Ni suala la Muda daladala za Gongo la Mboto - Msasani zitakuja kuumiza watu

Bata batani

JF-Expert Member
Nov 11, 2011
3,198
3,572
Kiukweli hizi Gali zinakimbia hatari lakini pia nimegundua abiria na madereva wa hii njia wanapenda Sana ligi za kushindana barabarani.

Hatari

Hizi daladala kama una moyo mdogo huwezi kuzipanda jinsi wanavxopiga rafu barabarani tunaomba hizi daladala zizibitiwe lasivyo ipo siku zitakuja umiza watu ni swala la muda.
 
GARI ZOTE ZA ROUTE YA GMBOTO NI WAMOJA TU SPEED SANA NA HATA HAWA WA TEMEKE PIA NI SHIDA
ila hyo ya masaki gmboto ni balaa aisee wnakimbiankama hawana akili nzuri
 
Dala Dala inayokimbia mwendo wa goi goi hyo haifai hata kidog , watu wanawahi dili bhana , njia mbili unaendeshaje mwendo wa kilofa , hata hzo ajali barabara za mikoani ni Kwa sababu ya bara bara kuwa na njia moja full stop , weka njia mbili kila upande kama utasikia kugongana uso Kwa uso ,
 
Kiukweli hizi Gali zinakimbia hatari lakini pia nimegundua abiria na madereva wa hii njia wanapenda Sana ligi za kushindana barabarani.

Hatari

Hizi daladala kama una moyo mdogo huwezi kuzipanda jinsi wanavxopiga rafu barabarani tunaomba hizi daladala zizibitiwe lasivyo ipo siku zitakuja umiza watu ni swala la muda.
hiyo barabala gongo lamboto msasani hakuna tarafiki?mpaka unaleta malalamiko yako hapa?
 
Nilipanda mara moja aah qmmke Gomz madereva wake ni majnuni wanamwaga moto balaaa eicher mwendo wa basi
 
Kiukweli hizi Gali zinakimbia hatari lakini pia nimegundua abiria na madereva wa hii njia wanapenda Sana ligi za kushindana barabarani.

Hatari

Hizi daladala kama una moyo mdogo huwezi kuzipanda jinsi wanavxopiga rafu barabarani tunaomba hizi daladala zizibitiwe lasivyo ipo siku zitakuja umiza watu ni swala la muda.
Kituo Cha kwanza Mtava.
 
Mwezi huu wa pili barabara ya nyerere katikati ya kituo Cha mafuta Victoria na azania au karibu na kituo Cha daladala mtava pale hizi gari moja ili mgonga mwendesha baiskeli wakiwa na mwendomkali Kama kawaida yao dereva na konda wakakimbia baada ya tukio na kutelekeza Basi lao
 
Kiukweli hizi Gali zinakimbia hatari lakini pia nimegundua abiria na madereva wa hii njia wanapenda Sana ligi za kushindana barabarani.

Hatari

Hizi daladala kama una moyo mdogo huwezi kuzipanda jinsi wanavxopiga rafu barabarani tunaomba hizi daladala zizibitiwe lasivyo ipo siku zitakuja umiza watu ni swala la muda.
Acha abiria wawahi mishe zao.Kuna gari za mbezi kamwe,boko na Bunju.Zina mwendnwa kinyonga.zinaboa sana.
 
Gari iko highway bado mnataka
Kutembea speed ya 60
Speed siyo rafu kiongozi
Speed na rafu ni vitu tofauti kabisa

Niko njia ya temeke gongo la Mboto
Tangu hiyo ruti ianze njia hii asilimia 90 ya ajali ni hao mabwana
Kukimbizana kuovertake bila tahadhari ajali zinatokea mpaka kwenye zebra upande wa pili akiona kuna boda au bajaji basi anaona barabara iko wazi hiyo

Siku hizi wakisababisha ajali watu hawaulizi ni kipigo tu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Hizo chuma za g.mboto masaki asee zinamwaga moto hatari kila saa zina haraka.

Nikiwa road huwa sina amani nikiona linanifuata kwa nyuma.
 
Hakuna ruti inayokimbia kama hiyo,na ukiona zipo gari mbili we ziache tu maana ni wababe hatari. Wape nafasi wawahi hakuna madereva vichaa kama hiyo ruti.
 
Back
Top Bottom