Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,183
- 3,547
Hili jambo watu wengi hulichukulia ni la kawaida ila limeumiza watu wengi sana wengine hubakia kutoa machozi
Mwaka 2019 kuna jamaa yangu aliitwa kazini baada ya kufaulu usahili wa utumishi aende kuchukua barua ya kuanza kazi akiwa na vyeti vyake halisi akiwa na documents zake zote jamaa alokwenda na vyeti vyote ila katika ukaguzi walivyogundua herufi moja imekosewa kwene kitambulisho cha Nida tofauti na cheti cha kuzaliwa akazinguliwa yaani hata alipoulizwa kuhusu affidavity au Deadpool hakuwa navyo finally aliondolewa nafasi yake akapewa mtu mwingine japo alijaribu kubembeleza lile swala analifanyia kazi lakini wapiiii
Hivyo basi wenye majina yenye utata fanyieni kazi hili jambo mtakuja kunishukuru
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Mwaka 2019 kuna jamaa yangu aliitwa kazini baada ya kufaulu usahili wa utumishi aende kuchukua barua ya kuanza kazi akiwa na vyeti vyake halisi akiwa na documents zake zote jamaa alokwenda na vyeti vyote ila katika ukaguzi walivyogundua herufi moja imekosewa kwene kitambulisho cha Nida tofauti na cheti cha kuzaliwa akazinguliwa yaani hata alipoulizwa kuhusu affidavity au Deadpool hakuwa navyo finally aliondolewa nafasi yake akapewa mtu mwingine japo alijaribu kubembeleza lile swala analifanyia kazi lakini wapiiii
Hivyo basi wenye majina yenye utata fanyieni kazi hili jambo mtakuja kunishukuru
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app