Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,198
- 3,572
Yaani asikudanganye mtu mwanaume unapoanza kuyumba kiuchumi migogoro ya ndoa ndipo inapoanzia hapa
Hapa ndipo tabia halisi ya mkeo ambae kipindi akiwa girlfriend wako ulikuwa unamuona mtu sahihi a.k.a wife material hapo ndipo huanza kuonyesha makucha yake
Hapa ndipo utapata Majibu ya mkeo kipindi cha uchumba ni kitu gani kilimvutia awe na wewe ,
Kama Una na kuongezea ongezea neno
Hapa ndipo tabia halisi ya mkeo ambae kipindi akiwa girlfriend wako ulikuwa unamuona mtu sahihi a.k.a wife material hapo ndipo huanza kuonyesha makucha yake
Hapa ndipo utapata Majibu ya mkeo kipindi cha uchumba ni kitu gani kilimvutia awe na wewe ,
Kama Una na kuongezea ongezea neno