Unawezaje kudeal na toxic person or people katika eneo lenu la kazi

Bata batani

JF-Expert Member
Nov 11, 2011
3,197
3,571
Toxic hawa tunasema ni aina fulani ya watu ambao wanakufanya ukose amani na furaha kazini kwako,

Ni watu wako negative na wewe. Ni watu ambao wanaangalia makosa yako, ni watu ambao wanataka udhalilike, ni watu ambao muda wote hoja zao nyingi kuhusu wewe ni kufukuzwa kazi

Je, watu kama hawa unawezaje kudeal nao
 
Toxic hawa tunasema ni aina flani ya watu ambao wanakufanya ukose amani na furaha kazini kwako ,

Ni watu wako negative na wewe , Ni watu ambao wanaangalia makosa yako, ni watu ambao wanataka udhalilike , ni watu ambao muda wote hoja zao nyingi kuhusu ww ni kufukuzwa kazi

Je watu kama hawa unawezaje kudeal nao

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Hao ni kama wachawi huku mtaani. Kuna njia mbalimbali za kushughulika nao:

1. Unaweza kuwaacha waendelee na vitendo vyao. Kwa kuwa unajua nia yao, unaweza kuamua kuwaepuka kabisa. Hivyo, hawatakuwa na nafasi ya kusema chochote ambacho hujui nia yao ni nini. Kwa kuwa unawaacha wapambane na vikwazo vyao wenyewe, watajiona wajinga.

2. Chukua maoni yao kwa mtazamo chanya. Iwezekane wanajaribu kukuangusha, lakini ukichukua maoni wanayotoa na kuyafanyia kazi, mwisho wa siku wataacha kufanya hivyo. Utajiona kuwa unajiboresha badala ya kuwa dhaifu.

3. Epuka ugomvi na wao. Ikiwa unaona kuwa wako karibu na wewe, punguza muda wako kuwa nao. Jiepushe na kushiriki nao katika kazi au chakula. Hata kama kuna mtu anayesaidia kumtengenezea chai ofisini, chukua muda wako kunywa nje au jiandalie mwenyewe. Wakiwa na nia mbaya, hata wanaweza kuweka sumu kwako.

Ni muhimu kuwa na tahadhari na watu kama hao na kujilinda dhidi ya mbinu zao za udanganyifu na ubaya. Hakikisha unazingatia usalama wako na kujiepusha na vurugu.
 
Hao ni kama wachawi huku mtaani.. Kuna njia mbalimbali za kudeal nao
1. Unaweza kuwa ignore.. Maana umeshawajua nia yao, kwa hiyo hamna watakalosema hujui nia yao ni nini, ukiwa ignore watajiona wajinga maana wanapigan a na kisiki.

2. Chukua critics zao positive... Wao wa nia ya kuku fanya ujione wa hovyo, sasa ukichukua Yale wanakusema ukayafanyia kazi mwisho wa siku wataacha maana ataona badala ya kuwa wa hovyo unaimprove.

3. Epuka bifu nao, yaani ukiona mko nao wanabore chukua time zako.. Chung a kushiriki nao deal wala chakula. Hata kama Kuna mtu wa kusaidia kutengeneza Chai oficin, nenda kanywe nje au tengeneza mwenyewe. Wakikushindwa kwa hila hata sumu wanakuwekea.
Well said

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Toxic hawa tunasema ni aina flani ya watu ambao wanakufanya ukose amani na furaha kazini kwako ,

Ni watu wako negative na wewe , Ni watu ambao wanaangalia makosa yako, ni watu ambao wanataka udhalilike , ni watu ambao muda wote hoja zao nyingi kuhusu ww ni kufukuzwa kazi

Je watu kama hawa unawezaje kudeal nao
Kama uko serikalini, nenda kaongeze elimu. Utanishukuru baadae
 
Vikwazo vya kiuchumi havijawai kumuacha yyt salama, ata Kama Ni baunsa atanyoosha mikono juu Kama sio kuchutama au kukusujudia kabisa.

Maisha ya unyonge unyonge yashapitwa na wakati.
 
Toxic hawa tunasema ni aina fulani ya watu ambao wanakufanya ukose amani na furaha kazini kwako,

Ni watu wako negative na wewe. Ni watu ambao wanaangalia makosa yako, ni watu ambao wanataka udhalilike, ni watu ambao muda wote hoja zao nyingi kuhusu wewe ni kufukuzwa kazi

Je, watu kama hawa unawezaje kudeal nao
Fanya kazi acha uvivu kazini.
 
Back
Top Bottom