hatua kimaisha.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Yaani mpka inafika hatua marehemu amefariki ndo unamuona mwanadada anajitokeza msibani akidai amezaa na marehemu wengine wanakuja na watoto msibani kutaka nao watoto kutambulika
Hivi siku zote Hawa wanawake wanakuwa wapi na nyinyi wanawake tabia za kuwaficha watoto baba zao mpka umauti unapata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.